Kuhusu Moses Phiri naomba nisiwe mnafiki

Kuhusu Moses Phiri naomba nisiwe mnafiki

Nakuonaga unajua mpira kumne hamna kitu 1)toa statistics za phiri kupoteza mipira na kimo chake kulinganisha na baleke na kibu 2) Mose sio namba 10 ila ni modern stricker ambaye anaweza kucheza 10, winger na hata natural stricker na akakupa matokeo. Kipindi cha mgunda alikua anamtumia kama stricker wa mwisho na uliona moto wake alivyokua anapambana na mayele. Aina io ya washambuliaji kwa bongo hua ni rahisi kufunga sana coz mabeki sio rahisi kukusoma. Uyo Baleke mnayesema anakaba sijui nn ngoja uone msimu huu 3)Ishu sio fitness. Alipata majereha akarudi. Benchi la ufundi toka msimu uliopita lilikua linafanya kazi gani kurudisha fitness yake? Aiya micson fitness ipo chini lakini zile products bado anazo mguuni hv ndo utasema umweke benchi? Kama sababu ni hvyo ajaribu basi kumweka naye benchi afu uone kocha atakavyopigwa mawe. Mbaya zaidi unapomuweka muda mrefu nje mchezaji hata hali ya kujiamini inashuka io ni shida sana 4) Tupe statistics zako mana phiri magoli ya nje ya 18 keshafunga sana tu 5) Hapa ndo umepuyanga kabisa kwasababu kama ni hvyo basi chama pia sio mchezaji wa mechi kubwa. Mind You ndiye aliyefunga goli lililoipeleka simba hatua ya makundi Caf 6)Nakupa mfano mdogo tu Nabi kaja kawajenga wachezaji aliowakuta na waliosajiliwa yanga wakapata kikosi kipana ambacho hakimtegemei mchezaji mmoja labda sehem ya stricker ndo walikua wanahaha pia Gamondi kaja uliona kikkosi cha first half na second ni kama havipishani. Why not usiwajenge hao wachezaji wafit kwenye mfumo? Mi nasemaga sidhani kama ni ngumu au haiwezekan. Kocha mpya akija wajenge wachezaji waingie kwenye mfumo wako
Mkuu, jaribu kupangilia vizuri uandishi wako maana unaonekana una facts
 
Pamoja na kuwa na timu bora iliyokamilika kila idara, haiondoi ukweli kwamba Gen. Moses Phiri ni mojawapo ya mchezaji wa kiwango cha juu kwenye ukanda wetu huu wa CECAFA.

Kocha Roberto asipobadilisha tabia yake ya kuwagawa wachezaji na kuonyesha upendeleo tena wa wazi wazi kwa baadhi ya wachezaji itakuja kumgharimu na atakosa pakutokea.

Clatous Chama ni mojawapo ya wachezaji waliopitia kadhia za Roberto, na kama isingelikuwa sauti za mashabiki kupiga kelele kwa uamuzi wa Roberto kumbania bania Chama, huenda yangemsibu haya anayopitia Gen Moses Phiri.


Muda utaongea.
SIMBASC #NguvuMoja #UnyamaMwingi.
 
Naona kocha ataondoka mapema kabla ya Phirri
 
Huyu aliyemuumiza Phiri ameitendea haki hela ya GSM aliyopokea kwa kazi chafu hii
 
Ni swali Zuri.

Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.

Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,

1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.

2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.

3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.

4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno

5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza

6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1


BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUMUONA BANDA.
Phiri anauwezo mkubwa wa kukaa na Mpira pia anauwezo wa kufunga nje ya 18, kwa anaejua soka huwez kufananisha uwezo wa phiri na kyombo,boko, Saido ama Kibu, Unamkosea heshima....ngoja tuone Kama tutaweza kwa kuwategemea wachezaji hao wanaokabia juu Kama walivyopambwa.
 
Ni swali Zuri.

Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.

Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,

1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.

2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.

3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.

4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno

5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza

6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1


BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUM
Ni swali Zuri.

Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.

Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,

1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.

2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.

3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.

4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno

5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza

6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1


BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUMUONA
Ni swali Zuri.

Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.

Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,

1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.

2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.

3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.

4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno

5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza

6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1


BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUMUONA BANDA.
elewa hoja kwanzaa


complains za mashabiki ni why achezi?
ok mnasema fitness inamana mchezaji almost miez 6 hana
fitness ?

sasa kama hana fitness na ayupo
kwenye plan za coach kwann asiweoffloaded kwenda timu nyingine?

lakini the way umemchambua moses apo siyo huyu jenerali tunaemjua
ile ni talent inayofia benchi bro .

na ukisema jamaa asaidiii timu kumbuka katoa mchango wa magoli
almost 5 kwenye ligi ya mabingwa kati ya goli zote simba walizofunga

sasa uyo saidoo hata azingue vipi huwa atolewi na kwenye issue ya kuisaidia timu kukaba sidhan kama
yupo fit ivo.

note;
chuki tu ndy zinapoteza kipaji cha jenerali.
 
Nadhani tuache uswahili,kocha ndo anajua nani anamtaka,mi naona phiri angeachwa aende zake tu,huwezi mweka nje baleke au kibu kisa phiri,ni ngumu tena sana .

Robertinho anataka wachezaji walio active kukaba,ila sasa kaka general hawezi kukaba,hapo ndo anapopishana na mbrazil afadhali chama kidogo ila naye kwa sababu ya jina lake tu lasivyo mbrazil angemtema cos saidoo anaweza kucover namba yake vyema.

All in all,tumuache kocha afanye kazi yake,sisi tumuulize mwisho wa msimu kama kafanikiwa au la.
 
Back
Top Bottom