Kuingia fainali kwa timu ya Yanga na USM Alger ni Mtihani mkubwa sana

Kuingia fainali kwa timu ya Yanga na USM Alger ni Mtihani mkubwa sana

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Kwanza naomba niipongeze Timu yangu ya Yanga kwa kufikia hutua hii adhimu ya fsinali ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Mmetuheshimisha sana sana, kweli hatuna deni na nyie, pokeeni maua yenu.

Lakini naomba nitoe angalizo kwa timu yetu, hatua mliofikia ni mtihani mkubwa sana huenda kuliko watu wavyofikiri.

1. Ikumbukwe kuwa ili tuchukuwe ubingwa inategemea matokeo chanya ya kwa Mkapa tofauti na hapo tutakuwa kwenye wakati mgumu sana, tushinde walahi angalau bao 3

2. Bado timu ina wenge la ushindi mfululizo, hii kisaikolojia huenda ikatugharimu kwani huenda ikapelekea wachezaji wetu wakarelaxy wakawachukulia poa USM Alger.

3. Tunaenda kucheza na timu yenye uzoefu na mashindano haya kuliko sisi.

4. Timu za kiarabu nimeziona kila hatua anayofikia abadilika hapa inabidi bench la ufundi kuwa makini kwelikweli.

Ndio hayo, Naitaka Yanga Ushindi.
 
No pressure mkuu coz yanga imejidhatiti kuchukua ubingwa wa cafcc na hata hiyo mechi ya Kwa mkapa tukatoa droo Nina Imani Kwa muarabu tunaenda kushinda
Yangaaaaaaa forever💚💚💚💚💛💛💛💛
 
Kwanza naomba niipongeze Timu yangu ya Yanga kwa kufikia hutua hii adhimu ya fsinali ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Mmetuheshimisha sana sana, kweli hatuna deni na nyie, pokeeni maua yenu.

Lakini naomba nitoe angalizo kwa timu yetu, hatua mliofikia ni mtihani mkubwa sana huenda kuliko watu wavyofikiri.

1. Ikumbukwe kuwa ili tuchukuwe ubingwa inategemea matokeo chanya ya kwa Mkapa tofauti na hapo tutakuwa kwenye wakati mgumu sana, tushinde walahi angalau bao 3

2. Bado timu ina wenge la ushindi mfululizo, hii kisaikolojia huenda ikatugharimu kwani huenda ikapelekea wachezaji wetu wakarelaxy wakawachukulia poa USM Alger.

3. Tunaenda kucheza na timu yenye uzoefu na mashindano haya kuliko sisi.

4. Timu za kiarabu nimeziona kila hatua anayofikia abadilika hapa inabidi bench la ufundi kuwa makini kwelikweli.

Ndio hayo, Naitaka Yanga Ushindi.
Naungana na wewe kwenye point ya 4 hapo.
 
Kwanza naomba niipongeze Timu yangu ya Yanga kwa kufikia hutua hii adhimu ya fsinali ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Mmetuheshimisha sana sana, kweli hatuna deni na nyie, pokeeni maua yenu.

Lakini naomba nitoe angalizo kwa timu yetu, hatua mliofikia ni mtihani mkubwa sana huenda kuliko watu wavyofikiri.

1. Ikumbukwe kuwa ili tuchukuwe ubingwa inategemea matokeo chanya ya kwa Mkapa tofauti na hapo tutakuwa kwenye wakati mgumu sana, tushinde walahi angalau bao 3

2. Bado timu ina wenge la ushindi mfululizo, hii kisaikolojia huenda ikatugharimu kwani huenda ikapelekea wachezaji wetu wakarelaxy wakawachukulia poa USM Alger.

3. Tunaenda kucheza na timu yenye uzoefu na mashindano haya kuliko sisi.

4. Timu za kiarabu nimeziona kila hatua anayofikia abadilika hapa inabidi bench la ufundi kuwa makini kwelikweli.

Ndio hayo, Naitaka Yanga Ushindi.
Nabi anajua hayo yote mengine tunamuachia bin KAZUMARI
 
Kwanza naomba niipongeze Timu yangu ya Yanga kwa kufikia hutua hii adhimu ya fsinali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
u na mashindano haya kuliko sisi.

4. Timu za kiarabu nimeziona kila hatua anayofikia abadilika hapa inabidi bench la ufundi kuwa makini kwelikweli.

Ndio hayo, Naitaka Yanga Ushindi.
Sawa.

Haya kalale.
🤣🤣🤣🤣
 
Jamaa mwenyewe ndo uyo no 8 hapo .Tanzania prison wa bongo
409972549.jpg
 
Kwanza naomba niipongeze Timu yangu ya Yanga kwa kufikia hutua hii adhimu ya fsinali ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Mmetuheshimisha sana sana, kweli hatuna deni na nyie, pokeeni maua yenu.

Lakini naomba nitoe angalizo kwa timu yetu, hatua mliofikia ni mtihani mkubwa sana huenda kuliko watu wavyofikiri.

1. Ikumbukwe kuwa ili tuchukuwe ubingwa inategemea matokeo chanya ya kwa Mkapa tofauti na hapo tutakuwa kwenye wakati mgumu sana, tushinde walahi angalau bao 3

2. Bado timu ina wenge la ushindi mfululizo, hii kisaikolojia huenda ikatugharimu kwani huenda ikapelekea wachezaji wetu wakarelaxy wakawachukulia poa USM Alger.

3. Tunaenda kucheza na timu yenye uzoefu na mashindano haya kuliko sisi.

4. Timu za kiarabu nimeziona kila hatua anayofikia abadilika hapa inabidi bench la ufundi kuwa makini kwelikweli.

Ndio hayo, Naitaka Yanga Ushindi.
mkuu kati ya hizo mechi mbili yanga anashinda zote au anashinda moja na nyingine droo...IYO NDO STANDARD ALIYO SET YANGA KWENYE HAYA MASHINDANO,LIKITOKEA TOFAUTI NA HAYO NI BAHATI MBAYA
 
Back
Top Bottom