Kuhusu Mbowe, Bandari na Ubaguzi: Je, huwezi kufanya ukosoaji bila kuleta ubaguzi wa kikanda?

Hivi unajua maana ya rasilimali wewe. Nyie ndo wale mnaposema Bora madini yabakie shimoni kuliko kuchimbwa na makampuni kutoka nje wakati nyie hamna uwezo wa kuyachimba. Li bandari lip miaka na miaka lakini halina faida ya yoyote Bali faida kwa wachache kama wewe tu. Bora tupate mwekezaji ili kuleta ufanisi mana mmeshindwa na hamtaki kukiri Hilo . Ulaji wenu umefika mwisho mwbwa nyie
 
Hivi wewe ndie yule msomi wa uchumi na ile theory yako?! hebu nikumbushe inaitwaje[emoji1787][emoji1787]

Nakuona unavyoendeleza "usomi" wako, mjinga usiyejua kuchambua vipengele vilivyopo kwenye mkataba, uone manufaa au maumivu yake kwa watanzania, wewe kwako bora bandari apewe mwarabu tu!.

Kuwa na msomi wa sampuli yako nchi hii ni hasara kwa taifa, jinga kabisa.
 
Bora hata nchi iuzwe mana hatuna uwezo na fursa hatuzioni ndo mana umaskini umekuwa sana kila kukicha. Namsihi Elon musk ainunue Africa nzima ili atufundishe Nini maana ya kufanya kazi kwa ufanisi siyo talalila zenu hizi za uzalendo wa kimaskini
 
We Mataga kama lengo ni kusomana kwa mfumo,hatuwezi kukodi watu wenye ujuzi wafunge mifumo kwa miezi 6 ?
 
Msijifiche kwenye kichaka cha uislam kwani huku Tanganyika hakuna Waislam? Huu muungano uvunjike mutawaliwe tena na sultan kwani ndiyo matamanio yenu. Tanganyika kuna Waislam zaidi ya milioni 30 na Zanzibar mko milioni mbili tu mnajiona mna thamani zaidi ya hawa milioni 30 wa Tanganyika?
 
Wewe utanifanya nipigwe ban bure she.z kabisa. Ushaona Mtanganyika anapewa ardhi Zanzibar?
 
hawa ndiyo wala bahasha wenyewe, sasa ni hivi dili limeshambumbuluka.... bahashaaaaaaaaaa 😀 😀 😀
 
Wewe utanifanya nipigwe ban bure she.z kabisa. Ushaona Mtanganyika anapewa ardhi Zanzibar?
Unamlalamikia nani? Wazanzibar waliwaomba muwe kwenye Muungano au nyie ndio mnajipendekeza?
 
Bora hata nchi iuzwe mana hatuna uwezo na fursa hatuzioni ndo mana umaskini umekuwa sana kila kukicha. Namsihi Elon musk ainunue Africa nzima ili atufundishe Nini maana ya kufanya kazi kwa ufanisi siyo talalila zenu hizi za uzalendo wa kimaskini
Msomi uchwara uliyejikatia tamaa kabisa, rest in peace Mr. Modigliani!.
 
Hakuna watu wabinafsi kama wapemba.
Kuoa huko shida, kuishi huko shida, kuishi nao shida, kufanya biashara huko shida
 
Kibajaji anataka kuamisha mjadala kutoka kubinafsisha bandari iwe tunaimba ubaguzi.Ubaguzi ni kitu kidogo tu kwenye hoja ya msingi.Ubaguzi aujawahi kuisha tangu kuumbwa kwa ulimwengu.Hata kwenye familia yake ,kijiji,mtaa ,mkoa ,kabila kuna ubaguzi ni kiwango tu kimetofautiana.Tu discuss hoja ya msingi inayohusu ubinafsishaji wa bandari,achambue vipengele na yeye ili kila mtanzania aelewe nini hasa kinahusiana na ubinafsishaji.Kuna faida,nini hasara nk .Ache siasa.Kuna watu wabaguzi kama CCM inapokuja issue ya CCM na vyama vya upinzani
 
Kweli Mbowe alikosea kuropoka kuhusu Zanzibar na Wazanzibar.

Saa zingine naona ACT hutumia akili kufikiri na kuchambua mambo kuliko Chadema
Upumbavu ni sifa kama ufupi au urefu.
Kutetea Tanganyika si kuropoka ni ukweli halisi.
Signatory wa mkataba wote from Zanzibar Waziti Makeme Mnyaa na Katibu Mkuu Balozi Amour.
Mkataba hagusi Bandari za Zanzibar hata moja.
Masuala ya Bandari ni ya muungano sasa kwanini mito,Maziwa na Bahari za Tanganyika ziuzwe na Wazanzibar wasiokuwa na uchungu na rasilimali za Tanganyika!.

Waziri na Katibu mkuu hawana uchungu na Tanganyika
 
We mjinga Ukiulizwa Tanganyika inafaidika vipi na Muungano utajibu vipi? Mwinyi si alinuwa Mzanzibar akauza Lolindo?
Mjinga ni wewe, baba yako, mama yako.
 
Ndi hivyo sasa hata aropoke hakuna atachobadilisha zaidi kajiumiza yeye.

Lissu kakaa kimya kama si yeye
 
Ukifanya vibaya mambo mengi yanakuja.
Wakati wa Magufuri Wasukuma walisemwa sana.
Mpaka wakaundiwa Sukuma Gang.

Kinachotakiwa ni Kiongozi kuwa msafi na muadilifu kwa mali za Umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…