Kuingia fainali kwa timu ya Yanga na USM Alger ni Mtihani mkubwa sana

Mmekandwaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha uoga, acha mashaka, acha wasiwasi.

Yanga kwa mkapa tukipata moja au ata droo, kule ugenini tunamchapa mtu vizuri tu.

Hii Yanga ni ya kumpasua mtu nje ndani.
Ongezaaaa sautiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan uto mshukuru pitch ilikuwa vle,hakika mngekoga za kutosha
 
Mmekandwaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kulazimisha nyeusi kuwa nyeupe na bado Kanjibai anadai ataendelea kuwawekea pesa hewa hadi mtapoacha kumeza dawa za Mirembe ninyi Makolokolo.


Chezea miaka miwili bila kombe lolote [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi cha pili jana hakikuepooo mlongooo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mlongo, mechi ya jana yote ni kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili ni mechi ijayo
 
Ile ahadi pia kwa wachezaji ilichangia kufanya vibaya
 
Endelea kulazimisha nyeusi kuwa nyeupe na bado Kanjibai anadai ataendelea kuwawekea pesa hewa hadi mtapoacha kumeza dawa za Mirembe ninyi Makolokolo.


Chezea miaka miwili bila kombe lolote [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmelowaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…