Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii ni kwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii ni kwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Uzuri wa bara la Afrika kila mmoja anazijua haki zake na za wenzake, lakini ukimpa nafasi anafanya maovu kuliko aliyemtangulia.

Waafrika wanalalamika hata kwa mambo yaliyo chini uwezo wao.

Ndiyo maana wafrika wengi wamejaa magerezani China, India, Pakstani Italia, Sweden, Norway na kwingineko.
Kwakuwa tumezoea kuishi maisha ya kionevu.
Waafrika wanaosemwa hapa ndiyo sisi.

Tubadilike.
Sisi wenyewe tukibadilika na sehemu kubwa ya jamii itabadilika
 
Mshahara, gari na nyumba nikupe mimi halafu nishindwe mahakamani. Hizi ndiyo sheria zetu.

Mtu anakutwa na kesi ya kujibu kisha DPP anasema hataki kuendelea na kesi.
 
Watoto wapumbavu,wazee wapumbavu,vijana wapumbavu,wanawake wapumbavu,wqnaume wapumbavu,viongozi wapumbavu,walimu wapumbavu,Askari wapumbavu,itoshe tu kusema jamii nzima pumbavu kila mmoja anajitahidi kuwa mpumbavu kadri awezavyo
Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele...🔨
 
Huu uzi umekaa kistyle sana na umefikiri vizuri sana ! Waafrica ni watu wa majungu , kunun'gunika kuoneana vivu , chuki ,hasira hofu , fikra potofu na wanafiki mbele za mungu, inashasgaza kuona manabii na mitume imejaa africa siku za hivi karibuni na bado eanaongezeka wengine kibao! Sayansi tekinolojia havina nafasi
 
Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii nikwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Afrika ni bara linaloongoza kwa kesi nyingi zinazosababishwa na kuvunjwa kwa sheria ndio maana Waafrika wanaohamia mataifa makubwa kama Ulaya, China, Japan, Germany huwa hawatamani tena kuishi Afrika kwasababu kule Sheria na haki zinafuatwa na kuthaminiwa jambo ambalo linaweka urahisi wa maisha tofauti na Afrika

Afrika ni bara ambalo mtu anapodai haki zake anaonekana mbaya na mwisho kudhulumiwa moja kwa moja pamoja na kudhurika kwa kubambikiziwa kesi sa uchochezi

Serikali za Afrika zinatakiwa kutilia mkazo Sheria na Haki kinyume na hapo watu wake wataishi kwa kuishtakiana mpaka mwisho wa maisha yao
Kila mahali dunian maisha Vita bwashee. Hayo mabara mengine wameendelea ndio maana huoni huo msuguano ila hiyo vita ipo katika kiwango chao. Hakuna sehem nzur ya kuish kama Africa mkuu. Kikubwa tafuta hela maana kwa Africa hela ndio sheria. Africa unaweza kupindisha unavyoweza na ukapiga hela kwa wenzetu hupindishi. Kila kitu kimenyooka. Hao ambao hawarud ni uamuz sio kwamba ni kuzur kiivyo maana hata Africa kuna wazungu au wachina wanakuja hawarud kwao. Ni uamuz wa mtu kuendana na jins anavyotafsiri fursa maeneo hayo.
 
Kila mahali dunian maisha Vita bwashee. Hayo mabara mengine wameendelea ndio maana huoni huo msuguano ila hiyo vita ipo katika kiwango chao. Hakuna sehem nzur ya kuish kama Africa mkuu. Kikubwa tafuta hela maana kwa Africa hela ndio sheria. Africa unaweza kupindisha unavyoweza na ukapiga hela kwa wenzetu hupindishi. Kila kitu kimenyooka. Hao ambao hawarud ni uamuz sio kwamba ni kuzur kiivyo maana hata Africa kuna wazungu au wachina wanakuja hawarud kwao. Ni uamuz wa mtu kuendana na jins anavyotafsiri fursa maeneo hayo.
Wanaomiliki fedha ni wachache wengi wananyanyaswa mkuu kilio ni kikubwa sana
 
Wanaomiliki fedha ni wachache wengi wananyanyaswa mkuu kilio ni kikubwa sana
Hata ulaya wanaomiliki hela ni wachache sema western people sio materialistic ila wanaish uhalisia. Ila hakuna life liko hovyo kama lao. Ndio maana wengi wanajaa viwanja vya mpira wako very lonely.
 
Hata ulaya wanaomiliki hela ni wachache sema western people sio materialistic ila wanaish uhalisia. Ila hakuna life liko hovyo kama lao. Ndio maana wengi wanajaa viwanja vya mpira wako very lonely.
Noma sana
 
Kuishi Afrika ni sawa na kuishi vitani, usipokuwa mkali utaonewa, hii nikwasababu watu wake hawatii Sheria wala kuheshimu haki

Afrika ni bara linaloongoza kwa kesi nyingi zinazosababishwa na kuvunjwa kwa sheria ndio maana Waafrika wanaohamia mataifa makubwa kama Ulaya, China, Japan, Germany huwa hawatamani tena kuishi Afrika kwasababu kule Sheria na haki zinafuatwa na kuthaminiwa jambo ambalo linaweka urahisi wa maisha tofauti na Afrika

Afrika ni bara ambalo mtu anapodai haki zake anaonekana mbaya na mwisho kudhulumiwa moja kwa moja pamoja na kudhurika kwa kubambikiziwa kesi sa uchochezi

Serikali za Afrika zinatakiwa kutilia mkazo Sheria na Haki kinyume na hapo watu wake wataishi kwa kuishtakiana mpaka mwisho wa maisha yao
Swali fikirishi je viongozi waliopewa dhamana wakiahirisha kufikiri kwa nafsi utafanyaje na Ndiyo viongozi wetu hapa, (human herding)
 
Viongozi wanahitaji kunolewa vizuri ufanisi wao hauridhishi
Unyumbu ni tabia mbaya sana kwenye jamili zetu yaani wale tunaowajua kwamba ni vichwa na kuwapa dhamana ya kutuongoza huahirisha kufikiri kwa nafsi kwa kujipendekeza, kutumikia kundi Fulani na uoga kwa viongozi wao
 
Unyumbu ni tabia mbaya sana kwenye jamili zetu yaani wale tunaowajua kwamba ni vichwa na kuwapa dhamana ya kutuongoza huahirisha kufikiri kwa nafsi kwa kujipendekeza, kutumikia kundi Fulani na uoga kwa viongozi wao
Watu wananyanyasika sana hasa wasiokuwa na uwezo wa fedha
 
Back
Top Bottom