Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kusema hivyo tu tayari unaamni Dar ndio Kila kitu😅😅Me hata sipapend nataman kuhama huu mkoan ila naogopa huko nitakapohamia naanzia wap
Hapa unamaanisha wewe unaishi wapi, mkoani au Dar?Nivigumu kukuelewesha ila ukivikosa hivyo vitu hapo juu ukiwa dar utateseka sana kuliko mtu ambae yuko mkoani. Au siku ukija kuishi huko dar utakuja kuona utofauti na huko mkoani
Nenda Lindi Kuna Fursa ya gesiKwa sisi ambao tumezaliw jijin na kukulia apo popote tunaish ilimrad lengo la kpato lifikiwe🕊️
Sio hata mzoefu 😅😅😅😄😄😄😄 Mzoefu
apana usikatae bwana😁😁😁Sio hata mzoefu 😅😅😅
Kweli tena mimi napenda kukausha tu 🤗apana usikatae bwana😁😁😁
hujambo kwanza😄Kweli tena mimi napenda kukausha tu 🤗
Sijambohujambo kwanza😄
Haya kalime mama, uzalishe japo nawe ni shambashambani,, yaani production
kwa tafitiiii ipiii iyo uliyoifanya ukafikia hitimisho kwamb ndito ya kila kijana mtanzania ni kuish dar???? 2🤔🤔🤔Dar ni Jiji la kwanza kwa maendeleo Tanzania na yamkini Afrika Mashariki.
Dar imejaa Fursa mbalimbali za kujikwamua Kiuchumi kwa kijana mtafutaji na mpambanaji hasa ambae ana lengo la kutoboa maishani. Lakini kijana huyu awe tayari kufanya kazi ya namna yoyote Mradi mkono uende kinywani.
Dar imejaa starehe na anasa za Kila namna ambazo asilimia kubwa sana zinawatoa kwenye reli vijana waliokuja kwa ajili ya kupambana, sababu damu inachemka hivyo starehe kwake inakua muhimu Sana kwa muda huo, changamoto vijana wengi wanashindwa kufikia malengo kwa kushindwa kubalance kati ya mapato na matumizi.
Dar ni sehemu hatari Sana kwa kijana ambae amekuja kiupambanaji lakini akawa mvivu wa mwili na akili akataka Kutumia short cut ili atoboe. Huyu ataangukia kwenye mikono ya ushoga, kubebeshwa madawa au kua jambazi/kibaka au utapeli. Maana ukubwa wa starehe uliopo utampeleka resi Apate pesa nyingi kwa haraka ili kumudu matumizi.
Dar ni sehemu sahihi sana kielimu kwa mtu aliyekuja kusoma, lakini kwa wanafunzi wa elimu ya juu ni sehemu hatarishi pia hasa Kwa wale ambao hawakua na malezi sahihi toka kwao. Mtoto anakuja kusoma anarudi na ukimwi. Utashangaa mtoto wa first year ana iPhone 15 pro max ambayo hata mzazi wake Hana uwezo wa kumiliki. So kaipataje, KATOA MZIGO kwa wadau.
Dar ni njiapanda ya ndoto za vijana wengi wanaotaka kwenda kuishi ughaibuni. Hapa nipo michongo yote na connection huanzia. Ukiwa hapa utajua Nini maana ya green card na unaipataje, utajua balozi zote zilipo na Fursa zao.
Dar ndio sehemu ambayo mtu anakaa anatunga kamradi tu kwa hovyo hovyo na kanaitika anapiga hela. Yamkini aliyeanzisha marathon hakujua kama Utakua mchongo Mkubwa wa watu kupiga hela either binafsi au kupitia mashirika...
HIYO NDIO DAR, ONGEZEA YA KWAKO..
KARIBUNI SANA DAR ES SALAAM ILA MUWE NA PASSPORT (kidding)
m tayari nishazalishwa ad shamba limeisha rutubaHaya kalime mama, uzalishe japo nawe ni shamba
Niaminishem tayari nishazalishwa ad shamba limeisha rutuba