Unakariri maisha, kuna vijana Yeye ni bodaboda na anamiliki bodaboda zake, na analima vilevile, Kwa akili yako mtu akiwa bodaboda ndio kamaliza! Nyie ndio wasomi wetu Wa kutupeleka nchi ya ahadi 🚮🚮Halafu akiumwa anafany nin, atafanya kazi , hizo hela atapata ,bodaboda anaweza kuamka asubuhi pikipiki imeibiwa , kazi haina security yoyote future ya kijana ambaye ni bodaboda ni kuja kuwa nani,mfano Mimi nalima na mkulima my future ni kwamba siku moja MUNGU akipenda nije kuwa mkulima mkubwa, unaweza shauri mwanao awe bodaboda
Tutafika tumechoka 🤣Unakariri maisha, kuna vijana Yeye ni bodaboda na anamiliki bodaboda zake, na analima vilevile, Kwa akili yako mtu akiwa bodaboda ndio kamaliza! Nyie ndio wasomi wetu Wa kutupeleka nchi ya ahadi 🚮🚮
Umri wakula mbususu za warembo wa 27-32
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe ni FALA wa siku humu JF
Unakariri maisha, kuna vijana Yeye ni bodaboda na anamiliki bodaboda zake, na analima vilevile, Kwa akili yako mtu akiwa bodaboda ndio kamaliza! Nyie ndio wasomi wetu Wa kutupeleka nchi ya ahadi [emoji706][emoji706]
Kwani boda hawez kujikatia huo mfuko?Ana pension yake lakini
Usisahau hilo
Kuwekeza Kwa usawa huu wa Mama yawezekana?Habari!
Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.
Najiuliza maswali yafuatayo;
1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?
NJE YA MADA
Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Au sio[emoji41]View attachment 2230318
Weka kwanza picha ya hao bodaboda wa miaka 60Habari!
Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.
Najiuliza maswali yafuatayo;
1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?
NJE YA MADA
Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Kuwekeza Kwa usawa huu wa Mama yawezekana?
Ni janga. Watu wana survive tu na sio kupiga maisha tena.Kuna mzee mmoja yule ako na 50s Kama sikosei..yeye na vijana wake watatu wote bodaboda miaka nenda Rudi..dah
😁😁😁😁
Huyo jamaa leo anaenda kuwa mjinga wa siku 😀😀Kazi gani inaweza kukusaidia kujikinga na kifo kisikupate muda wowote?
Amechekesha na kuhuzunisha at the same time.Huyo jamaa leo anaenda kuwa mjinga wa siku 😀😀
Mtu kaamua kununua Pikipiki yake na kuifanyia kazi yeye mwenyewe kistaarabu na pia kupata wasaa wa kuujua ukweli wa kipato kwa siku.Habari!
Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.
Najiuliza maswali yafuatayo;
1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?
NJE YA MADA
Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamjuaje kuwa ana miaka hiyo?