Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Napenda argument.

Weka ndugu nikufunze
Unajuaje wewe ndiye utanifunza mimi na si mimi ndiye nitakufunza wewe?

Nikikiwekea clear contradictiins zinazoonesha uongo wa Quran utakubali Quran ina contradictions na uongo?

Au utaendelea kuleta figisu na kuitetea kwa sababu ni kitabu chako tu?
 
Unajuaje wewe ndiye utanifunza mimi na si mimi ndiye nitakufunza wewe?

Nikikiwekea clear contradictiins zinazoonesha uongo wa Quran utakubali Quran ina contradictions na uongo?

Au utaendelea kuleta figisu na kuitetea kwa sababu ni kitabu chako tu?
Niko huru ndugu nani msomi na mbobezi wa dini. kwa maana si uislam tu. Bali ni msomi wa dini.

Kwa hiyo naelewa mengi kabla ya wewe kuwekeza. Mara nyingi nakuwa Mbele ya muda.

Nimeusoma umarx kama dini na umakaveli kdg.

Lkn nimesoma falsafa kama dini

Hata hivyo sijipi kiburi kuwa najua kila kitu.
 

Ushajipa kiburi kwa kuniambia "Weka ndugu nikufunze", yani ushajipa kiburi kuwa wewe ndiye utanifunza mimi, na si mimi nitakayekufunza wewe, halafu unaandika hujipi kiburi.

Hujui hata umesimamia wapi, una ji contradict.
 
Ushajipa kiburi kwa kuniambia "Weka ndugu nikufunze", yani ushajipa kiburi kuwa wewe ndiye utanifunza mimi, na si mimi nitakayekufunza wewe, halafu unaandika hujipi kiburi.

Hujui hata umesimamia wapi, una ji contradict.
Asante umeshinda
 
Umekubali kwamba ume ji contradict?

Unajipa kiburi halafu unasema hujipi kiburi?
Namekubali wewe una knowledge na mimi nina wisdom.

Mfano wa Knowledge ni kujua nyanya ni tunda. Lkn wisdom ni kutochanganya nyanya na matunda as salad
 
Namekubali wewe una knowledge na mimi nina wisdom.

Mfano wa Knowledge ni kujua nyanya ni tunda. Lkn wisdom ni kutochanganya nyanya na matunda as salad
Bado una kiburi halafu unajinadi huna kiburi.

Acha watu waseme una nini na huna nini.

Vinginevyo ni habari za muwamba ngoma ngozi huvutia kwake.
 
Bado una kiburi halafu unajinadi huna kiburi.

Acha watu waseme una nini na huna nini.

Vinginevyo ni habari za muwamba ngoma ngozi huvutia kwake.
Nimeamua ku quite mjadala nawe. Ni muoga. Nani dalili hutoweza kupokea kile nilichonacho. Kwa kuwa bado hatujafikia ngazi hiyo. Shukran fr your time
 
Andiko lako linatafakarisha. Ukitoka nje ya box na kulisoma kwa umakini utagundua mengi mno yakustaajabisha katika hizi dini (imani) zetu.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Ok, ndo Mungu aliyetutaka tuibariki Israel na tusipoibariki tutalaaniwa! Si ndo huyo?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Nimeamua ku quite mjadala nawe. Ni muoga. Nani dalili hutoweza kupokea kile nilichonacho. Kwa kuwa bado hatujafikia ngazi hiyo. Shukran fr your time
Wewe hujafikia viwango vya kufanya mjadala, unafanya humble brag za "sina kiburi" kwa kutoa kauli zenye kiburi.

Wewe mwenyewe hujielewi una kiburi au huna kiburi, utanielewaje mimi?
 
You are not mentally enough to argue with me.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Hujawahi kujenga hoja unaweza siku zote na mpaka unakufa, utanikimbia hivi hivi.

Shida mna utoto mwingi na mnafikiria kitoto sana.

Hizi mada za wakubwa na zinahitaji elimu na maarifa.
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
 
Hujawahi kujenga hoja unaweza siku zote na mpaka unakufa, utanikimbia hivi hivi.

Shida mna utoto mwingi na mnafikiria kitoto sana.

Hizi mada za wakubwa na zinahitaji elimu na maarifa.
Wewe huwaga ni kilaza na sina muda wa kujadiliana na mtu ambaye nje ya Quran huna unachojua.
 
Hapana.

Ulimwengu ulikuwepo kabla watu hawajakuwapo.

Na utakuwapo hata watu wasipokuwapo
Mtu amejua ulimwengu umekuwepo kabla ya yeye kuwepo baada ya yeye kuwepo.

Maana yake ni kwamba mtu hakuwa anajua kama ulimwengu upo au hata umekuwepo kabla ya yeye kuanza kuwepo. Uzoefu huo ameupata baada ya kuanza kuwepo duniani.

Kwa maneno mengine ni kuwa, kabla mtu hajaanza kuwepo duniani hakuwa anajua kama ulimwengu upo na kwamba umekuwepo kabla ya yeye kuwepo.

Hii inaonyesha kwamba kama mtu au watu hawatakuwepo, uzoefu kwamba ulimwengu upo au ulikuwepo na utakuwepo hautakuwepo na hivyo ulimwengu pia hautakuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…