Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Mungu hapimwi katika vitu na Mazingira ya Kibinadamu,huwezi ona,kugusa au kusema namna fulani ndio kipimo cha kufanya yeye awepo au asiwepo hata hizi dini hizi majority of them hawaelewi concept ya Uungu
Yaani ni Mbumbumbu sababu wao wanajaribu kumtafuta Mungu out of them hawaelewi kua Uungu ni Asili yaani Nature
Ni hivi kila kitu kinachoexist katika Ulimwengu huu ikiwemo wao ndio MUNGU kama Asili maana huwezi tenganisha Uungu na vitu vyake yaani yeye ni chanzo cha vyote na haexist mahali popote ukamwona maana hata hapo popote ni yeye mwenyewe,
GOD is everything dat exist,
Yaani kila kitu ni Mungu na Mungu ndio kila kitu,

Dini na mafundisho yake toka kale yalipokea tofauti kuhusu Uungu wakidhani yeye ni extra kumbe ni Intra

Aliyekuja kufunua siri ya Uungu ni Master Yashua Amashiach Mnazarene (Jesus Christ)
Yeye ndie pekee aliyefunua siri ya Uungu kwamba yeye ni Mwana wa Mungu yaani Uungu usioonekana ndie yeye katika mwili (code 1)
Na anaenda mbali kia kila mtu Mungu yupo ndani yake ni wewe kukubaliana na anachokisema na ukatambua itakuafanya uamshe Roho Mtakatifu (Mungu ndani Yako)
Na kufanya kuwa sehemu yake (code 2)

Kwamba wewe ndie Mungu na kila kitu kinachokuzunguka kiliumbwa ukitawale sababu wewe ndie muumbaji wa vyote
(man is fresh and spirit)
Yaani kabla hujawa mwili ulikua Roho na katika Roho ulikua mmoja na Mungu (Katika Asili)

Hivyo katika Ulimwengu wa Roho Bwana
Yashua Amashiach
(Jesus Christ) ndie mzaliwa wa kwanza wa Mungu maana yeye ndie aliyekua wa kwanza kujua siri ya Uungu na kutufunulia Wanadamu hivyo yeye na ile Asili vilikua kwanza kushikana na huwezi vitenganisha kwa sababu ni kitu kimoja katika Mazingira tofauti,

Ukitambua hii siri ya Uungu na ukifanya kile Neno la Yesu limekuagiza ufuate na ukitambua inafungua milango ya wewe kuzaliwa mara ya pili
(kuingia katika Ulimwengu wa Roho)
Na hapo unaenda kua Immortal!

Nitaendelea siku nyingine kukufunulia siri ya Uungu!
Siri ambazo religion never tell you because of ignorance and lack of truth!
Accumen Mo Saad30
Unajua wewe una ji contradict mwenyewe wala hata huelewi ulicho kiandika.

Mwanzoni ulianza kwa kusema, Mungu hapimwi katika vitu na mazingira ya kibinadamu.

Halafu tena unasema kila kitu kinacho exist na chenyewe ni Mungu...

Hapa tayari umeshampima huyo Mungu kwaku mfananisha na vitu na mazingira ya kibinadamu.

Kama Mungu ni kila kitu na kila kitu ni Mungu, Kwa hiyo huyo Mungu alijiumba ili awe kila kitu kisha ajitawale tena yeye mwenyewe?

Kama kila kitu ni Mungu including sisi binadamu, Utasemaje kwamba tuliumbwa?

Kama sisi binadamu tuliumbwa, Je sisi sio Mungu?

Kama sisi binadamu ni Mungu, Ni Mungu gani tena alituumba?
 
Unajua wewe una ji contradict mwenyewe wala hata huelewi ulicho kiandika.

Mwanzoni ulianza kwa kusema, Mungu hapimwi katika vitu na mazingira ya kibinadamu.

Halafu tena unasema kila kitu kinacho exist na chenyewe ni Mungu...

Hapa tayari umeshampima huyo Mungu kwaku mfananisha na vitu na mazingira ya kibinadamu.

Kama Mungu ni kila kitu na kila kitu ni Mungu, Kwa hiyo huyo Mungu alijiumba ili awe kila kitu kisha ajitawale tena yeye mwenyewe?

Kama kila kitu ni Mungu including sisi binadamu, Utasemaje kwamba tuliumbwa?

Kama sisi binadamu tuliumbwa, Je sisi sio Mungu?

Kama sisi binadamu ni Mungu, Ni Mungu gani tena alituumba?
Nashindwa kuelezea katika lugha ya kawaida, navyosema Mungu hapimwi katika vitu namaanisha watu humpima Mungu Katika vitu vya nje yaani katika macho ya kawaida wakidhani ni extra Ili wapate matokeo,

Swali lako la mwisho kila unachoona Katika macho ya kawaida kilitoka katika vitu visivyoonekana ina maana kabla havijaexist kila kitu kilikuepo katika Ulimwengu wa Roho infinity havina mwanzo wala mwisho,
Creation ilitokea kudhihirisha vitu vya ndani vikatoka nje dhahili

Kiufupi najaribu kuelezea katika lugha ya Kibinadamu ndio maana nakosa namna ya kuelezea vitu spiritual maana katika lugha ya Kibinadamu ni vitu vigumu kuvielewa
Ni hivi kila kitu katika Ulimwengu wa Roho na Mwili vipo katika Infinity

Weird!
 
Nashindwa kuelezea katika lugha ya kawaida, navyosema Mungu hapimwi katika vitu namaanisha watu humpima Mungu Katika vitu vya nje yaani katika macho ya kawaida wakidhani ni extra Ili wapate matokeo,

Swali lako la mwisho kila unachoona Katika macho ya kawaida kilitoka katika vitu visivyoonekana ina maana kabla havijaexist kila kitu kilikuepo katika Ulimwengu wa Roho infinity havina mwanzo wala mwisho,
Creation ilitokea kudhihirisha vitu vya ndani vikatoka nje dhahili

Kiufupi najaribu kuelezea katika lugha ya Kibinadamu ndio maana nakosa namna ya kuelezea vitu spiritual maana katika lugha ya Kibinadamu ni vitu vigumu kuvielewa
Ni hivi kila kitu katika Ulimwengu wa Roho na Mwili vipo katika Infinity

Weird!

Hivi ndivyo nnavoelewa!kila kitu kinachoonekana kwa macho ujue kilianzia kwanza kwenye ulimwengu wa roho!ulimwengu huu una mambo mengi sana ambayo hayajawahi kuonekana na macho yetu kuliko haya tunayoyaona kwa macho!Nadiriki kusema inawezekana ukaishi Duniani miaka 200 na ufahamu wako kuhusu dunia na ulimwengu ukawa haujafika hata 1%.
 
Hivi ndivyo nnavoelewa!kila kitu kinachoonekana kwa macho ujue kilianzia kwanza kwenye ulimwengu wa roho!ulimwengu huu una mambo mengi sana ambayo hayajawahi kuonekana na macho yetu kuliko haya tunayoyaona kwa macho!Nadiriki kusema inawezekana ukaishi Duniani miaka 200 na ufahamu wako kuhusu dunia na ulimwengu ukawa haujafika hata 1%.
Huo ulimwengu wa roho kama haujawahi kuonekana kwa macho, Aliyesema ulimwengu huo upo yeye aliuona wapi?
 
Hivi ndivyo nnavoelewa!kila kitu kinachoonekana kwa macho ujue kilianzia kwanza kwenye ulimwengu wa roho!ulimwengu huu una mambo mengi sana ambayo hayajawahi kuonekana na macho yetu kuliko haya tunayoyaona kwa macho!Nadiriki kusema inawezekana ukaishi Duniani miaka 200 na ufahamu wako kuhusu dunia na ulimwengu ukawa haujafika hata 1%.
Kweli mkuu Ulimwengu wa Roho ni complex sana sema watu wengi hawajawahi kuuexperience ndio maana inakua ngumu kumuelezea mtu ni namna gani mambo yanaenda katika Ulimwengu,
Unajua hata wanasayansi wanajaribu kufanya jitihada kutaka kuufahamu Ulimwengu wa Huu wa kawaida kwa kutumia akili zao formula,na namna ya Elimu walizojitungia wenyewe hapa ndipo utaona kina Kiranga &co wanajaribu kutaka kutumia formula kuelezea Ulimwengu ajabu hawajui Ili uujue Ulimwengu huu hata kwa pointi 1 anzia kwenye Spiritual Realm kuuchunguza utakuja kushuhudia mambo ya ajabu na makubwa yatakayo kupa mshtuko wa moyo
Maana huko ndiko utapata namna gani Light na Dark science vinafanya kazi
Mambo ya Dimensions na mwingiliano wa viumbe katika Ulimwengu wa mwili na roho unavyoathiri maisha ya kawaida utakuja shtuka hapa Duniani kuna race kipao zimejichimbia kwa maelfu ya miaka na zina fanya mambo yao kimya kimya ila kwasababu wapo high advanced kwenye science na Technology wamejificha kwenye Dimensions ambapo kamwe hutaona kitu,
Their is secret behind all na ndio maana kuna secret Societies zinazooparate Haya maswala na wachache wanajua hii siri ya Ulimwengu wa Roho ndio wanatawala huu Ulimwengu wa macho ila wanazuga hawaelewi kitu kumbe ndio ma master Mind!
 
Kweli mkuu Ulimwengu wa Roho ni complex sana sema watu wengi hawajawahi kuuexperience ndio maana inakua ngumu kumuelezea mtu ni namna gani mambo yanaenda katika Ulimwengu,
Unajua hata wanasayansi wanajaribu kufanya jitihada kutaka kuufahamu Ulimwengu wa Huu wa kawaida kwa kutumia akili zao formula,na namna ya Elimu walizojitungia wenyewe hapa ndipo utaona kina Kiranga &co wanajaribu kutaka kutumia formula kuelezea Ulimwengu ajabu hawajui Ili uujue Ulimwengu huu hata kwa pointi 1 anzia kwenye Spiritual Realm kuuchunguza utakuja kushuhudia mambo ya ajabu na makubwa yatakayo kupa mshtuko wa moyo
Maana huko ndiko utapata namna gani Light na Dark science vinafanya kazi
Mambo ya Dimensions na mwingiliano wa viumbe katika Ulimwengu wa mwili na roho unavyoathiri maisha ya kawaida utakuja shtuka hapa Duniani kuna race kipao zimejichimbia kwa maelfu ya miaka na zina fanya mambo yao kimya kimya ila kwasababu wapo high advanced kwenye science na Technology wamejificha kwenye Dimensions ambapo kamwe hutaona kitu,
Their is secret behind all na ndio maana kuna secret Societies zinazooparate Haya maswala na wachache wanajua hii siri ya Ulimwengu wa Roho ndio wanatawala huu Ulimwengu wa macho ila wanazuga hawaelewi kitu kumbe ndio ma master Mind!
Wewe huo ulimwengu wa roho uli u experience wapi?

Kama ulimwengu wa roho hauonekani, wewe uliuona wapi?
 
Huo ulimwengu wa roho kama haujawahi kuonekana kwa macho, Aliyesema ulimwengu huo upo yeye aliuona wapi?
Hahaha Ulimwengu wa Roho haipimwi kwa macho na Mazingira mkuu,
Hauwezi ukaoneshwa ni huu au ule ukitaka kuu taste lazima Uingie huko maana ni Dimension nyingine,
Na kama unataka kuingia
Na unataka kuingia huko acha kuuwekea limit ubongo na moyo wako njoo nitafute kwa gharama yoyote nitakupa starting point nianze kukupa mambo ya Dimensions uingie huko kuona mambo nitafute nipo seriously!
 
Wewe huo ulimwengu wa roho uli u experience wapi?

Kama ulimwengu wa roho hauonekani, wewe uliuona wapi?
Nitafute nikupe siwezi kukuelezea tu hapa ukaelewa coz hata mimi nilikua kama wewe Mwaka jana tu nilibadiliasha gear angani,
Kiufupi nilishafikia kua Senior Atheist humu humu ila kutokana na kuchimba ukweli kuhusu accient civilization na high advanced tech ya kale nikaja kuingia 18 za Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm)
Nikaja pata mambo makuu yaliyonibadilisha mtazamo na sikuona aibu kurudi hapa JF na nikakiri kua nilikua sina maarifa na kama ulikua mfuatiliaji wa nyuzi zangu za maswala ya Accient civilization utajionea namna gani nimebadilika,
Now natambua Ulimwengu wa Roho unavyo endesha mambo makubwa na maendeleo na tafiti soon nitakuja dondosha uzi hapa namna gani Spiritual Realm inaendesha mambo yake na athari zake nitqkukaribisha katika hiyo thread!
 
Hahaha Ulimwengu wa Roho haipimwi kwa macho na Mazingira mkuu,
Hauwezi ukaoneshwa ni huu au ule ukitaka kuu taste lazima Uingie huko maana ni Dimension nyingine,
Na kama unataka kuingia
Na unataka kuingia huko acha kuuwekea limit ubongo na moyo wako njoo nitafute kwa gharama yoyote nitakupa starting point nianze kukupa mambo ya Dimensions uingie huko kuona mambo nitafute nipo seriously!
Wewe huo ulimwengu uliupima na nini?

Kama ulimwengu huo hauonekani, wewe uliwezaje kuuona?

Huoni kwamba unaji contradict mwenyewe, Kama ulimwengu huo hauonekani wewe uliwezaje kuuona?

Kama uliweza kuuona huo ulimwengu, Basi huo ulimwengu unaonekana.
 
Nitafute nikupe siwezi kukuelezea tu hapa ukaelewa coz hata mimi nilikua kama wewe Mwaka jana tu nilibadiliasha gear angani,
Kiufupi nilishafikia kua Senior Atheist humu humu ila kutokana na kuchimba ukweli kuhusu accient civilization na high advanced tech ya kale nikaja kuingia 18 za Ulimwengu wa Roho (Spiritual Realm)
Nikaja pata mambo makuu yaliyonibadilisha mtazamo na sikuona aibu kurudi hapa JF na nikakiri kua nilikua sina maarifa na kama ulikua mfuatiliaji wa nyuzi zangu za maswala ya Accient civilization utajionea namna gani nimebadilika,
Now natambua Ulimwengu wa Roho unavyo endesha mambo makubwa na maendeleo na tafiti soon nitakuja dondosha uzi hapa namna gani Spiritual Realm inaendesha mambo yake na athari zake nitqkukaribisha katika hiyo thread!
Huo ulimwengu wa roho ndo ushirikina au?
 
Ulijuaje kinaitwa akili?

Au umekuta jina tu kipawa hicho kikiitwa akili?

Aliyekiita kipawa hicho akili alijuaje anacho na kuthibitisha kinaitwa akili kweli?

Au alibuni jina tu " Akili" na kuamua kuita hivyo, kipawa hicho cha kufikiri, kuelewa,kujifunza na kuamua?
For greatest thinker ONLY 🏆
 
Huo ulimwengu wa roho ndo ushirikina au?
Ulimwengu wa Roho umegawanyika pande mbili
Mosi ni
Ulimwengu wa Nuru Unaongozwa na Master of High Realm Yashua Amashiach Mnazarene (Jesus Christ of Nazareth)
Kama LORD GOD huyu ni Nuru ni ana mng'ao mara Quatllion kuliko mng'ao wa jua letu na ndio source of everything in our Universe na out of our Universe,
Huyu anaitwa the Son of God na kila kitu kiliumbwa kwa ajili yake!

Pili ni Ulimwengu wa giza huu Unaongozwa na mkuu wa Giza Mwanzo alijulikana kama Queen of Heaven sasa ndie Ibilisi/Satan huyu aliyeteka uumbaji hatujui chanzo chake ila tangu Mwanzo wake ni mbaya na Mwongo hana kweli ndani yake ndie kabeba Maovu yote yanayoathiri Ulimwengu zote mbili na ana mwisho wake,
Na mwisho wake ni kukomeshwa na yule Mwana wa Mungu yaani Neno aliyefanyika mwili Yashua Amashiach Mnazarene!

Huo utakua mwisho wa uovu (end of evils)

Ndio maana kuna battle kali katika hizi Ulimwengu mbili nikipata muda nitaeleza ni namna gani haya mambo yanaendeshwa!
 
Wewe huo ulimwengu uliupima na nini?

Kama ulimwengu huo hauonekani, wewe uliwezaje kuuona?

Huoni kwamba unaji contradict mwenyewe, Kama ulimwengu huo hauonekani wewe uliwezaje kuuona?

Kama uliweza kuuona huo ulimwengu, Basi huo ulimwengu unaonekana.
Hakuna contradiction hapa kitu kama hukioni wewe Sio kila mtu hakioni au hakipo
Hata ungerudi Mwaka 1420 na kamwambia Vasco Da Gama kwamba tunaweza kutoka Portugal to India kwa chombo kinachopaa angani kwa masaa tu tunafika atakuona Mwendawazimu na unajicontradict unavyompa formula zake,
Hata huu umeme unatumia ukirudi Mwaka 1677 ukamwambia George Washington kwamba unaexist atakuona punguani ila haimanishi kitu ambacho hukioni wewe hakipo ila inahitaji formula kukiona kinaexist hapo ndipo siri ya maarifa inaanzia
Fungua ubongo tukupe maarifa vitu tunavyoexiperince wenzio bila hivyo utakua gizani na utajionea na maarifa na hoja kumbe bado kindergarten kuhusu mifumo ya vitu vingi!
 
Hakuna contradiction hapa kitu kama hukioni wewe Sio kila mtu hakioni au hakipo
Hata ungerudi Mwaka 1420 na kamwambia Vasco Da Gama kwamba tunaweza kutoka Portugal to India kwa chombo kinachopaa angani kwa masaa tu tunafika atakuona Mwendawazimu na unajicontradict unavyompa formula zake,
Hata huu umeme unatumia ukirudi Mwaka 1677 ukamwambia George Washington kwamba unaexist atakuona punguani ila haimanishi kitu ambacho hukioni wewe hakipo ila inahitaji formula kukiona kinaexist hapo ndipo siri ya maarifa inaanzia
Fungua ubongo tukupe maarifa vitu tunavyoexiperince wenzio bila hivyo utakua gizani na utajionea na maarifa na hoja kumbe bado kindergarten kuhusu mifumo ya vitu vingi!
Well narrated! Tatizo Infropreneur inaonyesha wazi amejikita kwenye ubishi yaani pamoja na maelezo na mifano clear uliyoweka hapo juu still atakuja kubisha......
 
Well narrated! Tatizo Infropreneur inaonyesha wazi amejikita kwenye ubishi yaani pamoja na maelezo na mifano clear uliyoweka hapo juu still atakuja kubisha......
Hata mimi nilikua kama yeye miaka michache tu hapo nyuma ila kutokana na utomaso nikajikuta katikati ya sintofahamu nilipojiona nimeingia kumi na nane za Spiritual Realm nikaja jua kumbe kila kitu kina wenyewe!
 
Hakuna contradiction hapa kitu kama hukioni wewe Sio kila mtu hakioni au hakipo
Hata ungerudi Mwaka 1420 na kamwambia Vasco Da Gama kwamba tunaweza kutoka Portugal to India kwa chombo kinachopaa angani kwa masaa tu tunafika atakuona Mwendawazimu na unajicontradict unavyompa formula zake,
Hata huu umeme unatumia ukirudi Mwaka 1677 ukamwambia George Washington kwamba unaexist atakuona punguani ila haimanishi kitu ambacho hukioni wewe hakipo ila inahitaji formula kukiona kinaexist hapo ndipo siri ya maarifa inaanzia
Fungua ubongo tukupe maarifa vitu tunavyoexiperince wenzio bila hivyo utakua gizani na utajionea na maarifa na hoja kumbe bado kindergarten kuhusu mifumo ya vitu vingi!
Sasa usiseme kwamba huo ulimwengu hauonekani.

Kama wewe umeweza kuuona huo ulimwengu hata mtu mwingine anaweza kuuona hivyo hivyo.

Hivyo huo ulimwengu unaonekana.

Hakuna ulimwengu usio onekana.
 
Well narrated! Tatizo Infropreneur inaonyesha wazi amejikita kwenye ubishi yaani pamoja na maelezo na mifano clear uliyoweka hapo juu still atakuja kubisha......
Huyu Dumas the terrible alianza kusema kwamba huo ulimwengu wa roho hauonekani, Halafu tena anadai yeye anauona.

Hivi huoni kwamba ana ji contradict mwenyewe?

Kama ulimwengu huo hauonekani, yeye kawezaje kuuona?

Kama ameweza kuuona huo ulimwengu, atasemaje kwamba hauonekani?

Huoni Contradiction hapo?
 
Hata mimi nilikua kama yeye miaka michache tu hapo nyuma ila kutokana na utomaso nikajikuta katikati ya sintofahamu nilipojiona nimeingia kumi na nane za Spiritual Realm nikaja jua kumbe kila kitu kina wenyewe!
Hakuna spiritual realm mambo yote yapo kwenye ulimwengu huu huu unao onekana...
 
NIELEWE KWA MAKINI SANA.

Mungu wa Israel
Mungu Allah,
Mungu wa wabudha,
Miungu ya kale pale misri,
Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai.

Ukweli mchungu ni huu, pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu ama chanzo cha ulimwengu.

Sisemi kuwa Mungu yupo au hayupo hapana, bali naandika kuhusu giza la ufahamu tulilonalo juu ya yupi ni Mungu sahihi ama kipi ni chanzo sahihi cha ulimwengu!

Nafahamu watu na imani zenu mnaona kama naandika maandiko yasiyosahihi!,ila naomba utulivu wa fikra zako japo kwa uchache tutazame vitu kwa undani zaidi.

Hebu fikiri imani uliyonayo sasa, najua wengi wenu mmeirithi toka kwenye jamii ulipozaliwa hivyo ulivyo laiti ungezaliwa katika jamii inayoabudu budha nawe ungeamini na kuabudu na pia ungejiona upo sahihi, imani ambayo ingekuwa tofauti nawe ungeona Kama ni uongo tupu!

Ulishawahi kujiuliza kwanini?
Jibu baki nalo!

Swali zuri nalotaka ujiulize ni kwanini tuna aina nyingi hivi ya Mungu/Miungu? Na wakati ukiangalia kiuhalisia sisi sote ni binadamu wamoja, mazingira mamoja, tunavuta hewa moja n.k.

Kwenye vitu vidogo vidogo hivi tunafanana lakini hili kubwa tunatofauti sana!

Anaeabudu tofauti nawewe unamuona sio sahihi, nayeye pia anakuona wewe sio sahihi!

So yupi ni sahihi?

Kipi kinathibitisha kuwa wewe sio au ndio unaeamini mahali sahihi?

Mtu aliekinyume na imani yako ambae amezaliwa nakuamini tofauti unafikiri amefanya kosa lipi kwa Mungu wako kwa kutokumuamini kuwa ndie Mungu sahihi, ikiwa hakupata ufahamu wowote juu ya Mungu wako?

Je, unafikiri kati yako na Mungu nani alistahiri kumtoa kwenye tope mwenzake nakumleta mahali sahihi?

Maswali haya nikuchokoza ubongo wako ili ufikiri na uelewe nini namaanisha.

Je, huyo Mungu wako mwenye uweza haoni kama ana hatia kwa kuiachia Miungu mengine iabudiwe na kuwapoteza watu wake na hata kuja kuwapa adhabu watu hao?

Ukweli mchungu mwengine ni huu, mpaka Sasa binadamu hatufahamu Mungu sahihi na ndio maana bado tuna Miungu mingi tunayoabudu!

Laiti kama usahihi wa Mungu kweli ungeonekana kati ya Miungu tunayoijua basi binadamu asingekuwa kiumbe mwenye kutapatapa ktk imani!

Kwani kusingekuwa nashaka juu ya Mungu husika kwenye vichwa vyetu!

Tumezaliwa nakukuta vitu hivi vya imani, tumerithishwa tukavipokea (wapo wasiopokea) na tukaviamini (wapo wasioamini pia).

Jiulize, kwani imeshindikana nini kumfahamu Mungu mmoja wa kweli pasipo kurithishwa?

Imagine uzaliwe ujue kunyonya,ujue kupumua ujue kutazama ila Mungu wa kweli usimjue bali urithishwe.!😀
Kimekosekana nini mpaka Tushindwe kumjua Mungu ndani yetu pasipo kufundishwa?

Binafsi mpaka hivi sasa katika Mungu na Miungu ambayo nimeilist hapo juu hakuna hata mmoja ambae logics zake zimeniingia akilini na kunishawishi kuwa yeye ndie Mungu wa kweli!

Hata robo ya ulimwengu jinsi unavyofanya kazi bado hatujaujua ama siri na kanuni za ulimwengu unavyofanya kazi bado hatujazijua!.
MIUNGU wengi tulionao tunaowaabudu bado hawana majibu juu ya chanzo chao pia na ulimwengu kiujumla! Nafikiri zipo sheria mama za kiulimwengu ambazo tukizigundua basi tunaweza kuujua ukweli wote!

Tunajikuta katika lindi la imani hizi kwasababu Kuna kitu hatujajua bado! Giza la ufahamu mbele yetu ndilo linatuweka katika matokeo haya!

Hatujui usahihi wa kweli ipi ndio maana tunatofauti katika Mungu tumuabudie!, kweli huwa haina mashaka ila uwezo wa ufahamu wako ndio unaamua ubebe kipi na uache kipi.

Kwa akili naufahamu wako umeamini kuwa wapo watu wameteuliwa kuwa karibu na Mungu, hivyo wanaweza kukusogeza karibu na Mungu! Kwanini sio wewe mwenyewe ikiwa wewe ni asili toka kwake?

Siamini katika Mungu wa mashaka ambae toka binadamu amekuwepo ktk dunia hii tunaambiwa yupo ila anawashukia wachache na hali ipo Kama hivi ilivyo! Hata kuthibitika kwake bado imekuwa ni mashaka au matendo yake hayathibitiki bali masimulizi!

Mungu ambae ameumba ulimwengu wenye sayari lukuki na akamtupa shetani katika dunia ambayo inaviumbe wake wapendwa! Mungu ambae anasema kwamba shetani amekuja kutujaribu hivyo ni kazi yake mwenyewe anaipima na Kama hukuwa sahihi basi unapewa adhabu! Sa nani hayupo sahihi ikiwa mimi nilieumbwa au yeye alieniumba?

Haitoshi yupo Mungu na Miungu iliyobumbwa kwa vito ambavyo vimetoka hapahapa duniania na tunaambiwa wao ndio walituumba!

Nfikiri tunasafari ndefu ya kufahamu ukweli juu ya nadharia ya Umungu na Mungu mwenyewe pamoja na chanzo cha ulimwengu.

Ila nikupe ukweli wote Dini ni matrix iliyotengenezwa na wachache wanaoujua ukwel ili kutawala wengne, soul zetu zimetoka kwa Mungu kweli na zinatambua Hilo, Ila akili zetu zimetekwa na matrix huku duniani, Cha msingi apo nikufanya juhudi binafsi za kiroho ili kujitambua wewe Ni Nan umetoka wap,umekuja kufanya nin na utaenda wap? Kumeditate Ni muhimu ili kuwa na utulivu na kufungua Soul zetu.
Wacha ninywe maji kwanza.
 
Back
Top Bottom