Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Ngoja nikupe location......Niaminishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikupe location......Niaminishe
NaisubiriNgoja nikupe location......
Hujaona tuNaisubiri
MbaaadoHujaona tu
angalia vizuri aseeee kwamba nimekoseaMbaaado
Unaweza kurogwa kisa tu unakula mara tatu Kwa sikuNimezaliwa dar nimesoma dar mpk chuo kikuu npo dar nimehtimu nikapata kaz dar leo npo mwanza nafanya kaz nmepata mafanikio kmaisha makubwa kuliko nlivyokuwa dar hakuna wa kunishawish kurud dsm ni jtu pori tu ndo linajvunia dar bt malegendary wa huko tunapaona pa kawaida sn maana ninauwezo wa kuja nikafanya yng na nkarud zng mwanza hakuna jipya. Labda uniambie dsm upatkanaji wa vitu ni uhakika vpo kuliko mikoa yote tz. Ajabu dsm kuna watu wanaish maisha magumu sn wanazdiwa mpk na watu wa vijijini kuna watu wapo dsm milo 2 tu tizi sa kama msosi tu mtu unampa taabu huko dsm anafanya nn.
Unanipangaangalia vizuri aseeee kwamba nimekosea
Usijumuishe kila mt
Ukitoka Buhongwa nenda Nyashishi😂😂Nitkoke buhongwa mwanza niende wapi tena?
kabisa niache sato wenye jicho jekundu nduuu niende nikale kaa, pweza na na dagaa kamba wenye mfanano na funza wa chooni?
TENGUA KAULI
Arusha hii inayolala saa nne ndo kusema ni mji wa starehe?
Baa za Tabata tu zinaweza ikalisha Arusha yote na vitongoji vyake
pole bwan nmekosea,, ujue nmetuma kwa full american kumbe wew n half🙆🏾🙆🏾Unanipanga
Ndio Maana Nawashauri Watu Kama Wewe Umuhimu Wa Kutafuta Hela Na Kua Na Hela.... Katu Hutapitia Dirishani
Tatizo unageneralize mambo hapo umesema ni ndoto ya kila kijana nazungumia hao vijana ...Ndio Maana Nawashauri Watu Kama Wewe Umuhimu Wa Kutafuta Hela Na Kua Na Hela.... Katu Hutapitia Dirishani
Mara100%Ukitoka Buhongwa nenda Nyashishi😂😂
😂 kumbe kuna full americanpole bwan nmekosea,, ujue nmetuma kwa full american kumbe wew n half🙆🏾🙆🏾
ndio na avatar kama yako🤣😂 kumbe kuna full american
Epuka matapeli half americano hana full yake.ndio na avatar kama yako🤣