Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Kutokuwepo kwa muumbaji
Nilisema Ulimwengu hauhitaji na hauna muumbaji.

Wewe ndio ulidai na unadai ulimwengu una muumbaji halafu huna uthibitisho na ukisemacho.

Thibitisha huyo muumbaji/mungu wa ulimwengu ni nani?
 
Nilisema Ulimwengu hauhitaji na hauna muumbaji.

Wewe ndio ulidai na unadai ulimwengu una muumbaji halafu huna uthibitisho na ukisemacho.

Thibitisha huyo muumbaji/mungu wa ulimwengu ni nani?
Sio kila kitu kinahitaji uthibitisho. Vingine vya kustaajabia tu. Labda ni kweli hakukuwepo na uumbaji. Sasa nawe nithibitishie kutokuwepo uumbaji
 
Akili alizo
NIELEWE KWA MAKINI SANA.

Mungu wa Israel
Mungu Allah,
Mungu wa wabudha,
Miungu ya kale pale misri,
Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai.

Ukweli mchungu ni huu, pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu ama chanzo cha ulimwengu.

Sisemi kuwa Mungu yupo au hayupo hapana, bali naandika kuhusu giza la ufahamu tulilonalo juu ya yupi ni Mungu sahihi ama kipi ni chanzo sahihi cha ulimwengu!

Nafahamu watu na imani zenu mnaona kama naandika maandiko yasiyosahihi!,ila naomba utulivu wa fikra zako japo kwa uchache tutazame vitu kwa undani zaidi.

Hebu fikiri imani uliyonayo sasa, najua wengi wenu mmeirithi toka kwenye jamii ulipozaliwa hivyo ulivyo laiti ungezaliwa katika jamii inayoabudu budha nawe ungeamini na kuabudu na pia ungejiona upo sahihi, imani ambayo ingekuwa tofauti nawe ungeona Kama ni uongo tupu!

Ulishawahi kujiuliza kwanini?
Jibu baki nalo!

Swali zuri nalotaka ujiulize ni kwanini tuna aina nyingi hivi ya Mungu/Miungu? Na wakati ukiangalia kiuhalisia sisi sote ni binadamu wamoja, mazingira mamoja, tunavuta hewa moja n.k.

Kwenye vitu vidogo vidogo hivi tunafanana lakini hili kubwa tunatofauti sana!

Anaeabudu tofauti nawewe unamuona sio sahihi, nayeye pia anakuona wewe sio sahihi!

So yupi ni sahihi?

Kipi kinathibitisha kuwa wewe sio au ndio unaeamini mahali sahihi?

Mtu aliekinyume na imani yako ambae amezaliwa nakuamini tofauti unafikiri amefanya kosa lipi kwa Mungu wako kwa kutokumuamini kuwa ndie Mungu sahihi, ikiwa hakupata ufahamu wowote juu ya Mungu wako?

Je, unafikiri kati yako na Mungu nani alistahiri kumtoa kwenye tope mwenzake nakumleta mahali sahihi?

Maswali haya nikuchokoza ubongo wako ili ufikiri na uelewe nini namaanisha.

Je, huyo Mungu wako mwenye uweza haoni kama ana hatia kwa kuiachia Miungu mengine iabudiwe na kuwapoteza watu wake na hata kuja kuwapa adhabu watu hao?

Ukweli mchungu mwengine ni huu, mpaka Sasa binadamu hatufahamu Mungu sahihi na ndio maana bado tuna Miungu mingi tunayoabudu!

Laiti kama usahihi wa Mungu kweli ungeonekana kati ya Miungu tunayoijua basi binadamu asingekuwa kiumbe mwenye kutapatapa ktk imani!

Kwani kusingekuwa nashaka juu ya Mungu husika kwenye vichwa vyetu!

Tumezaliwa nakukuta vitu hivi vya imani, tumerithishwa tukavipokea (wapo wasiopokea) na tukaviamini (wapo wasioamini pia).

Jiulize, kwani imeshindikana nini kumfahamu Mungu mmoja wa kweli pasipo kurithishwa?

Imagine uzaliwe ujue kunyonya,ujue kupumua ujue kutazama ila Mungu wa kweli usimjue bali urithishwe.!😀
Kimekosekana nini mpaka Tushindwe kumjua Mungu ndani yetu pasipo kufundishwa?

Binafsi mpaka hivi sasa katika Mungu na Miungu ambayo nimeilist hapo juu hakuna hata mmoja ambae logics zake zimeniingia akilini na kunishawishi kuwa yeye ndie Mungu wa kweli!

Hata robo ya ulimwengu jinsi unavyofanya kazi bado hatujaujua ama siri na kanuni za ulimwengu unavyofanya kazi bado hatujazijua!.
MIUNGU wengi tulionao tunaowaabudu bado hawana majibu juu ya chanzo chao pia na ulimwengu kiujumla! Nafikiri zipo sheria mama za kiulimwengu ambazo tukizigundua basi tunaweza kuujua ukweli wote!

Tunajikuta katika lindi la imani hizi kwasababu Kuna kitu hatujajua bado! Giza la ufahamu mbele yetu ndilo linatuweka katika matokeo haya!

Hatujui usahihi wa kweli ipi ndio maana tunatofauti katika Mungu tumuabudie!, kweli huwa haina mashaka ila uwezo wa ufahamu wako ndio unaamua ubebe kipi na uache kipi.

Kwa akili naufahamu wako umeamini kuwa wapo watu wameteuliwa kuwa karibu na Mungu, hivyo wanaweza kukusogeza karibu na Mungu! Kwanini sio wewe mwenyewe ikiwa wewe ni asili toka kwake?

Siamini katika Mungu wa mashaka ambae toka binadamu amekuwepo ktk dunia hii tunaambiwa yupo ila anawashukia wachache na hali ipo Kama hivi ilivyo! Hata kuthibitika kwake bado imekuwa ni mashaka au matendo yake hayathibitiki bali masimulizi!

Mungu ambae ameumba ulimwengu wenye sayari lukuki na akamtupa shetani katika dunia ambayo inaviumbe wake wapendwa! Mungu ambae anasema kwamba shetani amekuja kutujaribu hivyo ni kazi yake mwenyewe anaipima na Kama hukuwa sahihi basi unapewa adhabu! Sa nani hayupo sahihi ikiwa mimi nilieumbwa au yeye alieniumba?

Haitoshi yupo Mungu na Miungu iliyobumbwa kwa vito ambavyo vimetoka hapahapa duniania na tunaambiwa wao ndio walituumba!

Nfikiri tunasafari ndefu ya kufahamu ukweli juu ya nadharia ya Umungu na Mungu mwenyewe pamoja na chanzo cha ulimwengu.

Ila nikupe ukweli wote Dini ni matrix iliyotengenezwa na wachache wanaoujua ukwel ili kutawala wengne, soul zetu zimetoka kwa Mungu kweli na zinatambua Hilo, Ila akili zetu zimetekwa na matrix huku duniani, Cha msingi apo nikufanya juhudi binafsi za kiroho ili kujitambua wewe Ni Nan umetoka wap,umekuja kufanya nin na utaenda wap? Kumeditate Ni muhimu ili kuwa na utulivu na kufungua Soul zetu


Akili alizokupa Mungu wa kweli mbaye ndio aliyokuumba zinauwezo wa kumjua Mungu wa kweli na dini ya kweli
Acha alawama za kijinga mtafute Mungu wako aliyekuumba na umuabudi

Na ndio maana waliokufa wakiwa watoto na machizi hawataingia Jahannam Kwa sababu akili zao haziwezi kupambanua
 
Sio kila kitu kinahitaji uthibitisho. Vingine vya kustaajabia tu. Labda ni kweli hakukuwepo na uumbaji. Sasa nawe nithibitishie kutokuwepo uumbaji
Mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote ule wa kisayansi au kidini unaothibitisha pasi shaka kwamba ulimwengu uliumbwa.

Zilizopo ni nadharia tu, za watu wa dini na mitazamo ya baadhi ya wanasayansi wakidai kwamba ulimwengu uliumbwa.

Hakuna uthibitisho wowote wa kutokea Bing-bang wala kuwepo mungu zaidi ya hadithi na stori stori tu.

Kwa hivyo ni kwamba, ulimwengu upo tu wenyewe pasipo muumbaji au uumbaji.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na uumbaji, basi hata huo uumbaji wenyewe utahitaji uumbaji mwingine, Na huo uumbaji mwingine utahitaji uumbaji mwingine, Vivyohivyo pasipo kukoma.

Yani pasiwepo uumbaji wowote ule ulio exist wenyewe tu, from no where.

Ulimwengu ni Omnipresent. ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.

Lakini kama haiwezekani ulimwengu kuwa omnipresent basi hata huyo Mungu mnayedai yupo haiwezekani awe omnipresent, Na yeye lazima awe na Muumbaji wake.

You cannot exclude God from this logic...
 
Mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote ule wa kisayansi au kidini unaothibitisha pasi shaka kwamba ulimwengu uliumbwa.

Zilizopo ni nadharia tu, za watu wa dini na mitazamo ya baadhi ya wanasayansi wakidai kwamba ulimwengu uliumbwa.

Hakuna uthibitisho wowote wa kutokea Bing-bang wala kuwepo mungu zaidi ya hadithi na stori stori tu.

Kwa hivyo ni kwamba, ulimwengu upo tu wenyewe pasipo muumbaji au uumbaji.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na uumbaji, basi hata huo uumbaji wenyewe utahitaji uumbaji mwingine, Na huo uumbaji mwingine utahitaji uumbaji mwingine, Vivyohivyo pasipo kukoma.

Yani pasiwepo uumbaji wowote ule ulio exist wenyewe tu, from no where.

Ulimwengu ni Omnipresent. ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.

Lakini kama haiwezekani ulimwengu kuwa omnipresent basi hata huyo Mungu mnayedai yupo haiwezekani awe omnipresent, Na yeye lazima awe na Muumbaji wake.

You cannot exclude God from this logic...
Maelezo yako ni ushahidi tosha kwamba kati yako mpagani na mimi muumini ni nadharia na imani. Watu wa dini ndio huamini. Watu wa sayansi hudhania kwa nadharia zao. Tofauti hapo ni maneno tu kwani ukomo wa sayansi ni nadharia. Na ukomo wa dini ni imani. Aidha nadharia hutangulia ikifuatiwa na uthibitisho. Ukikisekana basi hubakia nadharia, mfano wa nadharia ya bing bang.

Ukweli mwingine ni kwamba kitendo cha mwanadamu kushindwa ku decode siri na chanzo cha uumbaji na ulimwengu, ndipo uungu unapata nafasi. Na utatamba hadi wanasayansi watakapokuja na facts za asili ya mwanadamu na nguvu za uumbaji. So as you wrote, you cannot exclude God from this parable (rather not logic) until man deciphers the beginning of existence (of which he may NOT)
 
Maelezo yako ni ushahidi tosha kwamba kati yako mpagani na mimi muumini ni nadharia na imani. Watu wa dini ndio huamini. Watu wa sayansi hudhania kwa nadharia zao. Tofauti hapo ni maneno tu kwani ukomo wa sayansi ni nadharia. Na ukomo wa dini ni imani. Aidha nadharia hutangulia ikifuatiwa na uthibitisho. Ukikisekana basi hubakia nadharia, mfano wa nadharia ya bing bang.

Ukweli mwingine ni kwamba kitendo cha mwanadamu kushindwa ku decode siri na chanzo cha uumbaji na ulimwengu, ndipo uungu unapata nafasi. Na utatamba hadi wanasayansi watakapokuja na facts za asili ya mwanadamu na nguvu za uumbaji. So as you wrote, you cannot exclude God from this parable (rather not logic) until man deciphers the beginning of existence (of which he may NOT)
And that God will remain Fictional until you will be able to prove his existence.

Otherwise, Mungu huyo ha exist kwenye uhalisia bali katika mafikirio yenu tu.
 
Hamna Hela ndiomaana mnabshana..😂 tafuteni Hela buana hayo mengine mumeyakuta na mtayacha😂
Tatizo la watanzania mnadhani kila mtu ni maskini kama nyie wa kumwambia " Tafuta hela"

Kama wewe bado una tafuta hela fahamu kwamba bado wewe ni msakatonge, mganga njaa.

Watu tushatoka huko kwenye kutafuta hela tupo kwenye hatua ya ku spend hela..
 
Tatizo ni mnadhani Mungu ni 'kiumbe' kinachoitwa kwa jina hilo. Mkibadilisha mentality ya kwamba Mungu si kiumbe mtaelewa ambayo hata si kazi kuyaelewa.
 
Tatizo la watanzania mnadhani kila mtu ni maskini kama nyie wa kumwambia " Tafuta hela"

Kama wewe bado una tafuta hela fahamu kwamba bado wewe ni msakatonge, mganga njaa.

Watu tushatoka huko kwenye kutafuta hela tupo kwenye hatua ya ku spend hela..
Haya nimekuelewa mkubwa😂
 
Kama ubongo na akili ni vitu viwili tofauti.

Hiyo akili inakaa wapi?
akili na ubongo ni vitu tofauti .akili ni marifa au mawazo. kiasili haionekani kwa macho ipo kiroho ila inashirikiana na ubongo kufanya kazi zake.chizi ni mtu aliyevurugika mawazo na mienendo na maarifa hii iko kama sensa yaani akili ubongo anakua nao tufresh na unaonekana.unapomkuta chizi anakimbia kuna vitu anaviuna kutoka kwenye akili nasio kwenye ubongo akili ipo kiroho sema inashirikiana na ubongo yaani iko ndani ya ubongo kama ilivyo roho kwenye damu yaani (uhai)
 
NIELEWE KWA MAKINI SANA.

Mungu wa Israel
Mungu Allah,
Mungu wa wabudha,
Miungu ya kale pale misri,
Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai.

Ukweli mchungu ni huu, pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu ama chanzo cha ulimwengu.

Sisemi kuwa Mungu yupo au hayupo hapana, bali naandika kuhusu giza la ufahamu tulilonalo juu ya yupi ni Mungu sahihi ama kipi ni chanzo sahihi cha ulimwengu!

Nafahamu watu na imani zenu mnaona kama naandika maandiko yasiyosahihi!,ila naomba utulivu wa fikra zako japo kwa uchache tutazame vitu kwa undani zaidi.

Hebu fikiri imani uliyonayo sasa, najua wengi wenu mmeirithi toka kwenye jamii ulipozaliwa hivyo ulivyo laiti ungezaliwa katika jamii inayoabudu budha nawe ungeamini na kuabudu na pia ungejiona upo sahihi, imani ambayo ingekuwa tofauti nawe ungeona Kama ni uongo tupu!

Ulishawahi kujiuliza kwanini?
Jibu baki nalo!

Swali zuri nalotaka ujiulize ni kwanini tuna aina nyingi hivi ya Mungu/Miungu? Na wakati ukiangalia kiuhalisia sisi sote ni binadamu wamoja, mazingira mamoja, tunavuta hewa moja n.k.

Kwenye vitu vidogo vidogo hivi tunafanana lakini hili kubwa tunatofauti sana!

Anaeabudu tofauti nawewe unamuona sio sahihi, nayeye pia anakuona wewe sio sahihi!

So yupi ni sahihi?

Kipi kinathibitisha kuwa wewe sio au ndio unaeamini mahali sahihi?

Mtu aliekinyume na imani yako ambae amezaliwa nakuamini tofauti unafikiri amefanya kosa lipi kwa Mungu wako kwa kutokumuamini kuwa ndie Mungu sahihi, ikiwa hakupata ufahamu wowote juu ya Mungu wako?

Je, unafikiri kati yako na Mungu nani alistahiri kumtoa kwenye tope mwenzake nakumleta mahali sahihi?

Maswali haya nikuchokoza ubongo wako ili ufikiri na uelewe nini namaanisha.

Je, huyo Mungu wako mwenye uweza haoni kama ana hatia kwa kuiachia Miungu mengine iabudiwe na kuwapoteza watu wake na hata kuja kuwapa adhabu watu hao?

Ukweli mchungu mwengine ni huu, mpaka Sasa binadamu hatufahamu Mungu sahihi na ndio maana bado tuna Miungu mingi tunayoabudu!

Laiti kama usahihi wa Mungu kweli ungeonekana kati ya Miungu tunayoijua basi binadamu asingekuwa kiumbe mwenye kutapatapa ktk imani!

Kwani kusingekuwa nashaka juu ya Mungu husika kwenye vichwa vyetu!

Tumezaliwa nakukuta vitu hivi vya imani, tumerithishwa tukavipokea (wapo wasiopokea) na tukaviamini (wapo wasioamini pia).

Jiulize, kwani imeshindikana nini kumfahamu Mungu mmoja wa kweli pasipo kurithishwa?

Imagine uzaliwe ujue kunyonya,ujue kupumua ujue kutazama ila Mungu wa kweli usimjue bali urithishwe.!😀
Kimekosekana nini mpaka Tushindwe kumjua Mungu ndani yetu pasipo kufundishwa?

Binafsi mpaka hivi sasa katika Mungu na Miungu ambayo nimeilist hapo juu hakuna hata mmoja ambae logics zake zimeniingia akilini na kunishawishi kuwa yeye ndie Mungu wa kweli!

Hata robo ya ulimwengu jinsi unavyofanya kazi bado hatujaujua ama siri na kanuni za ulimwengu unavyofanya kazi bado hatujazijua!.
MIUNGU wengi tulionao tunaowaabudu bado hawana majibu juu ya chanzo chao pia na ulimwengu kiujumla! Nafikiri zipo sheria mama za kiulimwengu ambazo tukizigundua basi tunaweza kuujua ukweli wote!

Tunajikuta katika lindi la imani hizi kwasababu Kuna kitu hatujajua bado! Giza la ufahamu mbele yetu ndilo linatuweka katika matokeo haya!

Hatujui usahihi wa kweli ipi ndio maana tunatofauti katika Mungu tumuabudie!, kweli huwa haina mashaka ila uwezo wa ufahamu wako ndio unaamua ubebe kipi na uache kipi.

Kwa akili naufahamu wako umeamini kuwa wapo watu wameteuliwa kuwa karibu na Mungu, hivyo wanaweza kukusogeza karibu na Mungu! Kwanini sio wewe mwenyewe ikiwa wewe ni asili toka kwake?

Siamini katika Mungu wa mashaka ambae toka binadamu amekuwepo ktk dunia hii tunaambiwa yupo ila anawashukia wachache na hali ipo Kama hivi ilivyo! Hata kuthibitika kwake bado imekuwa ni mashaka au matendo yake hayathibitiki bali masimulizi!

Mungu ambae ameumba ulimwengu wenye sayari lukuki na akamtupa shetani katika dunia ambayo inaviumbe wake wapendwa! Mungu ambae anasema kwamba shetani amekuja kutujaribu hivyo ni kazi yake mwenyewe anaipima na Kama hukuwa sahihi basi unapewa adhabu! Sa nani hayupo sahihi ikiwa mimi nilieumbwa au yeye alieniumba?

Haitoshi yupo Mungu na Miungu iliyobumbwa kwa vito ambavyo vimetoka hapahapa duniania na tunaambiwa wao ndio walituumba!

Nfikiri tunasafari ndefu ya kufahamu ukweli juu ya nadharia ya Umungu na Mungu mwenyewe pamoja na chanzo cha ulimwengu.

Ila nikupe ukweli wote Dini ni matrix iliyotengenezwa na wachache wanaoujua ukwel ili kutawala wengne, soul zetu zimetoka kwa Mungu kweli na zinatambua Hilo, Ila akili zetu zimetekwa na matrix huku duniani, Cha msingi apo nikufanya juhudi binafsi za kiroho ili kujitambua wewe Ni Nan umetoka wap,umekuja kufanya nin na utaenda wap? Kumeditate Ni muhimu ili kuwa na utulivu na kufungua Soul zetu.
Upo sahihi sana imefika stage mbaya ya kumuabudu hata kiongozi wa dini.
 
It is obvious kwamba Mungu yupo angalia namna mifumo ya dunia ilivyotengenezwa kwa ustadi inaonesha Kuna akili isiyo ya kawaida sehemu.
 
Back
Top Bottom