Ha ha ha nimecheka kwa mara ya kwanza siku ya leo.Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
😂😂 HuendaTunakaa mtaa mmoja nini?
Muuza Kangala unaitwa huku,bidhaa yako inapigwa vita.point. Kuna baadhi ya vijana wanaoukunywa matap tap unakuta ana miaka 20 lakini sura imekunjana kama ana miaka 70.
🤣🤣🤣Na hakafikii… mtu tarehe 22 anaanza ulizia kama msg ishaonekana.
Ila hapa sasa kanataka jifanya matawi kudharau source of income za wengine.View attachment 2230282
Ndiyo kakaKwa tafsiri hii bodaboda ni ajira binafsi.
umecheka kukutana na mtu aliyesoma na kuajiriwa lakini akili hana?Ha ha ha nimecheka kwa mara ya kwanza siku ya leo.
Kwani nyie wa maofisini mkiumwa inakuwaje?Halafu akiumwa anafany nin, atafanya kazi , hizo hela atapata ,bodaboda anaweza kuamka asubuhi pikipiki imeibiwa , kazi haina security yoyote future ya kijana ambaye ni bodaboda ni kuja kuwa nani,mfano Mimi nalima na mkulima my future ni kwamba siku moja MUNGU akipenda nije kuwa mkulima mkubwa, unaweza shauri mwanao awe bodaboda
Wewe unaye elewa , leta hoja yako nielewe, bodaboda ni kazi kweli , mtaani kwaako kuna mtu ambaye amefanikiwa na kazi yake ni bodaboda ,yaani tajiri au ana unafuu wa maisha kulinganisha na wengine , halafu kila siku anamka na anachapa bodabodautakuwa na tatizo la ufahamu na uelewa
Ww ndio utakua mtanzania wa hovyo kabisaAcha utani bodaboda sio ajira
Kilimo cha miti ya mbaoKama shughuli gani?
Ah hapa tumeelewana , kumbe unakubali kuwa akifanikiwa anahama from bodaboda kwenda kwenye hiace, sasa mimi nafanya kilimo nikifanikiwa sihami kwenye kilimo Bali naongeza kuwekeza huko, na kuongeza biashara nyingineKwani nyie wa maofisini mkiumwa inakuwaje?
Mkuu usitype tu ili mradi unatype.
Nyie mnakula hazina sijui, ila huku upande mwingine likizo za ugonjwa zina muda wake, zina muda utakaofika utapokea nusu salary.. mwishowe itakata hiyo salary.
Muhimu omba tu Mungu wako usipate magonjwa hayo ya kukulaza muda mrefu, the same applies to hao boda.
Hata huyo boda Mungu akimjaalia atahamia kwa bajaji, tax na mwishowe awe na hiace zake.
Acha tu.umecheka kukutana na mtu aliyesoma na kuajiriwa lakini akili hana?
Good for you… Hongera sana pia boss 😂😂😂😂Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
Unadhani kila kijana wa Leo anauwezo Wa kutekeleza Hilo? Ili limfae badaeKilimo cha miti ya mbao
Au sio😎Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile labda mtumishi wa umma mlevi.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
Wewe mtanzania Bora sana , leta hojaWw ndio utakua mtanzania wa hovyo kabisa
Good for you… Hongera sana pia boss 😂😂😂😂
Maskini akipata…ila
Mkuu uwe na adabu, wewe kuwahi kupata usiwaone watafutaji ni wazembe.
Kwanza we HUNA HELA zozote, ungekuwa na hela usingekuwa unakaa kuulizia ulizia ka msg kama kameonekana hata kama ni ujira wako.
Maskini akipata matako Julia mbwata.Good for you… Hongera sana pia boss 😂😂😂😂
Maskini akipata…ila
Mkuu uwe na adabu, wewe kuwahi kupata usiwaone watafutaji ni wazembe.
Kwanza we HUNA HELA zozote, ungekuwa na hela usingekuwa unakaa kuulizia ulizia ka msg kama kameonekana hata kama ni ujira wako.