Hata na mie nazisubiria kwa kweli.Mbn ni mapema sana ,sasa? Nasubiri zile threads za nani mkali ,kama ya Kibu na Mayele,ππ
Mkuu, jaribu kupangilia vizuri uandishi wako maana unaonekana una factsNakuonaga unajua mpira kumne hamna kitu 1)toa statistics za phiri kupoteza mipira na kimo chake kulinganisha na baleke na kibu 2) Mose sio namba 10 ila ni modern stricker ambaye anaweza kucheza 10, winger na hata natural stricker na akakupa matokeo. Kipindi cha mgunda alikua anamtumia kama stricker wa mwisho na uliona moto wake alivyokua anapambana na mayele. Aina io ya washambuliaji kwa bongo hua ni rahisi kufunga sana coz mabeki sio rahisi kukusoma. Uyo Baleke mnayesema anakaba sijui nn ngoja uone msimu huu 3)Ishu sio fitness. Alipata majereha akarudi. Benchi la ufundi toka msimu uliopita lilikua linafanya kazi gani kurudisha fitness yake? Aiya micson fitness ipo chini lakini zile products bado anazo mguuni hv ndo utasema umweke benchi? Kama sababu ni hvyo ajaribu basi kumweka naye benchi afu uone kocha atakavyopigwa mawe. Mbaya zaidi unapomuweka muda mrefu nje mchezaji hata hali ya kujiamini inashuka io ni shida sana 4) Tupe statistics zako mana phiri magoli ya nje ya 18 keshafunga sana tu 5) Hapa ndo umepuyanga kabisa kwasababu kama ni hvyo basi chama pia sio mchezaji wa mechi kubwa. Mind You ndiye aliyefunga goli lililoipeleka simba hatua ya makundi Caf 6)Nakupa mfano mdogo tu Nabi kaja kawajenga wachezaji aliowakuta na waliosajiliwa yanga wakapata kikosi kipana ambacho hakimtegemei mchezaji mmoja labda sehem ya stricker ndo walikua wanahaha pia Gamondi kaja uliona kikkosi cha first half na second ni kama havipishani. Why not usiwajenge hao wachezaji wafit kwenye mfumo? Mi nasemaga sidhani kama ni ngumu au haiwezekan. Kocha mpya akija wajenge wachezaji waingie kwenye mfumo wako
HahahahahahaHata na mie nazisubiria kwa kweli.
Huwa zinafurahisha sana mambo yanapokujaga hasi tofauti ya matarajio ya mleta uzi. ππ
Nitajitahd mkuu. ShukraniMkuu, jaribu kupangilia vizuri uandishi wako maana unaonekana una facts
Moses Philip anapoteza sana pasi,[emoji23][emoji23][emoji23]
Phiri anauwezo mkubwa wa kukaa na Mpira pia anauwezo wa kufunga nje ya 18, kwa anaejua soka huwez kufananisha uwezo wa phiri na kyombo,boko, Saido ama Kibu, Unamkosea heshima....ngoja tuone Kama tutaweza kwa kuwategemea wachezaji hao wanaokabia juu Kama walivyopambwa.Ni swali Zuri.
Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.
Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,
1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.
2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.
3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.
4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno
5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza
6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1
BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUMUONA BANDA.
elewa hoja kwanzaaNi swali Zuri.
Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.
Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,
1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.
2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.
3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.
4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno
5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza
6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1
BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUM
Ni swali Zuri.
Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.
Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,
1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.
2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.
3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.
4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno
5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza
6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1
BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUMUONA
Ni swali Zuri.
Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.
Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,
1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.
2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.
3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.
4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno
5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza
6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1
BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUMUONA BANDA.