Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huenda anaisujudia hii iliyopo kwakua ndio umemfanyia "nipige tafu"Hiyo ya kupoza hapa na pale ni jambo zuri lakini ni short term. Kwa mfano akishamaliza kuondoa Mabaya ya Magufuli then yeye ana nini cha kuoffer?. Ni lazima asimame sasa ajipambanue kwa ujasiri kuonyesha anajua Taifa linahitaji nini. Asiangalie utswala wake wa miaka mitano au Tisa anayoweza kukaa nadarakani. Aangalie miaka 50 au 100 ijayo...