Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Mkuu,

Kwenye hii Dunia ili utie huruma inabidi uwe na uhakika una watu watakao kuonea huruma, otherwise jitahidi kukaza.

In the jungle of life your salvation is largely in your hands, There is no God who can do anything for you.

Tafakari picha hii, Ndipo utajua hakuna Mungu wa kusaidia chochote.

Jitihada zako ndizo zitakazo kuokoa.
I get you bro now I have run out of energy ila ngoja nipambane mpaka tone la mwisho
 
MUNGU wa kweli ni Mungu wa Mbinguni, wanamwita Yaweh, Jehovah, ambaye pia ndiye Mungu wa Abraham, Mungu wa Isaka na Mungu wa Israel. Aliyeumba Mbingu na Dunia na Viumbe wote wanaoonekana na wasio onekana, vilivyohai na visivyohai. Yeye ndiye Asili ya yote, Hana mwanzo na hatakaa awe na Mwisho.

Ukielewa chukua, hutaki endelea na majizingaombwe ya Dunia.
Allah s.w ndie mungu alieumba malaika ,,majini na wanaadam pamoja na kila kichomo ,,haathiriw na muda wala majira ,,uwepo wake hatuwez kuutathmini maana akili yetu inashindwa kuhimili ukuu wake kutokan na alivyotutengeneza ,,ametupulizia energy yke ili iweze kufanya kazi kwenye uhai wetu,, yeye ndie alieratibu kila kitu kwa vinavyoonekana na visivyooneka a
 
Ubongo sio akili. Nadhani nimesha eleza yote kuhusu hilo. Kama bado huelewi basi that's up to you.
Wewe shule ulikwenda kupoteza muda, ada waliyotumia kukusomesha ni bora wangebeti tu, yaan mpaka sasa kuna watu hawajui kazi ya ubongo??,

Akili ndio ubongo wenyewe maana ubongo unahusika na Functionality za Utu wako kuanzia Kuwaza, kutenda, kukumbuka na hata kufikiri, ni kazi ya ubongo, na ndiomaana wataalamu wameuelezea katika Part 3 za ubongo,
[emoji117]ubongo wa nyuma
[emoji117]ubongo wa kati
[emoji117]ubongo wa mbele.

Ubongo ni Organ inayohusika masuala mengi ikiwepo suala zima la akili, na akili katika ubongo ni sehemu ndogo sana ya ubongo maana akili inahusika sana sana na matumizi ya kumbukumbu& vitendo vya kutimiliza mawazo kuyakamilisha katika uhalisia, jambo ambalo bado halikamilishi main function ya ubongo.

Jamani tujitahidi basi hata kusoma mambo madogo madogo kama haya kuliko kukulupuka na kuanza kubishana hovyo.

Alafu inakuwaje wasomi wengi humu badala ya kujibu hoja ya mtoa thread mnabaki kubishania jambo moja la akili badala ya kuprove existence ya Mungu na elimu nzima ya Uungu.

Kiufupi tu, hayo masimulizi yote ya Miungu kutoka kila dini yamebase katika historia na hadithi za matukio ambayo yanafanana na matukio hayo hayana hata miaka mingi tangu yalipotokea kulingana na maelezo yao, tofauti na uhalisia wa Sayansi inayoprove maisha ya viumbe dunian kuwepo kwa zaidi ya maelfu ya miaka kwa ushahidi.

Maajabu biblia/quran ukisoma ngonjera zao utaambia mtu/binadamu wa kwanza alikuwa Adamu na adamu huyo kulingana na maelezo yao aliishi miaka ambayo haizid 7000 iliyopita na wao wenye dini wanadai huyu ndie mtu wa kwanza wakati huo sayansi inatupa na vithibitisho kuwa mtu wa kale na jamii za kale zilishakuwepo kwa zaidi ya miaka maelfu kwa malaki yaliyopita.

Swali je tuamini ngonjera za bible/quran na takataka zingine za wabudha/wahindu kuwa mtu wa mwanzo alikuwa fulani ambaye hana uthibitisho wa uwepo wake, wala uwepo wake hauzidi hata miaka 10,000?.

Hapa ndipo dini zinakosa sifa ya kuwa na Ukweli na hata Miungu wa hizi dini nae anakosa sifa maana hajui ukweli ni upi na wala hatambui kuwa kuna jamii zilishakuwepo maelfu ya miaka kabla ya huyo adamu wa mchongo na hata baadhi ya siri za hii dunia hawa Miungu wenu hawajui, hivyo tunawaweka nao ktk kundi la UONGO WA KUSADIKIKA.

Miungu wote wa dini ni uzushi, Allah hayupo, Yesu, Elshadai sijui takataka inayoitwa Yehova huyu hayupo, hajawai kuwepo na hatowai kuwepo, acheni kuamini ujinga.

Mungu wa kweli ni wewe binadamu mwenye uwezo wa kuzaa kiumbe ama wewe mtu/binadamu mwenye nguvu/ushawishi mkubwa ktk jamii,ukoo,familia,mtaa, nchi wewe ndiye Mungu.

Maana nzuri ya Mungu ni kiumbe mwenye nguvu&ushawishi kuwaliko wengine katika kundi la viumbe iwe watu,wanyama, wadudu ama samaki ,hiyo ndiyo maana halisi ya Mungu na sio hizo ngonjera za takataka za biblia na quran.
 
Kwa wote hao huyo allah ndiye katili, dunia ipo kwenye machafuko kwa ajili ya uchonganishi wake halafu akatoweka, wafia dini yake wanatusumbua sana hawa akina brazaj
 
Miungu wote wa dini ni uzushi, Allah hayupo, Yesu, Elshadai sijui takataka inayoitwa Yehova huyu hayupo, hajawai kuwepo na hatowai kuwepo, acheni kuamini ujinga.

Mungu wa kweli ni wewe binadamu mwenye uwezo wa kuzaa kiumbe ama wewe mtu/binadamu mwenye nguvu/ushawishi mkubwa ktk jamii,ukoo,familia,mtaa, nchi wewe ndiye Mungu.
Mimi sio Mungu, na wewe sio Mungu.

Mungu akusamehe kwani hujui ulisemalo
 
Hili suala la uwepo/ kutokuwepo kwa Mungu Ni Tata Sana kwa Kweli 🤔
 
Kitu chochote ambacho hakipo, Kujitahidi kuelezea kipo huwa ni ngumu sana.

Ndio maana waamini mungu (Theists) wanahangaika sana kuelezea mungu asiyekuwepo.

All religions require you to have faith because they lack proves, evidences, facts, logic and reasoning.
Chief, ni kwa facts zipi kwamba Mungu hayupo? Sayansi nayo hutumia neno nadharia kuelezea jsmbo lisilokuwepo, huku wakitafuta facts juu yake. Mmojawapo ya nadharia ni asili ya ulimwengu. Hivyo nae anaeamini aachwe hadi wakati ukifika wa kufahamu
 
Chief, ni kwa facts zipi kwamba Mungu hayupo?
Unayesema Mungu yupo ndio utoe facts za uwepo wake.

Kama huna facts za uwepo wa huyo Mungu automatically hayupo.

Sasa wewe unadai Mungu yupo halafu huna facts.

Kitu kisichokuwepo hakina facts zozote zile kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kutolewa facts.

Vivyo hivyo, Mungu huyo hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.

Ukisema yupo, ndio utoe uthibitisho wa namna gani huyo Mungu yupo.
Sayansi nayo hutumia neno nadharia kuelezea jsmbo lisilokuwepo, huku wakitafuta facts juu yake. Mmojawapo ya nadharia ni asili ya ulimwengu. Hivyo nae anaeamini aachwe hadi wakati ukifika wa kufahamu
 
Unayesema Mungu yupo ndio utoe facts za uwepo wake.

Kama huna facts za uwepo wa huyo Mungu automatically hayupo.

Sasa wewe unadai Mungu yupo halafu huna facts.

Kitu kisichokuwepo hakina facts zozote zile kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kutolewa facts.

Vivyo hivyo, Mungu huyo hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.

Ukisema yupo, ndio utoe uthibitisho wa namna gani huyo Mungu yupo.
Nyie msio na imani mna tabu sana. Anza kuthibitisha kwamba hakuna Mungu. Mimi kwa nafasi yangu na nafsi yangu nakiri kuwa yupo kulingana na uumbaji uliopo. Sihitaji facts katika hili. Hii hali ya kutoelezeka katika uumbaji ndio uungu wenyewe.

Sasa tuje kwako mtu wa facts. Tupatie asili ya mtu/bunadamu kwa facts
 
Nyie msio na imani mna tabu sana. Anza kuthibitisha kwamba hakuna Mungu. Mimi kwa nafasi yangu na nafsi yangu nakiri kuwa yupo kulingana na uumbaji uliopo. Sihitaji facts katika hili. Hii hali ya kutoelezeka katika uumbaji ndio uungu wenyewe.

Sasa tuje kwako mtu wa facts. Tupatie asili ya mtu/bunadamu kwa facts
Kuhusisha vitu vilivyopo kwa kudai kwamba viliumbwa na kitu fulani kiitwacho mungu ambacho hata kuthibitisha huwezi ni kufanya hitimisho potofu.

Hii inaitwa Logical non sequitur.

Unataka nikupe asili ya mtu/ Binadamu, Nikikwambia asili ya mtu ni mtu mwenyewe utakubali?

Au unataka asili ya namna gani?

Kwani wewe huwezi kuwa asili ya mtoto wako?

Au unataka asili ya mtoto wako iwe kiumbe cha kufikirika isiwe wewe?
 
Kumbuka Brain ni physical, ili ipate hitilafu basi sababu inakuwa physical pia.
Sasa nadhani unafahamu kuna watu wamepata uchizi bila hata kuguswa physically.

Kupata uchizi ni matokeo ya kuvugika kwa mfumo wa akili, yani bado brain inakuwa inafanya kazi vizuri tu na ina sence na kutafsiri vitu kama maumivu,harufu, sauti na mengineyo.
Mbona we Jamaa ni mjinga kwenye Mambo marahisi na madogo hv? Hivi una elimu hata ya msingi kweli?
Yani kwa ukweli kabisa unafikiri ubongo hauhusiki na akili? Hivi gurudumu la Gari linapozunguka injini haihusiki? Unatia aibu. Jaribu kusoma ht mitandaoni kazi za brain uongeze ufahamu uondoe aibu hii. Kwenye mwili wa binadamu hakuna mind wala hiyo akili. Wala hakuna kinachoitwa roho. Hivo ni vitu vya kufikirika tu ambavyo vinatokana na kaz za ubongo. Kwenye ubongo kuna section zote hizo. Ww na hizo akili zako unazofikiri cjui ziko mgongoni, cjui utosini, ukichezewa ubongo tu, hutafikiri Wala kuwaza chochote. Ni Sawa na kuzima injini ya Gari, hutaona tairi likizunguka tena.
 
Mbona we Jamaa ni mjinga kwenye Mambo marahisi na madogo hv? Hivi una elimu hata ya msingi kweli?
Yani kwa ukweli kabisa unafikiri ubongo hauhusiki na akili? Hivi gurudumu la Gari linapozunguka injini haihusiki? Unatia aibu. Jaribu kusoma ht mitandaoni kazi za brain uongeze ufahamu uondoe aibu hii. Kwenye mwili wa binadamu hakuna mind wala hiyo akili. Wala hakuna kinachoitwa roho. Hivo ni vitu vya kufikirika tu ambavyo vinatokana na kaz za ubongo. Kwenye ubongo kuna section zote hizo. Ww na hizo akili zako unazofikiri cjui ziko mgongoni, cjui utosini, ukichezewa ubongo tu, hutafikiri Wala kuwaza chochote. Ni Sawa na kuzima injini ya Gari, hutaona tairi likizunguka tena.
Ubongo na akili ni vitu viwili tofauti japo kazi zao hutegemea ushirikiano. Ubongo una tafsiri hisia, miguso au maumivu ya physical. Akili ni kipawa cha kufikiri, kubuni na kuchanganua mambo mbalimbali.

Kuhusu shule, huko ndipo uwongo mwingi hujazwa akilini mwa watu na kuwaaminisha vitu ambavyo sio kweli.
 
Akili ni neno la kufikirika tu.

Si kitu ambacho kinaonekana au kipo kwenye ubongo wa mwanadamu.

Ufanyaji kazi wa ubongo ndio ulipachikwa jina "Akili"

Ukipasua kichwa cha binadamu huwezi kuta hiyo akili
Ni kama goti na tako na viungo vingine vilivyobatizwa.
 
Ukweli mchungu ni huu, pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu ama chanzo cha ulimwengu.

Huu ni uongo wa kwanza umeuandika. Hapa jisemee wewe na wenzako mfano wako.

Ila akili iliyo salama inapingana na ukichokiandika. Kwanza kabisa akili iliyosalama inasadiki ya kuwa Kuna chanzo Cha kila kitu, na hicho chanzo ndio Mungu mwenyewe.

Lakini, vile vile akili iliyo salama inakataa ya kuwa Mungu hajulikani.
Sisemi kuwa Mungu yupo au hayupo hapana, bali naandika kuhusu giza la ufahamu tulilonalo juu ya yupi ni Mungu sahihi ama kipi ni chanzo sahihi cha ulimwengu!
Hiki na ukichokiandika hapo juu ndio hicho hicho.Ni wewe pekee na wenzako ndio mpo gizani na hii ni kwa kujitakia wenyewe. Kama ungekuwa unanitumia akili yako vizuri katika kuzingatia na kutafakari tu juu ya Ulimwengu ungekuwa ushamjua Mungu wa kweli ni yupi. Shida yenu ni uvivu wa kutafuta maarifa na kutafakari.
Nafahamu watu na imani zenu mnaona kama naandika maandiko yasiyosahihi!,ila naomba utulivu wa fikra zako japo kwa uchache tutazame vitu kwa undani zaidi.

Bora hili umeliona mapema, na ukweli ni kwamba umeandika ya uongo na tena huna elimu nayo.
Hebu fikiri imani uliyonayo sasa, najua wengi wenu mmeirithi toka kwenye jamii ulipozaliwa hivyo ulivyo laiti ungezaliwa katika jamii inayoabudu budha nawe ungeamini na kuabudu na pia ungejiona upo sahihi, imani ambayo ingekuwa tofauti nawe ungeona Kama ni uongo tupu!

Upo sahihi, lakini sisi wengine Imani yetu inatuhimiza sana juu ya kusoma kwanza kabla ya kutenda. Katika kusoma utajua kipi kweli na kipo uongo.

Kwahiyo tupo sisi ambao tumerithi lakini tukaisoma Imani yetu na kunifanyia kazi.
Swali zuri nalotaka ujiulize ni kwanini tuna aina nyingi hivi ya Mungu/Miungu? Na wakati ukiangalia kiuhalisia sisi sote ni binadamu wamoja, mazingira mamoja, tunavuta hewa moja n.k.

Umeuliza swali rahisi sana, jibu ni watu hawautaki ukweli na ukweli upo wazi. Wanafata matamanio yao ya nafsi.
So yupi ni sahihi?

Kipi kinathibitisha kuwa wewe sio au ndio unaeamini mahali sahihi?

Akili iliyo salama pia inakataa ya kuwa awepo muumba halafu awe hajajielezea na kutoa muongozo. Hili halipo.

Usahihi unaujua katika mafundisho ya Imani husika. Lazima yaendane na maumbile na hayapingani na akili iliyo salama.
 
Kuhusisha vitu vilivyopo kwa kudai kwamba viliumbwa na kitu fulani kiitwacho mungu ambacho hata kuthibitisha huwezi ni kufanya hitimisho potofu.

Hii inaitwa Logical non sequitur.

Unataka nikupe asili ya mtu/ Binadamu, Nikikwambia asili ya mtu ni mtu mwenyewe utakubali?

Au unataka asili ya namna gani?

Kwani wewe huwezi kuwa asili ya mtoto wako?

Au unataka asili ya mtoto wako iwe kiumbe cha kufikirika isiwe wewe?
Hapo najua unacheka mwenyewe kwa majibu yako. Na hiyo kusema logical non sequitur ni subjective terms ambazo hazipimiki. Ni sawa na kusema God ni Gold, Oil, Diamonds. Ukija kwa kiswahili neno Mungu haliaply hapo. Hivyo ndugu kuna vitu sihitaji kuthibitisha. Ndio maana kuna maneno kama omnipotent.
 
Hapo najua unacheka mwenyewe kwa majibu yako. Na hiyo kusema logical non sequitur ni subjective terms ambazo hazipimiki. Ni sawa na kusema God ni Gold, Oil, Diamonds. Ukija kwa kiswahili neno Mungu haliaply hapo. Hivyo ndugu kuna vitu sihitaji kuthibitisha. Ndio maana kuna maneno kama omnipotent.
Kama kuna vitu huhitaji kuthibitisha ulijuaje vipo?

Au una amini hivyohivyo mkichwa mkichwa kwa vile uliaminishwa vipo?
 
Back
Top Bottom