Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Hatukatai but Mungu yupi??,maana kila jamii ina Mungu wake.
 
Mkuu huo uthibitisho wa uwepo wa design toafuti tofauti ya Dunia unaupata wapi au kutoka kwa nani?.sio vyote vina uthubitisho. Vitu ambavyo ni man made utapata uthibitisho wa design,je vitu ambavyo sio man made-kama wanyama,milima,miti,bahari,maziwa, upepo,joto,na baridi utajuaje ni design au sio design na kama ni design ni nani anathibitisha?.
So,vitu ambavyo sio man made yamkini vilitokea tu au vilitengenezwa ila hakuna uthibitisho-hivyo huwezi jua kama vina design au havina design.
 
Unamaanisha nini unapotaka reference kwenye macho kuona design?

Akili yenye afya ikiona Tunda La Nanasi na
Unadhani kama Mungu yupo atakua anahitaji kuprove chochote? Unafikiri atapata hasara yoyote au faida yoyote ukimheshimu au ukimjua? No.

Kama yupo na kama amefanya yote hawezi kuhitaji chochote kwetu, zaidi sana tunahitaji kutoka kwake
Mungu yupi sasa unamzungumzia,Duniani kuna jamii nyingi ya watu na kila jamii ina Mungu wake.sasa hapa wewe unamzungumzia Mungu yupi???

At least 18,000 different gods, goddesses and various animals or objects have been worshipped by humans.
 
Ulimwengu wa roho ni vitu visivyothibitika,kama unaendesha mambo makubwa ni hisia zako ndio zinakutuma hivyo.hakuna uthibitisho katika hilo.
 
Mkuu emu kunywa kwanza maji,halafu usome ulichoandika.
 
Unapouliza kwamba uthibitisho wa designs tofauti tofauti unaupata wapi, unaonyesha wazi kwamba hujaelewa maana ya design...........Tunaposema kuna designs tofauti tofauti kwenye Viumbe hai na ulimwengu (Universe) kwa ujumla tunamaanisha vitu mbalimbali tunavyoviona ambavyo vina sifa tofauti kwenye muundo, rangi, ladha, mwendo, size, mvuto, matumizi na kadhalika.


Kwa mfano, Macho yako mawili na figo zako mbili hazifanani,..Kwanini? kwasababu figo na macho zina muundo, size na hata matumizi na kazi tofauti,. hivyo tunasema viungo hivyo viwili vina design tofauti.......lakini pia unaweza kutofautisha kati ya Mnyama Chui na Mnyama Pundamilia kwa kuwa wanyama hao wana muundo, size, muonekano na mvuto tofauti,........

SO KWA KUMALIZIA NI KWAMBA UTHIBITISHO WA UWEPO WA DESIGNS TOFAUTI TUNAUPATA KWA KUANGALIA MIPANGILIO NA MUONEKANO TOFAUTI TOFAUTI WA VITU MBALIMBALI, NA SIO KWAMBA KUNA MTU MAALUMU WA KUKUAMBIA KWAMBA WEWE Econometrician NA MBU NI VIUMBE AMBAO MNA UMBILE( AMBALO NDIYO DESIGN YENYEWE HIYO) TOFAUTI.

Ikiwa hujaelewa unaweza kuuliza zaidi,.
 
Mungu yupi sasa unamzungumzia,Duniani kuna jamii nyingi ya watu na kila jamii ina Mungu wake.sasa hapa wewe unamzungumzia Mungu yupi???

At least 18,000 different gods, goddesses and various animals or objects have been worshipped by humans.
Duniani kuna watu ambao wanaweza hata kukufanya wewe kuwa Mungu lakini hiyo haikufanyi wewe Econometrician kuwa Mungu............watu wenye akili timamu dunia nzima wanapozungumzia kuhusu Mungu wanamaanisha yule ambae ameweka mpangilio wa vitu mbalimbali ikiwemo kukufanya uwe na vidole vya kutype hapa,.... Namaanisha Mungu ambaye amefanya maisha haya tunayoyaona yawepo kwenye hali na muundo huu uliopo......sasa ukiona mtu anasema Mungu wake ni Jiwe, Pipi au Chocolate hiyo isikuchanganye as long as akili yako inafanya kazi vizuri na unaweza kutofautisha right & wrong.


Naamini hii itakufanya uelewe na hutorudia kuuliza tena watu wenye akili zenye afya wanamaanisha Mungu yupi,..........Yaani in short ni kwamba kama hakuna Mungu aliyeumba viumbe na ulimwengu kwa ujumla,.. basi kutakua hakuna yoyote anaestahili kuitwa Mungu muumbaji....


Ikiwa hujaelewa,. unaweza kuuliza
 
YESU NDIE NJIA, KWELI NA UZIMA,AAMINIYE ATAOKOLEWA ASIYEAMINI ATAHUKUMIWA.
issue sio dini issue ni kutambua uwepo wa Mungu na kumuishi, ukifa utakuwa judged kwa terms za Mungu mwenyewe especially matendo yako kwa Mungu na kwa wengine, ila mwsho wa siku neema ya Mungu ndo itaamua final destination yako ni wapi
 
M nilipofikia najiona nipo,nilikuepo na nitakuepo(wakati wa sasa,uliopita na ujao)

Kuna creator (Mungu) lengo tuujaze huu ulimwengu how? Ndio watu wanatuma vyombo mars,mwenzini n.k kwa technology ya sasa ivyo huu mwili ukichakaa nitaondoka ila baada ya muda fulani nitarudi kuendeleza gurudumu.

Nikimaanisha hakuna moto wala pepo ila tuko kwenye mzunguko.
 
Mhindi Kuabudu Ng'ombe kama Mungu na hapo hapo Ng'ombe huyo huyo mungu wake anamkatia majani inafikirisha sana.
 
Mimi nadhani ifike mahali tuache kujadili maswala ya mungu/miungu nk. Naona kama ni kupoteza muda tu.

Ni sawa na kujadili mambo ya kifo, kwamba nini kitatokea baada ya kifo. Hakuna alieko hai anaejua nini kitatokea baada ya kifo! Kwahiyo kujadili ni kupoteza muda tu na kujazana ujinga.

Hapa duniani hakuna binadamu yoyote anaejua KWA UHAKIKA Mungu ni nini, yupo au hayupo, kama yupo yuko wapi, mbinguni ni wapi, sisi tulitoka wapi nk. Wote tunajua tunachojua kupitia kusikia au kusoma hadithi za watu ambao nao walisikia au kusoma hadithi za wengine.
 
Bro hata kama hayupo ungebalance kidogo basi you are hurting my feelings maana hapa nilipo ni miujiza tu inaweza niokoa
Mkuu,

Kwenye hii Dunia ili utie huruma inabidi uwe na uhakika una watu watakao kuonea huruma, otherwise jitahidi kukaza.

In the jungle of life your salvation is largely in your hands, There is no God who can do anything for you.

Tafakari picha hii, Ndipo utajua hakuna Mungu wa kusaidia chochote.

Jitihada zako ndizo zitakazo kuokoa.
 

Attachments

  • Screenshot_20240527-134558_1.jpg
    136.3 KB · Views: 8
Mungu huyo, Alishindwaje kuumba binadamu watakao mtambua na kumwamini siku zote na wakati wote?

Huyo Mungu, Hakujua kwamba anapaswa kuaminiwa na kila mtu?

Au alifanya makusudi kuumba binadamu wenye uwezo wa kutomwamini ili aje awaadhibu?

Halafu akisha waadhibu anapata faida gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…