Kuhusu mwanamke mjamzito aliemwambia mume wake akatumie kisu na mikasi kumzalisha, Chalamila ametoa utetezi hauna kichwa wala mdomo, wa hovyo kabisa!

Kuhusu mwanamke mjamzito aliemwambia mume wake akatumie kisu na mikasi kumzalisha, Chalamila ametoa utetezi hauna kichwa wala mdomo, wa hovyo kabisa!

wewe chizi...Sawa huduma ya kumfungulisha mama mjamzito ni bure, Je unajua gharama ya delivery KIT?

Mjamzito anakuja hospitali akiwa na upande wa kanga tu, Je hizo gharama za vifaa vya kumfungulisha mjamzito zinatolewa na nani?
Gharama zote zinapaswa kutolewa na serikali, ndivyo sera ya afya inavyoainisha.
Otherwise wabadili sera ili wananchi wafahamu kwamba gharama ni za kulipia, si kutapeli watu kwa cheap politics kuwahadaa wananchi kuwa gharama ni za bure lakini wakifika hospitali wanakuta kumbe walikuwa wamedaganywa tu wanapaswa kulipia.
 
Mie nimemuelewa. Ebu imagine mkeo ana uchungu wa kujifungua, kaambiwa hawana gloves lipua 50,000/=. Hivi inskuingia akilini kwamba badala ya kutoa hela hizo utachukuacsimu kupiga kwa Mkuu wa Mkoa kweli
Wewe wacha ujinga, wengine hawana hiyo elfu HAMSINI!
 
Wewe nawe una tatizo kama la Chalamila. Huelewii mambo halafu unaishia kulaumu. Aliekuambia hiyo link anaongelea mambo kuhusu wanawake wenye mimba nani? Soma thread, acha uvivu wa kusoma na kurukia vitu bila kuelewa background!
Sijui unabisha Nini.
Pale heading haiendani na video.
Hiyo video ipo mahali pengine,nimeiona sasa hivi,but now I cannot find it,ambayo inasema," hapa Chalamila anaongea kuhusu mwanamke mwenye mimba".
 
siku zote kibri na kushiba sana havijaw kumuongoa mtu
 
Hakupaswa kuwa kwenye ofisi za Umma , mpaka muda huu alipaswa ajiuzulu.
 
Hata hajui anachokisema.. Katoa majibu ya kifedhuli kisha anajitetea ujinga
 
CHALAMILA APANDISHWE CHEO,AMESAIDIA KUWAAMBIA MASKINI UKWELI ILIO WAZI.

MASKINI ACHENI KUJIPA UMUHIMU.NYIE NI MZIGO NA MPO WENGI KIASI KWAMBA KEKI YA TAIFA MNAILA BILA JASHO LOLOTE ALAFU BADO HAMTAKI KUFANYA KAZI ILI MUWEZE KUKIHUDUMIA.

KAMA MTU HUWEZI KUJIHUDUMIA FUNGA KIZAZI!!!

📌HAKUNA CHA BURE KATIKA HII DUNIA!!!
 
Mie nimemuelewa. Ebu imagine mkeo ana uchungu wa kujifungua, kaambiwa hawana gloves lipua 50,000/=. Hivi inskuingia akilini kwamba badala ya kutoa hela hizo utachukuacsimu kupiga kwa Mkuu wa Mkoa kweli, huku pia ulijiunga na Mtandao wa Maria Sarungi? La pili, umeenda hospitali baba yako mahututi, ukapokelewa, madaktari eakapambana juu chini lakini Mungu hakupenda ukakuta Dad amekufa. Kweli utakataa kulipwa deni la matibabu ya baba yako usingizie mdaiwa amekufa? Kwa kifupi, Watanzania hatuko hivi.
Watanzania wengi ni wajinga.Na chalamila anakemia wajinga kujipa UMUHIMU.
 
Hafiki pasaka huyu,
Hajui kuishi na waswahili
Vigodoro ni utamaduni na jadi yao
Acheni kujiendekeza ujingaujinga hii ndo inapelekea mikoa ya pwani haina maendeleo kwakuwa mnapenda viongozi wasiowaambia ukweli!!!

📌Nchi hii haiendelei kwasababu ya MZIGO MKUBWA WA MASKINI ambao wanahudumiwa bure,hawalipi kodi na hawafanyi kazi.

#Watanzania wajifunze uwajibikaji,kakuna cha bure katika hii dunia!!!
 
Huyu ni mkuu wa mkoa wa ajabu sana, kiufupi hana akili
Fanya kazi uwe na uwezo wa kujihudumia serikali ndo inatia watu mimba??!!!


📌📌📌Infact njia kuu zote za kuingia dar watu wanatakiwa waende na vitambulisho maalum kama mtu hana kazi asiruhusiwe kuingia Dar.
 
Mama kabla hajateuwa watu awe anawaangalia hata pua zao...kuna pua tu ukiona unajua huyu mtu hakupaswa kuzalisha vitu vingi kutokea mdomoni (maneno) bali yupo specifically kuzalisha vingi vya puani (Kamasi).
 
Back
Top Bottom