Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Mbali sana. Huu mkutano ukiisha hatunae huyu.Hafiki pasaka huyu,
Hajui kuishi na waswahili
Vigodoro ni utamaduni na jadi yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbali sana. Huu mkutano ukiisha hatunae huyu.Hafiki pasaka huyu,
Hajui kuishi na waswahili
Vigodoro ni utamaduni na jadi yao
Alisharopoka sana na hajafanywa kitu ooteMbali sana. Huu mkutano ukiisha hatunae huyu.
Kwa akili yake huu ndo anaita Ufafanuzi? Kwa mwanamke akitumia hela vibaya ndo akapasuliwe na mumewe?Nimesikiliza utetezi wa Chalamila kuhusu kauli yake kwamba yule mama mjamzito aliemwambia kama hatoi Tshs 50,000 achukue bajaji aende kwa mume wake atumie kisu na mikasi kumzalisha ni wa ovyo, usio na lojiki na ambao hata mtu asieenda shule angeweza kufanya vizuri zaidi. Ni afadhali hata angekaa kimya.
Chalamila amebwabwaja tu wala hakuna alichosema cha maana kutuambia kwa nini, yeye kama kiongozi mwakilishi wa raisi, alitoa kauli kama ile ya kubeza, kudhalilisha na hata kumtukana mama ambae alikuwa akimlilia kuhusu kulazimishwa kutoa Tshs 50,000 ili apewe huduma ya kujifungua. Mtu yeyote mwenye akili hawezi kudhania kwamba huu ni utetezi unaotolewa na msomi wa Masters degree. Chalamila hata anagusia kwamba huyu mama mjamzito alishindwa kulipa Shsh 50,000 kwa sababu alimaliza fedha kwenye ngoma za vigodoro! In fact, hayo ni matusi kwa watu wasio na uwezo kwamba wanashupalia ngoma ndio maana hawawezi kumudu gharama za matibabu!
Ushauri wangu kwa Chalamila ni kwamba aache kiburi. Aombe msamaha kwa huyo mama mjamzito, kwa mume wake, kwa Rais Samia na kwa Watanzania wote kwa ujumla. In fact, kwa kauli ya Chalamila, kiongozi yeyote mwenye akili za kiasi angeandika barua ya kujiuzulu kwa Raisi Samia badala ya kusubiri kuondolewa. Kuendelea kujitetea ni kuwaambia wananchi alichosema ndio msimamo wa serikali ya Samia - kama huna hela ya kuchangia kujifungua mwambie mumeo achukue kisu na mikasi akuzalishe!
Na niseme wazi, Raisi Samia usipomchukulia Chalamila hatua yeyote basi utaonekana na watu wengi zaidi kuwa wewe ndio tatizo. Uchaguzi ni wako, umsuke Chalamila au umnyoe!
Hebu msikilize Chalamila wewe mwenyewe u-judge kama huu ni utetezi unaopaswa kutolewa na kiongozi kama Chalamila
Ona pia: CHADEMA amsheni watu kwa kauli za kina Chalamila kwa mjamzito kwamba kama hatoi Shs 50,000 arudi nyumbani mume wake amkate kwa kisu na mkasi ajifungue
Uwezo wake wa kufikiri ndio umeishia hapo, na akaona ameongea point ya maana kama kiongozi.Kwa akili yake huu ndo anaita Ufafanuzi? Kwa mwanamke akitumia hela vibaya ndo akapasuliwe na mumewe?
LastbornAlisharopoka sana na hajafanywa kitu
Basi ndio maana anazidi kuropoka, maana alishatikisa kiberiti akaona hakina njiti ndani, mteuzi hana kauli kwake, labda anajua siri zake je?Alisharopoka sana na hajafanywa kitu oote
Sio bure na haijawahi kuwa bure ila kuna kipindi ilikuwa afadhali kuliko sasa.Hivi kuzaa si wanasema ni bure
Mteuzi hana nguvu akimuona RC ChalamilaBasi ndio maana anazidi kuropoka, maana alishatikisa kiberiti akaona hakina njiti ndani, mteuzi hana kauli kwake, labda anajua siri zake je?
Alivyokuwa RC mwanza mama alimpiga benchi akaenda ikulu analia makamasi yanamtoka kama mtoto kuomba msamahaAlisharopoka sana na hajafanywa kitu oote
Lakini ndo ukweli Sasa mtu huna uwezo wa kutoa elfu 50 ya huduma ya kujifungua huyo mtoto utaenda kumlea vipi atakula Nini?Huyo ni kichwa maji, elimu yake haijamtoa ushamba, kichwa chake hakina uwezo wa kuchakata kipi azungumze kipi ameze.
Kwa viongozi wa namna hii hatuwezi fika mahali.
Mbona awamu hii anamuacha tuuAlivyokuwa RC mwanza mama alimpiga benchi akaenda ikulu analia makamasi yanamtoka kama mtoto kuomba msamaha
Nakumbuka! Mama alikuwa anafanya zira akawaambia watu wako huru kuandika mabango ya ujumbe, hata wakitaka kutukana sawa tu!Alivyokuwa RC mwanza mama alimpiga benchi akaenda ikulu analia makamasi yanamtoka kama mtoto kuomba msamaha
Gharama za mtoto ni Shs 50,000 kila siku?Lakini ndo ukweli Sasa mtu huna uwezo wa kutoa elfu 50 ya huduma ya kujifungua huyo mtoto utaenda kumlea vipi atakula Nini?
Kwani huyo mjamzito atakuwa anajifungua kila siku?Gharama za mtoto ni Shs 50,000 kila siku?
Una umri gani mzee!? Kuna watu elfu 5 ya kula wanaibahatisha, ila kuipata 50 ndio kimbembe, jamani tembeeni muone hali zilivyo nchini.Lakini ndo ukweli Sasa mtu huna uwezo wa kutoa elfu 50 ya huduma ya kujifungua huyo mtoto utaenda kumlea vipi atakula Nini?