Kuhusu Mtangazaji Rebeka Mulesi wa Radio Free Africa

Kuhusu Mtangazaji Rebeka Mulesi wa Radio Free Africa

Heri wasikilizaj wa clouds fm njia panda huwa wako fasta kutuma hela kuliko wa rfa kupata hela hapo n ngumu mno
 
Rebecca mulesi wa kitambo sana, huyu ukimpeleka clouds or wasafi atashika no 1.

Watangazaji wa RFA/STAR TV wako vizuri mno, 1 Gabriel zakaria, ivona kamuntu, fredwaa, yahya mohamed, ahmed baragaza, muhsin mambo marehemu, roy maganga, samadu hassan, hilal riyami, mtoto wa mama sabuni sijui yuko wapi huyu mdada mwenye sauti nyororo, raimond nyamwihula, brwan muhuza n.k
 
RFA yenyewe hawalipi wafanyakazi mishahara ndo maana unaweza ukawasha radio ukaskiliza mtangazaji mmoja kwanzia asubuhi had jion, watangazaji wanaishi kwa nguvu ya wadau
Hakika broooo
 
Rebecca mulesi wa kitambo sana, huyu ukimpeleka clouds or wasafi atashika no 1.

Watangazaji wa RFA/STAR TV wako vizuri mno, 1 Gabriel zakaria, ivona kamuntu, fredwaa, yahya mohamed, ahmed baragaza, muhsin mambo marehemu, roy maganga, samadu hassan, hilal riyami, mtoto wa mama sabuni sijui yuko wapi huyu mdada mwenye sauti nyororo, raimond nyamwihula, brwan muhuza n.k
Huyo mtoto wa mama Sabuni alikuwa anatangaza kama cherehani yanavyomtoka maneno kwa speed.
 
Rebecca mulesi wa kitambo sana, huyu ukimpeleka clouds or wasafi atashika no 1.

Watangazaji wa RFA/STAR TV wako vizuri mno, 1 Gabriel zakaria, ivona kamuntu, fredwaa, yahya mohamed, ahmed baragaza, muhsin mambo marehemu, roy maganga, samadu hassan, hilal riyami, mtoto wa mama sabuni sijui yuko wapi huyu mdada mwenye sauti nyororo, raimond nyamwihula, brwan muhuza n.k
Mkuu hao uliwataka wengine ni wakuu wa wilaya wengine walishahama na wengine wamekufa. Au upo nje ya nchi?
 
Rebecca mulesi wa kitambo sana, huyu ukimpeleka clouds or wasafi atashika no 1.

Watangazaji wa RFA/STAR TV wako vizuri mno, 1 Gabriel zakaria, ivona kamuntu, fredwaa, yahya mohamed, ahmed baragaza, muhsin mambo marehemu, roy maganga, samadu hassan, hilal riyami, mtoto wa mama sabuni sijui yuko wapi huyu mdada mwenye sauti nyororo, raimond nyamwihula, brwan muhuza n.k
Hiv roy maganga ni marehemu?
 
Kila mtu anamuona mtu mwingine kwa usawa wa sehemu aliyosimama.. pengine huyo dada kapitia maisha ya ghadhabu/ukosefu wa mahitaji na kuteseka sana kwa hivyo anafahamu wanapitia hali gani? Hao anaowasaidia Na anachokipata anaona hastahili kula peke yake... huu ni WITO M/MUNGU atamsimamia.. maana kuna watu wana pesa/mali nyingi ila hawafikilii kabsa kuhusu watu kama hao .. tupo na tunatafuta ilitupate tufanye matumizi yetu ya lazima na kilichosalia tukirudishe kwenye jamii unakirudisha kwa njia gani? Akili na kichwa chako.. hivyo tu
 
Mkuu hao uliwataka wengine ni wakuu wa wilaya wengine walishahama na wengine wamekufa. Au upo nje ya nchi?
Nimemshangaa sana mdau wengine hapo wamekufa Ameongea as if wako hai
 
Kila mtu anamuona mtu mwingine kwa usawa wa sehemu aliyosimama.. pengine huyo dada kapitia maisha ya ghadhabu/ukosefu wa mahitaji na kuteseka sana kwa hivyo anafahamu wanapitia hali gani? Hao anaowasaidia Na anachokipata anaona hastahili kula peke yake... huu ni WITO M/MUNGU atamsimamia.. maana kuna watu wana pesa/mali nyingi ila hawafikilii kabsa kuhusu watu kama hao .. tupo na tunatafuta ilitupate tufanye matumizi yetu ya lazima na kilichosalia tukirudishe kwenye jamii unakirudisha kwa njia gani? Akili na kichwa chako.. hivyo tu
Naona Kuna uwezekano huo?
 
Back
Top Bottom