Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
jingalao pamoja na kwamba unatumia utambulisho bandia lakini kwa umri wako unajidhalilisha mno...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukiwaacha hawa wapiga dili wa dubai watuamulie namna ya kuendesha nchi tutarudi nyuma sana.
Issue ya katiba mpya sio issue ya wananchi wanyonge na wengi bali ni maslahi ya baadhi ya viongozi wa kisiasa.
mama muuza dagaa ambaye amekopeshwa kwenye kikoba au bodaboda anayetakiwa kupeleka 17000 kwa siku hawahitaji katiba mpya.
Zaidi katiba mpya kule kenya haijawaletea tija wakazi wa Kibera(hili ni somo)
wapinzani hasa CDM wasituamulie mambo yasiyo na tija kwa maskini.
Tuletewe na tujadili hoja za kuujenga uchumi wa mwananchi mmoja mmoja.
Tusiwe kasuku wa nchi za magharibi bali tufanye yetu kwa style yetu kukuza hali ya kiuchumi ya wananchi
jingalao pamoja na kwamba unatumia utambulisho bandia lakini kwa umri wako unajidhalilisha mno...
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakufa MTU kama baregu huyu anabaki ,izrael wasiku hizi sijui yukojejingalao pamoja na kwamba unatumia utambulisho bandia lakini kwa umri wako unajidhalilisha mno...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga wenu wa kudhani watanzania wote ni wajinga umefika mwisho sasa. Hizi propaganda za kijinga toka kwa mnaofaidika na katiba mbovu iliyopo zimeshagunduliwa na sehemu kubwa ya watanzania. Wanajua kwa nini mnang'ang'ania kilichopo kwa kisingizio cha "wananchi wanataka maendeleo" huku mmeficha agenda za siri za kujinufaidha binafsi. Hakuna mwenye miliki ya nchi kuliko mwingine, wewe na genge lako hamna hatimiliki ya kutuamlia nini tunataka nini hatutaki.Tukiwaacha hawa wapiga dili wa dubai watuamulie namna ya kuendesha nchi tutarudi nyuma sana.
Issue ya katiba mpya sio issue ya wananchi wanyonge na wengi bali ni maslahi ya baadhi ya viongozi wa kisiasa.
mama muuza dagaa ambaye amekopeshwa kwenye kikoba au bodaboda anayetakiwa kupeleka 17000 kwa siku hawahitaji katiba mpya.
Zaidi katiba mpya kule kenya haijawaletea tija wakazi wa Kibera(hili ni somo)
wapinzani hasa CDM wasituamulie mambo yasiyo na tija kwa maskini.
Tuletewe na tujadili hoja za kuujenga uchumi wa mwananchi mmoja mmoja.
Tusiwe kasuku wa nchi za magharibi bali tufanye yetu kwa style yetu kukuza hali ya kiuchumi ya wananchi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anakufa MTU kama baregu huyu anabaki ,izrael wasiku hizi sijui yukoje
Ccm we acha ,kama ingekua inawezekana kuishitaki ccm yenyewe ikafika mahakamani ijitetee kwann isifungwe maisha kwauongo wake toka 1975 ,sijui ingefungwa miaka mingapi ,Yale maVX wanatembea nayo viongozi wa ccm yanawasaidia nini hao wananchi? Kama ccm ingekuwa inawapigania hao wananchi kwakuwa hamna katiba mpya, mbona bado hao wananchi ni masikini? Je hao wananchi masikini mmewaonyesha vile viwanda vya Tanzania ya Magufuli maana hakukuwa na madai ya katiba mpya?
Nikweli maana enzi anazaliwa bafu hazikuwepo anatembea najembe hadi pahala ,sijui baba ake kwann alisahauYani wewe ni ng'ombe kabisa.
Heri babaako angemwaga chooni
Ungeleta hoja ya kwa nini ninajidhalilisha kwa muktadha wa post yangu ningekuelewajingalao pamoja na kwamba unatumia utambulisho bandia lakini kwa umri wako unajidhalilisha mno...
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu hoja achana na viojaYani wewe ni ng'ombe kabisa.
Heri babaako angemwaga chooni
nenda chitchat huku tuache wachambuzi tu.Nikweli maana enzi anazaliwa bafu hazikuwepo anatembea najembe hadi pahala ,sijui baba ake kwann alisahau
Hawa jamaa ni basket mouth wa mabeberuUchumi kwanza,tukishiba ndio tutaangalia mambo ya Katiba mpya.
Kwamba Katiba mpya ni mali ya chadema au? Kwani nani wamewatuma chadema kutusemea?
Wananchi hata hawana hizo habari wao wanataka hospital,maji,umeme,shule,Kazi na haki
Sasa kiherehere cha chadema kutuzulia jambo kinatoka wapi?Uzuri ni kwamba katiba mpya haiamuliwi na chadema wala CCM ila wananchi
Na hapa msijisahaulishe ile nguvu ya wajumbe..... najua mnaielewa😂😂
Kama nyie ndiyo wenye maamuzi amueni basi hiyo katiba mpya,bila uchumi kuwa mzuri hiyo hela ya kunadili katiba mpya mtaitoa wapi?Mkuu kuna dikteta mwingine Ikulu anayedhani ana haki ya kutuamulia Watanzania vile atakavyo yeye kinyume na Katiba ya Nchi.
Huna akili nchi haiongozwi kwa vitishoHatokuja kufanikiwa kuzuia huu mchakato we muache tu akamuulize Meko huko alipo.