Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaani,watu wengine bwana..Malisa kaingiaje hapo?
AiseeDah kana umbo matata sana very fit for human consumption.
Wanakuja studio, sio kupiga simuKama wanaopiga simu ni wahitaji kweli muache awasaidie ila kama wazushi endelea kukutea hoja yako
Alisema LuckydubeHERI MKONO UTOAO KWA WAHITAJI KULIKO ULE UNAOPOKEA ZAIDI KILIKO KUTOA
Hivi ile ya Malisa ni ya ukweli au kina usanii? Pia je kuna auditing kwa kile afanyacho?Malisa Godlisten ni mwisho wa matatizo.
Rebeca anahitaji mawazo zaidi ili apanue huduma yake
Hakika brooooRFA yenyewe hawalipi wafanyakazi mishahara ndo maana unaweza ukawasha radio ukaskiliza mtangazaji mmoja kwanzia asubuhi had jion, watangazaji wanaishi kwa nguvu ya wadau
Huyo mtoto wa mama Sabuni alikuwa anatangaza kama cherehani yanavyomtoka maneno kwa speed.Rebecca mulesi wa kitambo sana, huyu ukimpeleka clouds or wasafi atashika no 1.
Watangazaji wa RFA/STAR TV wako vizuri mno, 1 Gabriel zakaria, ivona kamuntu, fredwaa, yahya mohamed, ahmed baragaza, muhsin mambo marehemu, roy maganga, samadu hassan, hilal riyami, mtoto wa mama sabuni sijui yuko wapi huyu mdada mwenye sauti nyororo, raimond nyamwihula, brwan muhuza n.k
Kwa hiyo naye atupe namba yake ya Mpesa?Huyo mwana mama anayo roho ya upendo sana, jinsi anavyokipangilia kile kipindi na kukiendesha, anaitaji tunzo.
Msaada unatumwa moja kwa moja kwa namba ya mlengwa. Kwa hiyo auditions hamna.Hivi ile ya Malisa ni ya ukweli au kina usanii? Pia je kuna auditing kwa kile afanyacho?
Mkuu hao uliwataka wengine ni wakuu wa wilaya wengine walishahama na wengine wamekufa. Au upo nje ya nchi?Rebecca mulesi wa kitambo sana, huyu ukimpeleka clouds or wasafi atashika no 1.
Watangazaji wa RFA/STAR TV wako vizuri mno, 1 Gabriel zakaria, ivona kamuntu, fredwaa, yahya mohamed, ahmed baragaza, muhsin mambo marehemu, roy maganga, samadu hassan, hilal riyami, mtoto wa mama sabuni sijui yuko wapi huyu mdada mwenye sauti nyororo, raimond nyamwihula, brwan muhuza n.k
Hiv roy maganga ni marehemu?Rebecca mulesi wa kitambo sana, huyu ukimpeleka clouds or wasafi atashika no 1.
Watangazaji wa RFA/STAR TV wako vizuri mno, 1 Gabriel zakaria, ivona kamuntu, fredwaa, yahya mohamed, ahmed baragaza, muhsin mambo marehemu, roy maganga, samadu hassan, hilal riyami, mtoto wa mama sabuni sijui yuko wapi huyu mdada mwenye sauti nyororo, raimond nyamwihula, brwan muhuza n.k
Nimemshangaa sana mdau wengine hapo wamekufa Ameongea as if wako haiMkuu hao uliwataka wengine ni wakuu wa wilaya wengine walishahama na wengine wamekufa. Au upo nje ya nchi?
Kweli kabisaHERI MKONO UTOAO KWA WAHITAJI KULIKO ULE UNAOPOKEA ZAIDI KILIKO KUTOA
Naona Kuna uwezekano huo?Kila mtu anamuona mtu mwingine kwa usawa wa sehemu aliyosimama.. pengine huyo dada kapitia maisha ya ghadhabu/ukosefu wa mahitaji na kuteseka sana kwa hivyo anafahamu wanapitia hali gani? Hao anaowasaidia Na anachokipata anaona hastahili kula peke yake... huu ni WITO M/MUNGU atamsimamia.. maana kuna watu wana pesa/mali nyingi ila hawafikilii kabsa kuhusu watu kama hao .. tupo na tunatafuta ilitupate tufanye matumizi yetu ya lazima na kilichosalia tukirudishe kwenye jamii unakirudisha kwa njia gani? Akili na kichwa chako.. hivyo tu
Hivi Malisa aliingiaje humu?Malisa Godlisten ni mwisho wa matatizo.
Rebeca anahitaji mawazo zaidi ili apanue huduma yake