Kuidharau Yanga SC ikielekea CAFCC Semi ni Ushamba na Simba SC haijawahi Kucheza Fainali ya CAFCC

Kuidharau Yanga SC ikielekea CAFCC Semi ni Ushamba na Simba SC haijawahi Kucheza Fainali ya CAFCC

Unakubali jina limebadilika na mfumo wa uendeshaji alafu unalazimisha kuwa ni lile lile?

Shida Sana
Wewe ndio Una shida ndugu. Ligi yetu sasa hivi ina timu 16 ,inaitwa NBC premier League na iko chini ya TFF lakini hii hii ligi sio mara zote tangu kuanzishwa kwake ilikuwa na timu 16 na iliitwa NBC premier League na ilikuwa chini ya TFF.

Kwa hiyo timu inaposema imechukua ubingwa wa ligi mara 22 sio sahihi? Kwa hiyo timu iseme imechukua ubingwa mara 10 enzi za FAT mara 5 enzi za TFF , au iseme imechukua ubingwa mara 6 timu shiriki zikiwa 12 na mara Saba timu shiriki zikiwa 16?
 
Kwanza tuelewane chini ya CAF hakuna Shindano la Loosers ( Walioshindwa ) bali Mashindano yote yana Umuhimu na yametenganishwa ili Kukuza zaidi Kiwango cha Soka hasa Kimashindano kwa Bara la Afrika.

Pili kama kuna mwana Simba SC Mwenzangu hapa JamiiForums anabeza Mafanikio haya ya Yanga SC na Jumapili ikifuzu

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Kwa kuwategemea kina Mwaikimba na Ditram Nchimbi unategemea ufike wapi kwenye michuano ya CAF?

Yanga unayoiona ni kama tumeiazima AS Vita watupe timu na kuleta kocha mzuri ndio hiki unachokiona, kwa sisi wenyewe tungekesha miaka yote hata ukibahatisha kuingia makundi lazima ugeuzwe jamvi la wageni.

Wachezaji wazawa wasipojifunza kitu kwa hawa Wacongo ndio basi tena, maana upande wa wanamuziki wanacopy vizuri tu sebene za Wacongo, wachezaji wanashindwa vipi kucopy? Wacongo wametuzidi kwa mbali sana.
 
Mshidi halafu shirikisho ni kitu kimoja?. Wacheni mchezo kufeli ni kufeli tu sawa?.
 
Hujawahi, nasema hujawahi tena, yaani hujawahi kuniangusha. Hizi timu 2 zimekosa kabisa Wasemaji zaidi ya kubaki na Wachambaji. Ahmed anaamini kuibeza Yanga ndo kick, Alli anaamini kuibeza Simba kunampandisha. Hawa ndo catalyst ya ujinga wa mashabiki Kwa Sasa. Alianza Manara akaungwa Sana mkono na warugaruga, lakini Aina Ile ya Usemaji haipo timu zinazojitambua. Ile ni hamasa ya kishamba siyo Usemaji.
hizo ndo akili za watanzania
 
Bado haibadilishi ukweli kuwa shirikisho ni michuano ya mazezeta yaliyofeli CHAMPIONS LEAGUE.
Baki hivyo hivyo na hiyo akili ya kimbumbumbu.

Kazi yetu Yanga ni kufuta Kila excuse ya mashabiki wa Simba! Hamtuiti Tena wa matopeni, Hamtuiti Tena wapanda mabasi kuelekea Manungu Huku nyie mkichukua Mwewe kwenda ulimwenguni, na Sasa Ijumaa mechi na Wydad ni nyie mnaoumaliza mwendo wa kudaka Mwewe , ijumaa mnakandwa (7-0) mnarudi matopeni Buza kwa Mpalanger, Huku Mtani wenu Yanga tunatinga nusu fainali Shirikisho na kuendelea kupaa na "Mwewe" (ndege kwa wasiojua).

Tunabeba NBC league cup second season tunapata uzoefu mashindano ya kimataifa kupitia Shirikisho kwa kushinda mechi za ugenini sasa msimu ujao tukutane Klabu bingwa Afrika, maana Al Hilal walijiangusha mechi zote mbili ikawa sio soka Tena, na kawaida yetu ukitupiga kama Rivers United kisasi ni lazima hao Al Hilal tupangwe nao Tena watajua Yanga ni nani! Sasa Mtani muda huu ni vizuri uanze kutafuta kitu kingine Cha kujifariji maana msimu ujao Utopolo fc tutakushangaza klabu bingwa Africa !

Hebu tufikiri kidogo, hivi looser ni Simba asie na kombe lolote zaidi ya lile la kina Yakhe au Yanga inayojitafuta na kupambana kupata Mataji ligi kuu na kimataifa?
 
Kombe la Shirikisho Ndio Hilo lilikuwa linaitwa la Washindi! Ambapo zamani hakukuwa na Makundi. Kwa hiyo kilichobadilika ni Jina na mfumo wa uendeshaji! Kumbuka awali aliyekuwa anashiriki ni Mshindi wa Pili, siku hizi zinashiriki hata Timu za Madara ya chini! Ndio maana Leo Kuna kina Marumo Galaxy ! + Loosers!
Kwa kipindi hiko mashindano yalikuwa matatu ila mashindano yenye hadhi yalikuwa mawili tu ambayo ni African cup of champions club na African cup winner's cup.

Shindano la kwanza lilikuwa linaitwa Afirican cup of champions club.
Hili ndio kwasasa ni sawa sawa na klabu bingwa kwahivi sasa, na timu zilizotakiwa kushiriki hii michuano ni zile tu zinazobeba ubingwa wa ligi kuu.

2) Africa cup winner's cup

Hili ndio ni sawasawa na kombe la shirikisho kwa hivi sasa, timu ambazo zilizokuwa zinazishiri ni timu ambazo zimetwaa ubingwa wa kombe la FA kwenye mataifa yao. Kama ikitokea aliyebeba kombe la FA ndio huyo aliyebeba na ligi kuu basi aliyecheza nae fainali (runner up) ndio atakayefuzu kucheza hili kombe la African cup winner's cup

3) CAF cup

Haya ni mashindano yaliyoanzishwa na Mnigeria kama kwaajili ya timu zilizoshindwa kufuzu mashindano ya kimataifa ya CAF.
Timu ambazo zinashika nafasi ya pili, na zilizoshindwa kufuzu mashindano ya CAF ( African cup winner's cup na African cup of champions club)
CAF cup ilianzishwa mwaka 1992 na mwaka 2003 ndio ikawa mwisho wa mashindano hayo hivyo yalidumi kwa miaka 12 tu

HITIMISHO

Kwanini African cup winner's cup ndio ni sawasawa na shirikisho kwasasa?
Sababu ya kwanza ni kama nilivyoeleza juu mfumo wake upo sawasawa na ilivyo CAF confederation cup.
Sababu ya pili ni CAF super cup
CAF super cup ni shindano linalohusha mabingwa wa kombe la CAF interclub yaani kombe la shirikisho na kombe la mabingwa.
Katika kipindi hiko kabla ya kuanzishwa kwa CAF confederation cup, CAF super cup ilikuwa inakutanisha bingwa wa African cup of champions club VS bingwa wa African cup winner's cup.

Katika mwaka 1993 bingwa wa African cup winner's cup alikuwa ni Al Ahly na bingwa wa African cup of champions club alikuwa ni Zamalek. Hivyo wakakutana kwenye CAF super cup mwaka 1994 na bingwa akauchukua Zamalek wa CAF super cup.

IMG_20230426_074839.jpg
 
Kwanza tuelewane chini ya CAF hakuna Shindano la Loosers ( Walioshindwa ) bali Mashindano yote yana Umuhimu na yametenganishwa ili Kukuza zaidi Kiwango cha Soka hasa Kimashindano kwa Bara la Afrika.

Pili kama kuna mwana Simba SC Mwenzangu hapa JamiiForums anabeza Mafanikio haya ya Yanga SC na Jumapili ikifuzu Kihistoria kwa hatua ya Nusu Fainali ya CAFCC hatoishia tu kuwa Mshamba bali atakuwa ni Juha ( Fool ), Mchawi Tukuka na siyo Mwanamichezo.

Tatu na Mwisho Simba SC haijawahi Kucheza Fainali ya CAFCC ila ilicheza Fainali ya Kombe la Washindi Barani Afrika kwa Kucheza na Stella Abidjan ya Ivory Coast.

Tena niwaibieni Siri wana Simba SC Wenzangu hili tusiliendeleze sana kwani hata hilo Kombe lenyewe la Washindi lilikuwa halishirikishi Timu nyingi kama ilivyo sasa katika Kombe la Shirikisho ambalo Yanga SC inashiriki.

Ni Uwendawazimu usio na Mipaka wala Uvumilivu leo hii Kuwabeza Yanga SC wanaoshiriki Michuano yenye Timu nyingi tena wakianzia hatua za Awali ya CAFCC na Kuilinganisha na Michuano ya iliyokuwa Kombe la Washindi ambayo Timu zilikuwa chache na Ushindani wake ukiwa ni Hafifu tofauti na sasa.

Tukubali tu kuwa kwa sasa Watani zetu Yanga SC Gari imewaka Kimataifa na Kitaifa na pia hata Bahati nayo imekaa upande Wao hivyo huu Mjumuiko / Mseto wa haya Mambo yote Mawili yanaifanya Yanga SC izidi Kutakata na Inatakata kweli kweli huku ikituumbua tunayoichukia na kuiombea mabaya Kutwa.

Kama kuna mazuri Kwao tuyaige tu.

Alamsiki nyote.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Ok! Sasa nje ya Kombe la Washindi kulikuwa na mashindano gani mengine ya CAF yalishirikisha vilabu vya nchi husika?
 
Kwanza tuelewane chini ya CAF hakuna Shindano la Loosers ( Walioshindwa ) bali Mashindano yote yana Umuhimu na yametenganishwa ili Kukuza zaidi Kiwango cha Soka hasa Kimashindano kwa Bara la Afrika.

Pili kama kuna mwana Simba SC Mwenzangu hapa JamiiForums anabeza Mafanikio haya ya Yanga SC na Jumapili ikifuzu Kihistoria kwa hatua ya Nusu Fainali ya CAFCC hatoishia tu kuwa Mshamba bali atakuwa ni Juha ( Fool ), Mchawi Tukuka na siyo Mwanamichezo.

Tatu na Mwisho Simba SC haijawahi Kucheza Fainali ya CAFCC ila ilicheza Fainali ya Kombe la Washindi Barani Afrika kwa Kucheza na Stella Abidjan ya Ivory Coast.

Tena niwaibieni Siri wana Simba SC Wenzangu hili tusiliendeleze sana kwani hata hilo Kombe lenyewe la Washindi lilikuwa halishirikishi Timu nyingi kama ilivyo sasa katika Kombe la Shirikisho ambalo Yanga SC inashiriki.

Ni Uwendawazimu usio na Mipaka wala Uvumilivu leo hii Kuwabeza Yanga SC wanaoshiriki Michuano yenye Timu nyingi tena wakianzia hatua za Awali ya CAFCC na Kuilinganisha na Michuano ya iliyokuwa Kombe la Washindi ambayo Timu zilikuwa chache na Ushindani wake ukiwa ni Hafifu tofauti na sasa.

Tukubali tu kuwa kwa sasa Watani zetu Yanga SC Gari imewaka Kimataifa na Kitaifa na pia hata Bahati nayo imekaa upande Wao hivyo huu Mjumuiko / Mseto wa haya Mambo yote Mawili yanaifanya Yanga SC izidi Kutakata na Inatakata kweli kweli huku ikituumbua tunayoichukia na kuiombea mabaya Kutwa.

Kama kuna mazuri Kwao tuyaige tu.

Alamsiki nyote.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!

Mchambuzi wangu bora zaidi wa muda wote, thumb up kwako huwezi kuwa mpenda soka afu ushindwe ku- recognize mafanikio ya team pinzani yako…..
 
Kwanza tuelewane chini ya CAF hakuna Shindano la Loosers ( Walioshindwa ) bali Mashindano yote yana Umuhimu na yametenganishwa ili Kukuza zaidi Kiwango cha Soka hasa Kimashindano kwa Bara la Afrika.

Pili kama kuna mwana Simba SC Mwenzangu hapa JamiiForums anabeza Mafanikio haya ya Yanga SC na Jumapili ikifuzu Kihistoria kwa hatua ya Nusu Fainali ya CAFCC hatoishia tu kuwa Mshamba bali atakuwa ni Juha ( Fool ), Mchawi Tukuka na siyo Mwanamichezo.

Tatu na Mwisho Simba SC haijawahi Kucheza Fainali ya CAFCC ila ilicheza Fainali ya Kombe la Washindi Barani Afrika kwa Kucheza na Stella Abidjan ya Ivory Coast.

Tena niwaibieni Siri wana Simba SC Wenzangu hili tusiliendeleze sana kwani hata hilo Kombe lenyewe la Washindi lilikuwa halishirikishi Timu nyingi kama ilivyo sasa katika Kombe la Shirikisho ambalo Yanga SC inashiriki.

Ni Uwendawazimu usio na Mipaka wala Uvumilivu leo hii Kuwabeza Yanga SC wanaoshiriki Michuano yenye Timu nyingi tena wakianzia hatua za Awali ya CAFCC na Kuilinganisha na Michuano ya iliyokuwa Kombe la Washindi ambayo Timu zilikuwa chache na Ushindani wake ukiwa ni Hafifu tofauti na sasa.

Tukubali tu kuwa kwa sasa Watani zetu Yanga SC Gari imewaka Kimataifa na Kitaifa na pia hata Bahati nayo imekaa upande Wao hivyo huu Mjumuiko / Mseto wa haya Mambo yote Mawili yanaifanya Yanga SC izidi Kutakata na Inatakata kweli kweli huku ikituumbua tunayoichukia na kuiombea mabaya Kutwa.

Kama kuna mazuri Kwao tuyaige tu.

Alamsiki nyote.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
We jamaa kumbe unaakili sana ila huwa unazirusha tu (unajifanya hamnazo).
Subiri MAKOLO wakupopowe na kukuita UTO.
 
Shida kubwa ni wivu tu,, mtu akiwa na wivu atatafuta sababu yoyote ya ku-undermine mafanikio Husika ili mlengwa ujione si lolote si chochote.
Ikumbuke kuwa Hatua hizihiz ndizo Makolo waliliabisha Taifa letu kwa kufanya Ulozi mkubwa pale SA bila aibu Wala nishai..

Yanga hii sio yakujifananisha nayo..
 
Mkuu hiyo kitu ina impact kubwa sana kibiashara ndio maana husikii wakubwa wakikemea waache. Kuanzia kwenye mahudhurio ya uwanjani kwenye bidhaa za timu inawanufaisha sana na mimi sioni shida so long as inapohitajika kufanya jambo la timu linatekelezwa
Hujawahi, nasema hujawahi tena, yaani hujawahi kuniangusha. Hizi timu 2 zimekosa kabisa Wasemaji zaidi ya kubaki na Wachambaji. Ahmed anaamini kuibeza Yanga ndo kick, Alli anaamini kuibeza Simba kunampandisha. Hawa ndo catalyst ya ujinga wa mashabiki Kwa Sasa. Alianza Manara akaungwa Sana mkono na warugaruga, lakini Aina Ile ya Usemaji haipo timu zinazojitambua. Ile ni hamasa ya kishamba siyo Usemaji.
 
Kombe la Shirikisho Ndio Hilo lilikuwa linaitwa la Washindi! Ambapo zamani hakukuwa na Makundi. Kwa hiyo kilichobadilika ni Jina na mfumo wa uendeshaji! Kumbuka awali aliyekuwa anashiriki ni Mshindi wa Pili, siku hizi zinashiriki hata Timu za Madara ya chini! Ndio maana Leo Kuna kina Marumo Galaxy ! + Loosers!
Hakuna unachokojua aisee...
Fatilia vigezo vya kushiriki kombe la washindi
 
Subiri madongo toka kwa wafia timu wa Mudi wasiopenda kusikia ukweli
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji114] we kajamaa ni kambea sana ila Wiki iliyopita nilijaribu kuzoom comments zako sikuona hata Moja .
Yaan ulipotea jumla jumla baada ya kukandwa sawa sawa na mnyama[emoji1666]Cku ngapi hiz umeibuka gafla
 
Goli la Sakho liliopatikana kwenye kombe hilo waliansisha nyuzi kibao na kushangilia leo imekuwa vipi ndugu dundukaz ?
Shida ya nyie watu ni vilaza sana .
Kipindi anaongea msemaji wenu kuwa hilo hayo mashindano ni ya waliofeli mlimuunga mkono badala ya kumkataza huo ujinga wake ,na mlimuunga mkono sabab hamkua kwenye hayo mashindano.Leo hii mpo huko mnakumbushwa km ni sehemu ya waliofeli mnachukia wakat mwanzo mlisapot hicho kitu.
Badiriken msipende kubeza vitu wakat mnajua waz mnaweza pitia huko.
 
Wewe ndio Una shida ndugu. Ligi yetu sasa hivi ina timu 16 ,inaitwa NBC premier League na iko chini ya TFF lakini hii hii ligi sio mara zote tangu kuanzishwa kwake ilikuwa na timu 16 na iliitwa NBC premier League na ilikuwa chini ya TFF.

Kwa hiyo timu inaposema imechukua ubingwa wa ligi mara 22 sio sahihi? Kwa hiyo timu iseme imechukua ubingwa mara 10 enzi za FAT mara 5 enzi za TFF , au iseme imechukua ubingwa mara 6 timu shiriki zikiwa 12 na mara Saba timu shiriki zikiwa 16?
Usisumbuke Bure haya jamaa uwezo wa kuchakata mambo ni mdogo sana hata huku mtaan kwetu ni wengi sana alafu dizain wamezaliwa na mama mmoja.
 
Back
Top Bottom