Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio KweliKwenye namba 3 fahamu ya kuwa hata wao ni fainali yao ya kwanza pia.
Washashinda CAF CL mwaka 1976Sio Kweli
Tena wao ndo walicheza Na Mazembe final ya CAF champions league 2015Washashinda CAF CL mwaka 1976
WanaexperienceTena wao ndo walicheza Na Mazembe final ya CAF champions league 2015
Kwanza naomba niipongeze Timu yangu ya Yanga kwa kufikia hutua hii adhimu ya fsinali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Mmetuheshimisha sana sana, kweli hatuna deni na nyie, pokeeni maua yenu.
Lakini naomba nitoe angalizo kwa timu yetu, hatua mliofikia ni mtihani mkubwa sana huenda kuliko watu wavyofikiri.
1. Ikumbukwe kuwa ili tuchukuwe ubingwa inategemea matokeo chanya ya kwa Mkapa tofauti na hapo tutakuwa kwenye wakati mgumu sana, tushinde walahi angalau bao 3
2. Bado timu ina wenge la ushindi mfululizo, hii kisaikolojia huenda ikatugharimu kwani huenda ikapelekea wachezaji wetu wakarelaxy wakawachukulia poa USM Alger.
3. Tunaenda kucheza na timu yenye uzoefu na mashindano haya kuliko sisi.
4. Timu za kiarabu nimeziona kila hatua anayofikia abadilika hapa inabidi bench la ufundi kuwa makini kwelikweli.
Ndio hayo, Naitaka Yanga Ushindi.
Usisahau Yanga tuna historia ya kushinda kipindi cha piliFainal haiitaji magoal matatu, ukiwalazimisha wachezaji wafunge magoal matatu hapo ndo pressure inapoanza baada ya kufika dakika ya 30 hujafunga goal mwisho wa siku unapanik unafungwa wewe
Kiukweli kwa reference ya Mamelody Sundowns vs Widad Casablanca ni somo tosha kuwa hatua hii hakuna mnyonge ila kikubwa ni matokeo tu.Kwanza naomba niipongeze Timu yangu ya Yanga kwa kufikia hutua hii adhimu ya fsinali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Mmetuheshimisha sana sana, kweli hatuna deni na nyie, pokeeni maua yenu.
Lakini naomba nitoe angalizo kwa timu yetu, hatua mliofikia ni mtihani mkubwa sana huenda kuliko watu wavyofikiri.
1. Ikumbukwe kuwa ili tuchukuwe ubingwa inategemea matokeo chanya ya kwa Mkapa tofauti na hapo tutakuwa kwenye wakati mgumu sana, tushinde walahi angalau bao 3
2. Bado timu ina wenge la ushindi mfululizo, hii kisaikolojia huenda ikatugharimu kwani huenda ikapelekea wachezaji wetu wakarelaxy wakawachukulia poa USM Alger.
3. Tunaenda kucheza na timu yenye uzoefu na mashindano haya kuliko sisi.
4. Timu za kiarabu nimeziona kila hatua anayofikia abadilika hapa inabidi bench la ufundi kuwa makini kwelikweli.
Ndio hayo, Naitaka Yanga Ushindi.
Hii nchi ina wajuaji wengi sana yaani yanga wamevuka huko kote bila kuwaheshimu wapinzani ??? Ndo maana kuna vipindi vya michezo mchana kutwa wanaoitwa wachambuzi wanaishia kujadili mikimbio siju nn basi ili mradi kila mtu aongee tu.fainali ni ngumu kwa wote jamaniMi nachojua kombe la yanga hayo ya kufunga bao 3 sjui kulinda mara ooh chezeni Kwa kuwaheshimu awapii hayasaidii kkubwa ni ushindi hata Kama ni mwembamba mno
Utakufa vibaya wewe...🤣Eti toa droo uone.
Sio droo Tu hata Kwa kufungwa tunaweza fungwa na tukaenda kupindua Kwa muarabu.
Yanga is on fireee mkuu
Mkuu uko sahihi kabisa tuwaombee vijana wapambanie Timu na NchiKiukweli kwa reference ya Mamelody Sundowns vs Widad Casablanca ni somo tosha kuwa hatua hii hakuna mnyonge ila kikubwa ni matokeo tu.
Yanga wanastahili pongezi ila wasijiamini sana kupita kiasi sababu haitakuwa na maana yoyote ikiwa itafungwa kisha ikaongoza kwa shorts on target, ball possession na conners.
Udhaifu wa Yanga ni kukosa kosa nafasi nyingi za wazi zinazoweza kuamua matokeo mapema sana, naiombea Yanga ijitahidi kwa hili maana Maadui wanaweza wasiruhusu makosa mara 2, 2, yani wakipata nafasi tu watumie papo hapo.
Mungu ibariki Young Africans, Mungu ibariki Tanzania.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
acha uongo utopolo wewe mbumbumbu usiejua kitu mwaka 2015 walicheza fainali na tp mazembeKwenye namba 3 fahamu ya kuwa hata wao ni fainali yao ya kwanza pia.
Kwahiyo kuanzia timu ya kwanza hadi hiyo ya saba ni ipi ulishawahi kuifunga hadi uwacheke USM Alger kwa kuwa wa 8?Jamaa mwenyewe ndo uyo no 8 hapo .Tanzania prison wa bongoView attachment 2633606