Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Wanabodi
Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Masoud Masoud anadanganya uongo kuwa eti tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa serikali ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, kitu ambacho sii kweli.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na Tanganyika pia ikapoteza sovereignity yake, tukaunda nchi moja mpya ya Tanzania. Nchi ya Zanzibar haipo na nchi ya Tanganyika pia haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, la kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, ni uongo wenye madhara makubwa sana kwa mustakabali mwema wa muungano wetu ambao una ill motives behind. Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Correction

Asante sana, anayezungumza ni Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe
Othman Masoud Othman Sharrif sio Makamo wa Pili. Naombeni sana mnisamehe kuwachanganya hawa Makamo wawili, hivyo vyeo vya Zanzibar ambayo havitambuliki ndani ya katiba ya JMT, vinatuchanganya sana sisi wengine ambao ni waumini wa supremacy ya Katiba ya JMT na sio katiba ya Zanzibar. Kama katiba yetu ya JMT haiwatambui Makamo hawa, who M I nisiwachanganye ?.
Mixing is highly regreted. Mode please do the needful.
P

Kama Zanzibar sio inchi nenda kawaeleze huko Zanzibar Sie watanganyika tunataka Katiba mpya ambayo itarekebisha upuuzi wote.... "Mbowe sio Gaidi"
 
Camalad paskali ndiyo maana tunataka muungano uvunjike why usitambue viongozi wetu wa kitaifa Zanzibar?.

Au hujui pasipo SUK nchi inachafuka?.
Wewe hauwatambui ila Rais wako anawatambua ndiyo maana week hii makamu wa pili wa rais wa Zanzibar alikuwa mkoani Tanga kwa ziara ya kichama na serikali akiweka jiwe la msingi kwenye miradi ya maendeleo pia kuimarisha chama.
Sio kuwa ni Viongozi wa JMT hawawatambui Viongozi wa SUK, no Viongozi wanawatambua na wamewekewa hadi protocal yao wawapo huku Bara, ila katiba ya JMT ndio haiyatambui mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ya 2010 yaliyo unda SUK kwasababu mabadiliko hayo yanakwenda kinyume cha katiba ya JMT.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Tanzania ni nchi moja ya Jamhuri ya Muungano. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT.

Kwa mujibu katiba ya Zanzibar, Tanzania ni Jamhuri ya Muungano wa nchi 2. Zanzibar ni moja ya nchi hizo mbili zinazounda JMT.

Hivyo kwa katiba ya JMT, nchi ni moja tuu, JMT, Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT. Lakini
kwa katiba ya Zanzibar, Tanzania ni nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, hivyo Zanzibar ni nchi.

Viongozi wa SUK wanatambuliwa ki protokali tuu lakini ndani ya katiba ya JMT, hawatambuliwi.
P
 
Wanabodi
Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Masoud Masoud anadanganya uongo kuwa eti tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa serikali ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, kitu ambacho sii kweli.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na Tanganyika pia ikapoteza sovereignity yake, tukaunda nchi moja mpya ya Tanzania. Nchi ya Zanzibar haipo na nchi ya Tanganyika pia haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, la kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, ni uongo wenye madhara makubwa sana kwa mustakabali mwema wa muungano wetu ambao una ill motives behind. Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Correction

Asante sana, anayezungumza ni Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe
Othman Masoud Othman Sharrif sio Makamo wa Pili. Naombeni sana mnisamehe kuwachanganya hawa Makamo wawili, hivyo vyeo vya Zanzibar ambayo havitambuliki ndani ya katiba ya JMT, vinatuchanganya sana sisi wengine ambao ni waumini wa supremacy ya Katiba ya JMT na sio katiba ya Zanzibar. Kama katiba yetu ya JMT haiwatambui Makamo hawa, who M I nisiwachanganye ?.
Mixing is highly regreted. Mode please do the needful.
P
mzee wacha porojo na uwongo Please tuelezee ni vipi Tanganyika wamepoteza sovereignity please no porojo na pia utueleze ni nini maana ya sovereignity na tanganyika wapeipotezaje kwa hisani yako please please
 
Ndio maana tuna wazanzibari katika bunge la Tanganyika? Ndio maana tuna mawaziri wazanzibari katika wizara za Tanganyika? Mnafik ni wewe. Na uliyejaa chuki dhidi ya kile unachokiita Tanganyika ni wewe. Ni haki gani ambayo mzanzibari ananyimwa katika serikali ya Tanganyika? Wakati huo huo kuna haki kibao mtanganyika hanazo huko Zanzibar lakini bado unalia na kumuita mtanganyika mbaguzi na mwenye chuki dhidi yenu! Hivi mnatuita machogo kwa sababu mnatupenda sana?

Wewe ni mnafik mkubwa uliye chuki. Ubaya ni kuwa kuna watanganyika wana entertain chuki na unafik wenu kiasi kwamba hamtaki kuambiwa ukweli.

Amandla....
wacha ujinga ni haki gani mzanzibari anazopata
 
Wanabodi
Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Masoud Masoud anadanganya uongo kuwa eti tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa serikali ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, kitu ambacho sii kweli.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na Tanganyika pia ikapoteza sovereignity yake, tukaunda nchi moja mpya ya Tanzania. Nchi ya Zanzibar haipo na nchi ya Tanganyika pia haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, la kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, ni uongo wenye madhara makubwa sana kwa mustakabali mwema wa muungano wetu ambao una ill motives behind. Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Bro huwa nakukubali kwa uchambuzi,ulifaa wakupe hata ukatibu mkuu wa chama,
 
Bro huwa nakukubali kwa uchambuzi,ulifaa wakupe hata ukatibu mkuu wa chama,
Mkuu JUAN MANUEL , mimi sihitaji uteuzi wowote, usiwasikilize hawa hawa baadhi ya wajinga wajinga wa humu JF, wanaodhani Pasco Mayalla anafukuzia uteuzi.

Mtu ukiwa mzalendo unajikuta una wiwa kulisaidia taifa lako. Ili mtu ulisaidie taifa sio lazima uteuliwe kumsaidia Mama. Sisi wengine kama mimi tunaweza kulisaidia taifa vizuri zaidi huku tukikosoa kuliko hata ukiteuliwa.

Mfano mimi nakamilisha tuu taratibu, kipindi changu cha Kiti Moto2 kinarudi hewani. Sasa unawakaribisha watu kama hawa na kuwabananisha hivyo kulisaidia taifa. Mfano nikimualika Askofu Gwajima kwenye kipindi changu, kesho yake asubuhi yeye mwenyewe anaongoza kuwaswaga kondoo wake kwenye kuchanja!.
P
 
Wanabodi
Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Masoud Masoud anadanganya uongo kuwa eti tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa serikali ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, kitu ambacho sii kweli.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na Tanganyika pia ikapoteza sovereignity yake, tukaunda nchi moja mpya ya Tanzania. Nchi ya Zanzibar haipo na nchi ya Tanganyika pia haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Ungekuwa karibu na Mungu ungesema, aliyesema Mbowe ni gaidi ni Muongo. Aliyesema wenzake Mbowe wameshafungwa ni muongo. But kwa sababu unataka kuwaunga wanaofurahia inflicting pains to other hakuna siku utatumia zawadi uliyopewa na Mungu kuwatetea innocents who are captives of CCM.
 
Kama Zanzibar sio inchi nenda kawaeleze huko Zanzibar Sie watanganyika tunataka Katiba mpya ambayo itarekebisha upuuzi wote....
Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, serikali mbili na katiba mbili. Katiba moja ya JMT ya mwaka 1977 imesema Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT.

Katiba ya pili ni katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, ambayo ilirekebishwa mwaka 2010 inaitambua Zanzibar kuwa ni nchi na ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT.

This is contradiction.
Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Katiba ya Zanzibar ni Batili !. Ila kwa vile JMT inaendeshwa na katiba ya JMT na huo ubatili wa katiba ya Zanzibar hauhusu JMT, serikali ya JMT haijaingilia kati kuingilia mambo ya ndani ya Zanzibar yasituhusu. Ilichofanya katiba ya JMT ni kujinyamazia tuu kimya hivyo huo ubatili wa katiba ya Zanzibar, hauingii huku Bara, lakini ndani ya Zanzibar, katiba hiyo ni halali kabisa.
P
 
Katiba ibadikishwe haiwezekani nchi moja iwe na maraisi wawili na wote watoke upande mmoja wa wenye population isiyozidi 2M. Wakati wale 58M wamebaki wakibungaa macho tu. Utaratibu huu unakiuka maana halisi ya Demokrasia wengi wape wachache waheshimiwe mawazo yao.
 
Waziri wa Ujenzi wa hiyo unayoiita Tanganyika ni Mpemba. Wabunge kutoka Zanzibar wana uwezo wa kuchangia jambo lolote katika Bunge la Tanganyika. Niambie kuna mawaziri wangapi watanganyika katika SMZ? Au katika BMZ? Wazanzibari hawafiki milioni tatu lakini kwenye hilo bunge la Tanganyika yenye zaidi ya watu milioni 58 wanapewa haki sawa na watanganyika bila kubaguliwa!

Amandla...
Haya ya kuwepo kwa mawaziri na wabunge siyo uthibitisho wa Zanzibar sovereignty.
Katika hali ya kawaida, bila uwepo wa serikali moja, Zanzibar haiwezi kuwa na nguvu kwenye serikali ya Tanzania.
 
Sio kuwa ni Viongozi wa JMT hawawatambui Viongozi wa SUK, no Viongozi wanawatambua na wamewekewa hadi protocal yao wawapo huku Bara, ila katiba ya JMT ndio haiyatambui mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ya 2010 yaliyo unda SUK kwasababu mabadiliko hayo yanakwenda kinyume cha katiba ya JMT.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Tanzania ni nchi moja ya Jamhuri ya Muungano. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT.

Kwa mujibu katiba ya Zanzibar, Tanzania ni Jamhuri ya Muungano wa nchi 2. Zanzibar ni moja ya nchi hizo mbili zinazounda JMT.

Hivyo kwa katiba ya JMT, nchi ni moja tuu, JMT, Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT. Lakini
kwa katiba ya Zanzibar, Tanzania ni nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, hivyo Zanzibar ni nchi.

Viongozi wa SUK wanatambuliwa ki protokali tuu lakini ndani ya katiba ya JMT, hawatambuliwi.
P
Gonjwa lile lile LA asili. Kutukuza Ukuu wa katiba ya JMT na kuacha kabisa hati za makubaliano ya Muungano ( Articles of Union) ambazo ndio msingi. Hio uniqueness ya Muungano huu ya Tanganyika kujigeuza kuwa Tanzania ndio inayojustify kwamba ni Zanzibar pekee iliyopoteza sovereignty.

Ubishi wa kujificha kwenye katiba mtoto wa kutengenezwa kwa ujanja wa kuimeza Zanzibar haukubaliki.

Shawishini kubadilishwa Katiba kila upande upate haki zake. Ujanja haufai.

Hata ujanja wa Katiba Pendekezwa kuweka kufungu cha Ukuu wa Katiba kuwa ya JMT ulishtukiziwa. Jini Tanganyika litoke kwenye chupa kwanza. Tupate fursa ya kuweka Muungano wetu sawa na kukubaliana mambo yetu kutokana na mahitaji ya sasa.

Acheni mbinu za kizamani kunyamazisha watu kwa mgongo was Katiba inayolinda Tanganyika kwa kiini macho.

Watu wanafurukutwa hapa. Tanganyika haijapoteza Sovereignigy by practice. Kila inachotaka inakipata lkn Zanzibar haiwezekani.

Acheni unafiki. Hio ndio mantiki ya Makamo was 1.
 
Wanabodi
Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Masoud Masoud anadanganya uongo kuwa eti tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa serikali ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, kitu ambacho sii kweli.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na Tanganyika pia ikapoteza sovereignity yake, tukaunda nchi moja mpya ya Tanzania. Nchi ya Zanzibar haipo na nchi ya Tanganyika pia haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Huyo mtu ni hatari kwa Muungano toka enzi hizo .
 
Gonjwa lile lile LA asili. Kutukuza Ukuu wa katiba ya JMT na kuacha kabisa hati za makubaliano ya Muungano ( Articles of Union) ambazo ndio msingi. Hip uniqueness ya Muungano huu ya Tanganyika kujigeuza kuwa Tanzania ndio inayojustify kwamba in Zanzibar pekee iliyopoteza sovereignty.

Ubishi wa kujificha kwenye katiba mtoto wa kutengenezwa kwa ujanja was kuimeza Zanzibar haukubaliki.

Shawishini kubadilishwa Katiba kila upande update haki sake. Ujanja haufai.

Hata ujanja was Katiba Pendekezwa kuweka kufungu cha Ukuu was Katiba kuwa ya JMT ulishtukiziwa. Jini Tanganyika litoke kwenye chupa kwanza. Tupate fursa ya kuweka Muungano wetu sawa na kukubaliana mambo yetu kutokana na mahitaji ya sasa.

Acheni mbinu za kizamani kunyamazisha watu kwa mgongo was Katiba inayolinda Tanganyika kwa kiini macho.

Watu wanafurukutwa hapa. Tanganyika haijapoteza Sovereignigy by practice. Kila inachotala inakipata lkn Zanzibar haiwezekani.

Acheni unafiki. Hio ndio mantiki ya Makamo was 1.
Tanganyika na sisi tunataka Rais wa serikali yetu baada ya hapo ndio hili la Rais wa JMT na makamo wake wapatikane kutoka sehemu yeyote ya Muungano kwa kubadilishana liwe na mashiko.
 
Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, serikali mbili na katiba mbili. Katiba moja ya JMT ya mwaka 1977 imesema Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT.

Katiba ya pili ni katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, ambayo ilirekebishwa mwaka 2010 inaitambua Zanzibar kuwa ni nchi na ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT.

This is contradiction.
Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Katiba ya Zanzibar ni Batili !. Ila kwa vile JMT inaendeshwa na katiba ya JMT na huo ubatili wa katiba ya Zanzibar hauhusu JMT, serikali ya JMT haijaingilia kati kuingilia mambo ya ndani ya Zanzibar yasituhusu. Ilichofanya katiba ya JMT ni kujinyamazia tuu kimya hivyo huo ubatili wa katiba ya Zanzibar, hauingii huku Bara, lakini ndani ya Zanzibar, katiba hiyo ni halali kabisa.
P
Sidhani kama Zanzibar ilipoteza sovereignty yake kwa sababu zifuatazo;
1. Zanzibar ina Rais wake na ana makamu wa kwanza na wa pili
2. Zanzibar ina Baraza lake la Mawaziri ila tu haina baadhi ya wizara kama mambo ya ndani, mambo ya nje, ulinzi, nk.
3. Zanzibar ina Bunge lake, wao wanaliita Baraza la Wawakilishi
4. Zanzibar ina Mahakama zake na Ina Jaji mkuu na majaji wengine. Kwahiyo ina Rais, Bunge na Mahakama.
5. Zanzibar ina vikosi vyake vya ulinzi (vikosi maalum zaidi ya vitatu) ila vimewekwa chini ya Wizara ya Serikali za Mitaa
6. Zanzibar ina taasisi zake kama Takukuru yake, TRA yake, CAG wake, mamlaka zake za Bandari na viwanja vya ndege, soka lake, nk, nk.
7. Rais wa Zanzibar anateua wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa upande wa Zanzibar.

Sasa mnataka Zanzibar iwe na nini cha ziada ili iitwe nchi?

Mimi naona iliyopoteza ni Tanganyika ambayo haina chochote katika hivyo vyote!

Hayo ni maoni yangu binafsi
 
Sidhani kama Zanzibar ilipoteza sovereignty yake kwa sababu zifuatazo;
1. Zanzibar ina Rais wake na ana makamu wa kwanza na wa pili
2. Zanzibar ina Baraza lake la Mawaziri ila tu haina baadhi ya wizara kama mambo ya ndani, mambo ya nje, ulinzi, nk.
3. Zanzibar ina Bunge lake, wao wanaliita Baraza la Wawakilishi
4. Zanzibar ina Mahakama zake na Ina Jaji mkuu na majaji wengine. Kwahiyo ina Rais, Bunge na Mahakama.
5. Zanzibar ina vikosi vyake vya ulinzi (vikosi maalum zaidi ya vitatu) ila vimewekwa chini ya Wizara ya Serikali za Mitaa
6. Zanzibar ina taasisi zake kama Takukuru yake, TRA yake, CAG wake, mamlaka zake za Bandari na viwanja vya ndege, soka lake, nk, nk.
7. Rais wa Zanzibar anateua wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa upande wa Zanzibar.

Sasa mnataka Zanzibar iwe na nini cha ziada ili iitwe nchi?

Mimi naona iliyopoteza ni Tanganyika ambayo haina chochote katika hivyo vyote!

Hayo ni maoni yangu binafsi


Sijui nani aliwadanganya Wtanganyika wakakubaliana na huu ujinga. Wao hawana nafasi ya kujadili mambo yasiyo ya muungano yanayo wahusu wa Zanzibari. Lakini Wazanzibari kupitia Bunge la JMT wananajadili mambo ya Tanganyika na kulipwa stahiki zote.

Hivi Watanganyika hatuzioni hizo fursa za ajira tunazozikosa kwa mfumo huu wa sasa? Tungekuwa na Rais wetu, makamo wawili, baraza letu la wawakikishi nk. Sijui nani ametuloga na hatujiongezi.
 
Tanganyika na sisi tunataka Rais wa serikali yetu baada ya hapo ndio hili la Rais wa JMT na makamo wake wapatikane kutoka sehemu yeyote ya Muungano kwa kubadilishana liwe na mashiko.
Wenzako hawataki hilo kutokana na Ajenda zao zilizojificha. "Yaani mtu kakupiga roba unaninginiza miguu, unaupapatua mkono wake anakwambia tulia vumilia hii ni kero itatatuka". Lakini anazidi kuukaza mkono shingoni kwako.

Ukihoji anakwambia Katiba yetu unaivunja.
 
Eti Zanzibar ina rais wake.Rais gani asyetambuliwa popote duniani? labda kidogo Oman na UAE ndio huwa wanampa hadhi huyo rais wa Zanzibar.Huyo Shein ameshashiba ndio maana anatetea huu utumbo .Hadhi ya Zanzibar itarudi tu iwapo Tanganyika itarudisha utanganyika wake maana iaonekana Tanganyika ndio Tanzania na Zanzibar sio Tanzania.Hata uanachama wa FIFA zanzibar imekataliwa inatambuliwa Tanzania tu TFF lakini wazanzibar hawaruhusiwi kugombea TFF wanaambiwa yenu ni ZFF ,wakati FIFA inasema waende kama TFF ya Tanzania maana zanzibar sio nchi
 
Wanabodi
Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Masoud Masoud anadanganya uongo kuwa eti tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa serikali ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, kitu ambacho sii kweli.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na Tanganyika pia ikapoteza sovereignity yake, tukaunda nchi moja mpya ya Tanzania. Nchi ya Zanzibar haipo na nchi ya Tanganyika pia haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Pascal, hivi unadhani hii riwaya uliyoiandika humu, kuna ambaye hajui? Hivi wewe Pascal, uliyesomea sheria lakini hukuwahi kuwa mwanasheria, unadhani una uelewa kumzidi huyo aliyekuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar?

Umejibu kienyeji sana. Sidhani kama huyo Makamo wa Rais wa Zanzibar, alikuwa akimaanisha kama unavyodhani wewe.

Hii hoja imekuwa ikitolewa na wanasheria wengi, wa Tanzania bara na visiwani, kuwa katika Tanganyika na Zanzibar kuungana, Zanzibar ilipoteza sovereignity yake ila Tanganyika, Serikali ile ile iliyokuwepo ilijibadili na kuwa serikali ya Tanzania. Kilichobadilika ni jina tu. Mimi siyo mwanasheria, lakini huwa wanatoa hoja nzito ambazo ukizisikiliza zinashawishi kuliko hii riwaya uliyoiandika.

Hata kama hujawahi kuwa mwanasheria, lakini kwa elimu ile ya sheria uliyoipata, ulistahili kufanya argument more professionally kuliko ulivyofanya.
 
Back
Top Bottom