cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kipindi cha pili jana hakikuepooo mlongooo??Usisahau Yanga tuna historia ya kushinda kipindi cha pili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi cha pili jana hakikuepooo mlongooo??Usisahau Yanga tuna historia ya kushinda kipindi cha pili
Mmekandwaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiukweli kwa reference ya Mamelody Sundowns vs Widad Casablanca ni somo tosha kuwa hatua hii hakuna mnyonge ila kikubwa ni matokeo tu.
Yanga wanastahili pongezi ila wasijiamini sana kupita kiasi sababu haitakuwa na maana yoyote ikiwa itafungwa kisha ikaongoza kwa shorts on target, ball possession na conners.
Udhaifu wa Yanga ni kukosa kosa nafasi nyingi za wazi zinazoweza kuamua matokeo mapema sana, naiombea Yanga ijitahidi kwa hili maana Maadui wanaweza wasiruhusu makosa mara 2, 2, yani wakipata nafasi tu watumie papo hapo.
Mungu ibariki Young Africans, Mungu ibariki Tanzania.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ongezaaaa sautiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha uoga, acha mashaka, acha wasiwasi.
Yanga kwa mkapa tukipata moja au ata droo, kule ugenini tunamchapa mtu vizuri tu.
Hii Yanga ni ya kumpasua mtu nje ndani.
Huu mda mnge jikita kujiandaa kuwa kabiri polisi Tanzania .Wamewakandaaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumeadhibiwa na makosa madogo madogo
1) pitch haikuwa nzuri na ilipaswa kucheza mpira unaoendana na hali ya uwanja.
2) Ugonjwa wa wacheza kushindwa kuwa makini katika mipira ya set pieces limejirudia tena leo. Katka msimu huu magoli aliyoruhusu Yanga mengi ni mipira ya set pieces (mipira ya cross)
3) ukiachana na majukumu ya kukaba, Aucho alikuwa ni mtu anayefanya transition kwa usahihi sana kwa timu. Hivyo lake pia lilionekana.
4) wachezaji hasa mabeki leo ni kama wahakuwa mchezoni maana wamekuwa waliozubaa zubaa kiasi. Sijui labda hawakua sawa kisaikolojia.
Mwisho ni kwamba mechi imeisha kipindi cha kwanza kwa Yanga kupoteza hivyo tusubiri kipondi cha pili nini kitatokea.
Endelea kulazimisha nyeusi kuwa nyeupe na bado Kanjibai anadai ataendelea kuwawekea pesa hewa hadi mtapoacha kumeza dawa za Mirembe ninyi Makolokolo.Mmekandwaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]Hakuna cha mtihani mkubwa kwa Yanga, zaidi ya kupambana kuchukua kombe. Kwa sasa Yanga ni timu bora. Hivyo inaweza kuifunga timu yoyote ile Barani Afrika.
Mlongo, mechi ya jana yote ni kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili ni mechi ijayoKipindi cha pili jana hakikuepooo mlongooo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmelowaaaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu mda mnge jikita kujiandaa kuwa kabiri polisi Tanzania .
Usinambieeeee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlongo, mechi ya jana yote ni kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili ni mechi ijayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Endelea kulazimisha nyeusi kuwa nyeupe na bado Kanjibai anadai ataendelea kuwawekea pesa hewa hadi mtapoacha kumeza dawa za Mirembe ninyi Makolokolo.
Chezea miaka miwili bila kombe lolote [emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 wameisha kule wakikoswa sana 3Tayariiiii wamefungwaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wameisha kule wakikoswa sana 3