Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii ni kwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii ni kwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii nikwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Afrika ni bara linaloongoza kwa kesi nyingi zinazosababishwa na kuvunjwa kwa sheria ndio maana Waafrika wanaohamia mataifa makubwa kama Ulaya, China, Japan, Germany huwa hawatamani tena kuishi Afrika kwasababu kule Sheria na haki zinafuatwa na kuthaminiwa jambo ambalo linaweka urahisi wa maisha tofauti na Afrika

Afrika ni bara ambalo mtu anapodai haki zake anaonekana mbaya na mwisho kudhulumiwa moja kwa moja pamoja na kudhurika kwa kubambikiziwa kesi sa uchochezi

Serikali za Afrika zinatakiwa kutilia mkazo Sheria na Haki kinyume na hapo watu wake wataishi kwa kuishtakiana mpaka mwisho wa maisha yao
 
Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii nikwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Afrika ni bara linaloongoza kwa kesi nyingi zinazosababishwa na kuvunjwa kwa sheria ndio maana Waafrika wanaohamia mataifa makubwa kama Ulaya, China, Japan, Germany huwa hawatamani tena kuishi Afrika kwasababu kule Sheria na haki zinafuatwa na kuthaminiwa jambo ambalo linaweka urahisi wa maisha tofauti na Afrika

Afrika ni bara ambalo mtu anapodai haki zake anaonekana mbaya na mwisho kudhulumiwa moja kwa moja pamoja na kudhurika kwa kubambikiziwa kesi sa uchochezi

Serikali za Afrika zinatakiwa kutilia mkazo Sheria na Haki kinyume na hapo watu wake wataishi kwa kuishtakiana mpaka mwisho wa maisha yao
upo sawa kabisa
 
Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii nikwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Afrika ni bara linaloongoza kwa kesi nyingi zinazosababishwa na kuvunjwa kwa sheria ndio maana Waafrika wanaohamia mataifa makubwa kama Ulaya, China, Japan, Germany huwa hawatamani tena kuishi Afrika kwasababu kule Sheria na haki zinafuatwa na kuthaminiwa jambo ambalo linaweka urahisi wa maisha tofauti na Afrika

Afrika ni bara ambalo mtu anapodai haki zake anaonekana mbaya na mwisho kudhulumiwa moja kwa moja pamoja na kudhurika kwa kubambikiziwa kesi sa uchochezi

Serikali za Afrika zinatakiwa kutilia mkazo Sheria na Haki kinyume na hapo watu wake wataishi kwa kuishtakiana mpaka mwisho wa maisha yao
Ukiwa mkweli Sana, mtu uliyenyooka ktk mambo yako, mpinga wizi, rushwa, ufisadi, au mpinga dhuluma na kutetea haki basi tambua ya kwamba kwako Afrika siyo mahali salama pa kuishi
 
Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii nikwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Afrika ni bara linaloongoza kwa kesi nyingi zinazosababishwa na kuvunjwa kwa sheria ndio maana Waafrika wanaohamia mataifa makubwa kama Ulaya, China, Japan, Germany huwa hawatamani tena kuishi Afrika kwasababu kule Sheria na haki zinafuatwa na kuthaminiwa jambo ambalo linaweka urahisi wa maisha tofauti na Afrika

Afrika ni bara ambalo mtu anapodai haki zake anaonekana mbaya na mwisho kudhulumiwa moja kwa moja pamoja na kudhurika kwa kubambikiziwa kesi sa uchochezi

Serikali za Afrika zinatakiwa kutilia mkazo Sheria na Haki kinyume na hapo watu wake wataishi kwa kuishtakiana mpaka mwisho wa maisha yao
Na bado unaweza dhulumiwa haki yako kwa kupitia hizo hizo sheria zao wakitaka!!
 
Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii nikwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Afrika ni bara linaloongoza kwa kesi nyingi zinazosababishwa na kuvunjwa kwa sheria ndio maana Waafrika wanaohamia mataifa makubwa kama Ulaya, China, Japan, Germany huwa hawatamani tena kuishi Afrika kwasababu kule Sheria na haki zinafuatwa na kuthaminiwa jambo ambalo linaweka urahisi wa maisha tofauti na Afrika

Afrika ni bara ambalo mtu anapodai haki zake anaonekana mbaya na mwisho kudhulumiwa moja kwa moja pamoja na kudhurika kwa kubambikiziwa kesi sa uchochezi

Serikali za Afrika zinatakiwa kutilia mkazo Sheria na Haki kinyume na hapo watu wake wataishi kwa kuishtakiana mpaka mwisho wa maisha yao
A
Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii nikwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Afrika ni bara linaloongoza kwa kesi nyingi zinazosababishwa na kuvunjwa kwa sheria ndio maana Waafrika wanaohamia mataifa makubwa kama Ulaya, China, Japan, Germany huwa hawatamani tena kuishi Afrika kwasababu kule Sheria na haki zinafuatwa na kuthaminiwa jambo ambalo linaweka urahisi wa maisha tofauti na Afrika

Afrika ni bara ambalo mtu anapodai haki zake anaonekana mbaya na mwisho kudhulumiwa moja kwa moja pamoja na kudhurika kwa kubambikiziwa kesi sa uchochezi

Serikali za Afrika zinatakiwa kutilia mkazo Sheria na Haki kinyume na hapo watu wake wataishi kwa kuishtakiana mpaka mwisho wa maisha yao
Afrika kwa ujumla tuna kitu nakiita kama laana bado tupo gizan mifano ipo mingi maofiain ktk huduma za jamiii na hatujawa tayar kubadilika bado
 
Back
Top Bottom