Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2015 ilikuwa ni champions league, nilichoongea mimi ni kwamba kwenye mashindano ya CAF confederation cup ndio fainali yao ya kwanza hiiacha uongo utopolo wewe mbumbumbu usiejua kitu mwaka 2015 walicheza fainali na tp mazembe
Kamaanisha fainali yao ya kwanza ya CAFCC,ile ya 2015 na TP Mazembe ilikua CAFCL.acha uongo utopolo wewe mbumbumbu usiejua kitu mwaka 2015 walicheza fainali na tp mazembe
Upo sahihi Ila huko nyuma walishafika fainali ya champions league wakafungwa na Tp Mazembe na kufika fainali hii ya cafcc walimtoa far As Far wanaongoza league ya Morocco ya kina waydad Casablanca na raja Casablanca.Kwenye namba 3 fahamu ya kuwa hata wao ni fainali yao ya kwanza pia cafcc
Jamaa mwenyewe ndo uyo no 8 hapo .Tanzania prison wa bongoView attachment 2633606
Labda mliibe
Ha ha haKwenye namba 3 fahamu ya kuwa hata wao ni fainali yao ya kwanza pia cafcc
Ndi ho kilichotokeaFainal haiitaji magoal matatu, ukiwalazimisha wachezaji wafunge magoal matatu hapo ndo pressure inapoanza baada ya kufika dakika ya 30 hujafunga goal mwisho wa siku unapanik unafungwa wewe
Tumeadhibiwa na makosa madogo madogoNiliongea hili, kuruhu goal la pili zimeharibu sana ila wapinzani wetu walikuwa bora sana ugenini, ingawa sioni matumaini ya sec leg ila utakuwa mchezo bora sana kuliko Cafc final.
NotedEti toa droo uone.
Sio droo Tu hata Kwa kufungwa tunaweza fungwa na tukaenda kupindua Kwa muarabu.
Yanga is on fireee mkuu
Screenshot the text and I will remind you later.Noted
Na mkafungwaaaa kweliiiiiiiiFainal haiitaji magoal matatu, ukiwalazimisha wachezaji wafunge magoal matatu hapo ndo pressure inapoanza baada ya kufika dakika ya 30 hujafunga goal mwisho wa siku unapanik unafungwa wewe
Watoe droo kwa mpira gani?? WamebondwaaaaaaToa droo uone [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti toa droo uone.
Sio droo Tu hata Kwa kufungwa tunaweza fungwa na tukaenda kupindua Kwa muarabu.
Yanga is on fireee mkuu
Tayariiiii wamefungwaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2] jilogeni mfungwe sasa
Wamewakandaaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa mwenyewe ndo uyo no 8 hapo .Tanzania prison wa bongoView attachment 2633606
Marinda wamewatoaa nyieee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Semeni mapema USM inashika nafasi ya ngapi kwao ili tukiwatoa marinda msianze kukatika viuno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna cha mtihani mkubwa kwa Yanga, zaidi ya kupambana kuchukua kombe. Kwa sasa Yanga ni timu bora. Hivyo inaweza kuifunga timu yoyote ile Barani Afrika.