Wewe ndio Una shida ndugu. Ligi yetu sasa hivi ina timu 16 ,inaitwa NBC premier League na iko chini ya TFF lakini hii hii ligi sio mara zote tangu kuanzishwa kwake ilikuwa na timu 16 na iliitwa NBC premier League na ilikuwa chini ya TFF.Unakubali jina limebadilika na mfumo wa uendeshaji alafu unalazimisha kuwa ni lile lile?
Shida Sana
Kwa kuwategemea kina Mwaikimba na Ditram Nchimbi unategemea ufike wapi kwenye michuano ya CAF?Kwanza tuelewane chini ya CAF hakuna Shindano la Loosers ( Walioshindwa ) bali Mashindano yote yana Umuhimu na yametenganishwa ili Kukuza zaidi Kiwango cha Soka hasa Kimashindano kwa Bara la Afrika.
Pili kama kuna mwana Simba SC Mwenzangu hapa JamiiForums anabeza Mafanikio haya ya Yanga SC na Jumapili ikifuzu
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
hizo ndo akili za watanzaniaHujawahi, nasema hujawahi tena, yaani hujawahi kuniangusha. Hizi timu 2 zimekosa kabisa Wasemaji zaidi ya kubaki na Wachambaji. Ahmed anaamini kuibeza Yanga ndo kick, Alli anaamini kuibeza Simba kunampandisha. Hawa ndo catalyst ya ujinga wa mashabiki Kwa Sasa. Alianza Manara akaungwa Sana mkono na warugaruga, lakini Aina Ile ya Usemaji haipo timu zinazojitambua. Ile ni hamasa ya kishamba siyo Usemaji.
Sio mbaya kwasabab hata sisi simba tulikuwa mazezeta tukawasha moto na tukatolewaBado haibadilishi ukweli kuwa shirikisho ni michuano ya mazezeta yaliyofeli CHAMPIONS LEAGUE.
Baki hivyo hivyo na hiyo akili ya kimbumbumbu.Bado haibadilishi ukweli kuwa shirikisho ni michuano ya mazezeta yaliyofeli CHAMPIONS LEAGUE.
Kwa kipindi hiko mashindano yalikuwa matatu ila mashindano yenye hadhi yalikuwa mawili tu ambayo ni African cup of champions club na African cup winner's cup.Kombe la Shirikisho Ndio Hilo lilikuwa linaitwa la Washindi! Ambapo zamani hakukuwa na Makundi. Kwa hiyo kilichobadilika ni Jina na mfumo wa uendeshaji! Kumbuka awali aliyekuwa anashiriki ni Mshindi wa Pili, siku hizi zinashiriki hata Timu za Madara ya chini! Ndio maana Leo Kuna kina Marumo Galaxy ! + Loosers!
Ok! Sasa nje ya Kombe la Washindi kulikuwa na mashindano gani mengine ya CAF yalishirikisha vilabu vya nchi husika?Kwanza tuelewane chini ya CAF hakuna Shindano la Loosers ( Walioshindwa ) bali Mashindano yote yana Umuhimu na yametenganishwa ili Kukuza zaidi Kiwango cha Soka hasa Kimashindano kwa Bara la Afrika.
Pili kama kuna mwana Simba SC Mwenzangu hapa JamiiForums anabeza Mafanikio haya ya Yanga SC na Jumapili ikifuzu Kihistoria kwa hatua ya Nusu Fainali ya CAFCC hatoishia tu kuwa Mshamba bali atakuwa ni Juha ( Fool ), Mchawi Tukuka na siyo Mwanamichezo.
Tatu na Mwisho Simba SC haijawahi Kucheza Fainali ya CAFCC ila ilicheza Fainali ya Kombe la Washindi Barani Afrika kwa Kucheza na Stella Abidjan ya Ivory Coast.
Tena niwaibieni Siri wana Simba SC Wenzangu hili tusiliendeleze sana kwani hata hilo Kombe lenyewe la Washindi lilikuwa halishirikishi Timu nyingi kama ilivyo sasa katika Kombe la Shirikisho ambalo Yanga SC inashiriki.
Ni Uwendawazimu usio na Mipaka wala Uvumilivu leo hii Kuwabeza Yanga SC wanaoshiriki Michuano yenye Timu nyingi tena wakianzia hatua za Awali ya CAFCC na Kuilinganisha na Michuano ya iliyokuwa Kombe la Washindi ambayo Timu zilikuwa chache na Ushindani wake ukiwa ni Hafifu tofauti na sasa.
Tukubali tu kuwa kwa sasa Watani zetu Yanga SC Gari imewaka Kimataifa na Kitaifa na pia hata Bahati nayo imekaa upande Wao hivyo huu Mjumuiko / Mseto wa haya Mambo yote Mawili yanaifanya Yanga SC izidi Kutakata na Inatakata kweli kweli huku ikituumbua tunayoichukia na kuiombea mabaya Kutwa.
Kama kuna mazuri Kwao tuyaige tu.
Alamsiki nyote.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Kwanza tuelewane chini ya CAF hakuna Shindano la Loosers ( Walioshindwa ) bali Mashindano yote yana Umuhimu na yametenganishwa ili Kukuza zaidi Kiwango cha Soka hasa Kimashindano kwa Bara la Afrika.
Pili kama kuna mwana Simba SC Mwenzangu hapa JamiiForums anabeza Mafanikio haya ya Yanga SC na Jumapili ikifuzu Kihistoria kwa hatua ya Nusu Fainali ya CAFCC hatoishia tu kuwa Mshamba bali atakuwa ni Juha ( Fool ), Mchawi Tukuka na siyo Mwanamichezo.
Tatu na Mwisho Simba SC haijawahi Kucheza Fainali ya CAFCC ila ilicheza Fainali ya Kombe la Washindi Barani Afrika kwa Kucheza na Stella Abidjan ya Ivory Coast.
Tena niwaibieni Siri wana Simba SC Wenzangu hili tusiliendeleze sana kwani hata hilo Kombe lenyewe la Washindi lilikuwa halishirikishi Timu nyingi kama ilivyo sasa katika Kombe la Shirikisho ambalo Yanga SC inashiriki.
Ni Uwendawazimu usio na Mipaka wala Uvumilivu leo hii Kuwabeza Yanga SC wanaoshiriki Michuano yenye Timu nyingi tena wakianzia hatua za Awali ya CAFCC na Kuilinganisha na Michuano ya iliyokuwa Kombe la Washindi ambayo Timu zilikuwa chache na Ushindani wake ukiwa ni Hafifu tofauti na sasa.
Tukubali tu kuwa kwa sasa Watani zetu Yanga SC Gari imewaka Kimataifa na Kitaifa na pia hata Bahati nayo imekaa upande Wao hivyo huu Mjumuiko / Mseto wa haya Mambo yote Mawili yanaifanya Yanga SC izidi Kutakata na Inatakata kweli kweli huku ikituumbua tunayoichukia na kuiombea mabaya Kutwa.
Kama kuna mazuri Kwao tuyaige tu.
Alamsiki nyote.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
We jamaa kumbe unaakili sana ila huwa unazirusha tu (unajifanya hamnazo).Kwanza tuelewane chini ya CAF hakuna Shindano la Loosers ( Walioshindwa ) bali Mashindano yote yana Umuhimu na yametenganishwa ili Kukuza zaidi Kiwango cha Soka hasa Kimashindano kwa Bara la Afrika.
Pili kama kuna mwana Simba SC Mwenzangu hapa JamiiForums anabeza Mafanikio haya ya Yanga SC na Jumapili ikifuzu Kihistoria kwa hatua ya Nusu Fainali ya CAFCC hatoishia tu kuwa Mshamba bali atakuwa ni Juha ( Fool ), Mchawi Tukuka na siyo Mwanamichezo.
Tatu na Mwisho Simba SC haijawahi Kucheza Fainali ya CAFCC ila ilicheza Fainali ya Kombe la Washindi Barani Afrika kwa Kucheza na Stella Abidjan ya Ivory Coast.
Tena niwaibieni Siri wana Simba SC Wenzangu hili tusiliendeleze sana kwani hata hilo Kombe lenyewe la Washindi lilikuwa halishirikishi Timu nyingi kama ilivyo sasa katika Kombe la Shirikisho ambalo Yanga SC inashiriki.
Ni Uwendawazimu usio na Mipaka wala Uvumilivu leo hii Kuwabeza Yanga SC wanaoshiriki Michuano yenye Timu nyingi tena wakianzia hatua za Awali ya CAFCC na Kuilinganisha na Michuano ya iliyokuwa Kombe la Washindi ambayo Timu zilikuwa chache na Ushindani wake ukiwa ni Hafifu tofauti na sasa.
Tukubali tu kuwa kwa sasa Watani zetu Yanga SC Gari imewaka Kimataifa na Kitaifa na pia hata Bahati nayo imekaa upande Wao hivyo huu Mjumuiko / Mseto wa haya Mambo yote Mawili yanaifanya Yanga SC izidi Kutakata na Inatakata kweli kweli huku ikituumbua tunayoichukia na kuiombea mabaya Kutwa.
Kama kuna mazuri Kwao tuyaige tu.
Alamsiki nyote.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Anaeuona ukweli na akaukiri hata kama hauko upande wake huyo ni wa kusifiwa tena sana tu.Basi mashabiki Yanga hapa watakusifia na kukupa heko, maana ndo wanachopenda kusikia na kuona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujawahi, nasema hujawahi tena, yaani hujawahi kuniangusha. Hizi timu 2 zimekosa kabisa Wasemaji zaidi ya kubaki na Wachambaji. Ahmed anaamini kuibeza Yanga ndo kick, Alli anaamini kuibeza Simba kunampandisha. Hawa ndo catalyst ya ujinga wa mashabiki Kwa Sasa. Alianza Manara akaungwa Sana mkono na warugaruga, lakini Aina Ile ya Usemaji haipo timu zinazojitambua. Ile ni hamasa ya kishamba siyo Usemaji.
Hakuna unachokojua aisee...Kombe la Shirikisho Ndio Hilo lilikuwa linaitwa la Washindi! Ambapo zamani hakukuwa na Makundi. Kwa hiyo kilichobadilika ni Jina na mfumo wa uendeshaji! Kumbuka awali aliyekuwa anashiriki ni Mshindi wa Pili, siku hizi zinashiriki hata Timu za Madara ya chini! Ndio maana Leo Kuna kina Marumo Galaxy ! + Loosers!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji114] we kajamaa ni kambea sana ila Wiki iliyopita nilijaribu kuzoom comments zako sikuona hata Moja .Subiri madongo toka kwa wafia timu wa Mudi wasiopenda kusikia ukweli
Shida ya nyie watu ni vilaza sana .Goli la Sakho liliopatikana kwenye kombe hilo waliansisha nyuzi kibao na kushangilia leo imekuwa vipi ndugu dundukaz ?
Usisumbuke Bure haya jamaa uwezo wa kuchakata mambo ni mdogo sana hata huku mtaan kwetu ni wengi sana alafu dizain wamezaliwa na mama mmoja.Wewe ndio Una shida ndugu. Ligi yetu sasa hivi ina timu 16 ,inaitwa NBC premier League na iko chini ya TFF lakini hii hii ligi sio mara zote tangu kuanzishwa kwake ilikuwa na timu 16 na iliitwa NBC premier League na ilikuwa chini ya TFF.
Kwa hiyo timu inaposema imechukua ubingwa wa ligi mara 22 sio sahihi? Kwa hiyo timu iseme imechukua ubingwa mara 10 enzi za FAT mara 5 enzi za TFF , au iseme imechukua ubingwa mara 6 timu shiriki zikiwa 12 na mara Saba timu shiriki zikiwa 16?