Hiyo sio ya wananchi ni ya chama.Badilisheni kwanza katiba ya chama chenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sio ya wananchi ni ya chama.Badilisheni kwanza katiba ya chama chenu
Basi nyie wachumia tumbo msiojua mbele wala kesho kaeni kimya.Wanasiasa,mjuwe sisi wananchi,hatutaki madaraka yoyote kwenye siasa,kwetu sisi twahitaji mkono wende kinywani,tukishapata mahitaki muhimu,hatuna zaidi ya hapo.
Ungekuwa na njaa,ungeuliza mambo ya katiba,ni baada ya kushiba,ndio ukatafuta ya katiba.Basi nyie wachumia tumbo msiojua mbele wala kesho kaeni kimya.
Hivi kasema uchumi utatengemaa lini?Mkuu kuna dikteta mwingine Ikulu anayedhani ana haki ya kutuamulia Watanzania vile atakavyo yeye kinyume na Katiba ya Nchi.
Atawaambia vumilieni; mbona miaka yote mlivumilia na hiyo katiba mbovu hadi alipokuja kuivuruga hata hiyo mbovu mtangulizi wake?Rais kutuzuia wananchi kutaka namna ya kuongozwaje hiyo ni dharau kubwa ya rais na chama cha mapinduzi kwa wananchi.
Hilo ni jambo ambalo hatuwezi kulikubali!
Tena kweli, nini cha kusubiri?Hhoja yako inamashiko
Haya badilisha
Ni mweupe wa sura na kichwani je?Bado mama ni bora kuliko shetani jiwe. Tutaendelea kumshauri kila inapowezekana
Kuuona upuuzi wenuUjinga wako unakusaidiaJe ?!
KWA kweli kitendo Cha mama alichokiongea kuhusu vyama vya siasa sijapenda,kwamba anaendelea na katazo lile ambalo ni kinyume Cha katiba, kwamba mtu afanye mikutano katika eneo lake, mh SSH umenikwaza Sana KWA kauli yako, sio sawaRais Samia anasema eti suala la kipaumbele kwake ni uchumi kwanza halafu mambo ya katiba mpya ni ya baadae huko mbeleni.
Ningependa kumkumbusha Rais Samia kuwa, hoja ya Katiba Mpya ni hoja nyeti, ni suala muhimu sana na haliwezi kuwa option ya pili katika mambo yanayopaswa kufanyika nchini kwa sasa. Na hii ni kwa sababu zifuatazo:
1. Katiba mpya haizuii kujenga uchumi
Rais anaposema eti tumpe muda ajenge uchumi kwanza ndo afikirie Katiba Mpya, tungependa kumueleza Rais kuwa kuwa na katiba mpya hakumzuii yeye au Serikali yake kujenga Uchumi, Labda Rais atueleze, je Katiba bora iliyo nzuri inazuiaje yeye kuvutia wawekezaji, inazuiaje kuboresha utalii, inazuiaje kujenga miundo mbinu? Hapa kimsingi Rais hana hoja yenye mashiko kabisa juu ya kukataa kuwapa wananchi aina ya Katiba wanayoitaka.
2. Mchakato wa Katiba Mpya si hisani ya Rais bali ni hitajio la kisheria
Ipo sheria ya mwaka 2012 inayo-govern Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya, Sisi wananchi tunamtaka Rais atekeleze Sheria hiyo, asifanye hili suala kama hisani yake binafsi, hili ni hitajio la wananchi wengi.
3. Hofu ya Rais ni ya kisiasa na si kimaslahi ya kitaifa
Kauli ya Rais ya kukataa kuipa Katiba kipaumbele ilianza kwenye awamu ya tano ambayo yeye alikuwa Makamu wa Rais, Rais wa wakati huo na yeye alisema hoja hizohizo za kujenga uchumi kwanza kabla ya kuleta Katiba Mpya, leo hii tuna miaka mitano bado tunapigwa kalenda hizohizo za ngoja tujenge uchumi. Huhitaji kuwa genius kuona kwamba hofu ya viongozi hawa ni hofu za kisiasa tu, za kuhofia hatma zao na vyama vyao kisiasa iwapo Taifa litapata Katiba Mpya, ni dhahiri wahafidhina ndani ya CCM hawataki Katiba Mpya, lakini kama alivyowahi kusema Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Hoja ya Katiba Mpya haitakufa mpaka ipatikane.
4. Kujenga Uchumi bila kuwa na Katiba ya kuulinda ni kazi bure
Hii katiba tuliyonayo inampa Rais Mpya power za kuvunjilia mbali mafanikio ya Serikali zilizopita, anaweza kusitisha mradi wa kimkakati, anaweza kuingia mikataba ya siri isiyo na faida, anaweza kutapanya rasilimali zetu na asishtakiwe. Kwa hiyo ni dhahiri hata ujenge uchumi mzuri kivipi, bila Katiba nzuri huwezi kuulinda Uchumi huo, ndiyo maana hitajio letu la Katiba Mpya ni muhimu sana
5. Watanzania hatuko tayari kurudi katika utawala wa kidikteta aina ya awamu ya tano
Ktk utawala wa awamu ya tano tuliona matendo ya kinyama na kiuonevu yaliyofanyika, sababu mojawapo ya matendo hayo ni kuwa na Katiba inayotoa mwanya mtawala kuvunja sheria bila consequences ikiwemo kushtakiwa, Katiba hii imetoa mamlaka makubwa kwa Rais, na kiukweli ni Katiba ya kidikteta, Hatuwezi kuruhusu scenario ya kupata aina ya uongozi wa awamu iliyopita, na guarantee bora ya kutofika huko ni Katiba Mpya na si maneno matamu tu ya Rais Samia
Huyu alisimama hadharani akasema,kura mtapiga kwengine lakini sisi tutaunda serikali.Sina imani naye.Arudishe fao la kujitoa pia.Hatokuja kufanikiwa kuzuia huu mchakato we muache tu akamuulize Meko huko alipo
Hata wewe huwezi kuongoza nchi eti kila mwananchi atasema lake na mapendekezo yake na wewe ufuate tu,nchi haitatawalika maana mnadhani hilo ndilo linalowezekana,msidhani katiba ni kitu rahisi sana,kina madhara yake piaRais Samia anasema eti suala la kipaumbele kwake ni uchumi kwanza halafu mambo ya katiba mpya ni ya baadae huko mbeleni.
Ningependa kumkumbusha Rais Samia kuwa, hoja ya Katiba Mpya ni hoja nyeti, ni suala muhimu sana na haliwezi kuwa option ya pili katika mambo yanayopaswa kufanyika nchini kwa sasa. Na hii ni kwa sababu zifuatazo:
1. Katiba mpya haizuii kujenga uchumi
Rais anaposema eti tumpe muda ajenge uchumi kwanza ndo afikirie Katiba Mpya, tungependa kumueleza Rais kuwa kuwa na katiba mpya hakumzuii yeye au Serikali yake kujenga Uchumi, Labda Rais atueleze, je Katiba bora iliyo nzuri inazuiaje yeye kuvutia wawekezaji, inazuiaje kuboresha utalii, inazuiaje kujenga miundo mbinu? Hapa kimsingi Rais hana hoja yenye mashiko kabisa juu ya kukataa kuwapa wananchi aina ya Katiba wanayoitaka.
2. Mchakato wa Katiba Mpya si hisani ya Rais bali ni hitajio la kisheria
Ipo sheria ya mwaka 2012 inayo-govern Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya, Sisi wananchi tunamtaka Rais atekeleze Sheria hiyo, asifanye hili suala kama hisani yake binafsi, hili ni hitajio la wananchi wengi.
3. Hofu ya Rais ni ya kisiasa na si kimaslahi ya kitaifa
Kauli ya Rais ya kukataa kuipa Katiba kipaumbele ilianza kwenye awamu ya tano ambayo yeye alikuwa Makamu wa Rais, Rais wa wakati huo na yeye alisema hoja hizohizo za kujenga uchumi kwanza kabla ya kuleta Katiba Mpya, leo hii tuna miaka mitano bado tunapigwa kalenda hizohizo za ngoja tujenge uchumi. Huhitaji kuwa genius kuona kwamba hofu ya viongozi hawa ni hofu za kisiasa tu, za kuhofia hatma zao na vyama vyao kisiasa iwapo Taifa litapata Katiba Mpya, ni dhahiri wahafidhina ndani ya CCM hawataki Katiba Mpya, lakini kama alivyowahi kusema Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Hoja ya Katiba Mpya haitakufa mpaka ipatikane.
4. Kujenga Uchumi bila kuwa na Katiba ya kuulinda ni kazi bure
Hii katiba tuliyonayo inampa Rais Mpya power za kuvunjilia mbali mafanikio ya Serikali zilizopita, anaweza kusitisha mradi wa kimkakati, anaweza kuingia mikataba ya siri isiyo na faida, anaweza kutapanya rasilimali zetu na asishtakiwe. Kwa hiyo ni dhahiri hata ujenge uchumi mzuri kivipi, bila Katiba nzuri huwezi kuulinda Uchumi huo, ndiyo maana hitajio letu la Katiba Mpya ni muhimu sana
5. Watanzania hatuko tayari kurudi katika utawala wa kidikteta aina ya awamu ya tano
Ktk utawala wa awamu ya tano tuliona matendo ya kinyama na kiuonevu yaliyofanyika, sababu mojawapo ya matendo hayo ni kuwa na Katiba inayotoa mwanya mtawala kuvunja sheria bila consequences ikiwemo kushtakiwa, Katiba hii imetoa mamlaka makubwa kwa Rais, na kiukweli ni Katiba ya kidikteta, Hatuwezi kuruhusu scenario ya kupata aina ya uongozi wa awamu iliyopita, na guarantee bora ya kutofika huko ni Katiba Mpya na si maneno matamu tu ya Rais Samia
Hapa Uko Sahihi 100%, Mfano ni Uongozi wa Awamu ya Tano, nchi iliendeshwa kwa utashi wa mtu mmoja. Alilokuwa wanalisema ndio ilikuwa sheria na kila mtu alikubaliona nao apende asipende...Katiba mpya ndio jibu la mambo ya namna ile...4. Kujenga Uchumi bila kuwa na Katiba ya kuulinda ni kazi bure
Hii katiba tuliyonayo inampa Rais Mpya power za kuvunjilia mbali mafanikio ya Serikali zilizopita, anaweza kusitisha mradi wa kimkakati, anaweza kuingia mikataba ya siri isiyo na faida, anaweza kutapanya rasilimali zetu na asishtakiwe. Kwa hiyo ni dhahiri hata ujenge uchumi mzuri kivipi, bila Katiba nzuri huwezi kuulinda Uchumi huo, ndiyo maana hitajio letu la Katiba Mpya ni muhimu sana