Kuiba Trillion 2 halafu kesho yake unamwambia mtu lipa kodi kwa maendeleo ya taifa ni matusi, hii inauma sana

Kuiba Trillion 2 halafu kesho yake unamwambia mtu lipa kodi kwa maendeleo ya taifa ni matusi, hii inauma sana

Ut

Utafanya nini?
Wale wa goli la mkono bado wapo.
Waliotupoka ushindi 2015 kina Nape na Makamba na Mwigulu bado wapo. Na unaambiwa watu wema hawafi.
2025 itakua Kama 2020 au zaidi.
Inafikirisha...


Pengine wanaweka pesa za kampeni ...na Hangaya hawezi kutawala miaka 15. ..

mipango inasukwa kimya kimya ..lakini Makakamba na wa Msoger ...ndio shida;
 
Watu wanagawa Bandari kwa kampuni za kihuni harafu unawaambia walipe kodi unazungumzia kuiba 2 Trilion mbona hiyo cha mtoto...
Daah, yaani hili la kugawa bandari bure bila kikomo isipomng’oa huyu mama, nothing will!
 
Wakati mama anaapishwa wengine machozi yalitoka,si kwamba tunadharau wanawake ama tunadharau wazenj NO,ni sababu tunawajua wanawake vizuri.
Hii nchi ilimshinda JK mwanamume mpaka akazira ikapigwa vizuri mno,ijekuwa huyu mama???

Nchi imejaa wahuni,watu wa fulsa,matapeli,watu wenye uchu na na ashki ya pesa,wasiolitakia mema taifa na wananchi hata chembe,ukiwapa kisogo tu unakuta damage isiyotizamika.

Mama hataki lawama wala ugomvi na mtu,E2 naskia ni kama yuko frustrated hata akikasirishwa na walinzi tu wa getini anatishia kujiudhuru[emoji28][emoji28],kwanini??haoni hata maana ya cheo chake,wa kutubeba alikuwa E 4 lakini nayeye sijui kafungwa nini miguuni wadau[emoji24][emoji24][emoji24].

Mgomo Kkoo unawezafungua njia ya migomo mingine,migomo sio uzalendo,migomo sio uungwana,ila watu wanafanyaje sasa[emoji29][emoji29]
Kwahiyo wewe uliona nchi ilimshinda JK na Mama pekee?

Hawa wengine wa kabla na baada walikuwa vizuri sana siyo?
 
Back
Top Bottom