Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
age go mim sifai ata kwa matumiz ya nyumbaniUkweli ni upi sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
age go mim sifai ata kwa matumiz ya nyumbaniUkweli ni upi sasa.
Arusha hii inayolala saa nne ndo kusema ni mji wa starehe?1. Nairobi ndo mji ulioendelea Africa mashariki
2. Arusha ndo jiji la starehe Tanzania
3. Kama una hela unaweza kuishi popote, dar wanaenda wasio na hela kutafuta ramani
Eeh unafaa kwa matumizi yapiage go mim sifai ata kwa matumiz ya nyumbani
Ni mawazo yako tu.Dar ni Jiji la kwanza kwa maendeleo Tanzania na yamkini Afrika Mashariki.
Dar imejaa Fursa mbalimbali za kujikwamua Kiuchumi kwa kijana mtafutaji na mpambanaji hasa ambae ana lengo la kutoboa maishani. Lakini kijana huyu awe tayari kufanya kazi ya namna yoyote Mradi mkono uende kinywani.
Dar imejaa starehe na anasa za Kila namna ambazo asilimia kubwa sana zinawatoa kwenye reli vijana waliokuja kwa ajili ya kupambana, sababu damu inachemka hivyo starehe kwake inakua muhimu Sana kwa muda huo, changamoto vijana wengi wanashindwa kufikia malengo kwa kushindwa kubalance kati ya mapato na matumizi.
Dar ni sehemu hatari Sana kwa kijana ambae amekuja kiupambanaji lakini akawa mvivu wa mwili na akili akataka Kutumia short cut ili atoboe. Huyu ataangukia kwenye mikono ya ushoga, kubebeshwa madawa au kua jambazi/kibaka au utapeli. Maana ukubwa wa starehe uliopo utampeleka resi Apate pesa nyingi kwa haraka ili kumudu matumizi.
Dar ni sehemu sahihi sana kielimu kwa mtu aliyekuja kusoma, lakini kwa wanafunzi wa elimu ya juu ni sehemu hatarishi pia hasa Kwa wale ambao hawakua na malezi sahihi toka kwao. Mtoto anakuja kusoma anarudi na ukimwi. Utashangaa mtoto wa first year ana iPhone 15 pro max ambayo hata mzazi wake Hana uwezo wa kumiliki. So kaipataje, KATOA MZIGO kwa wadau.
Dar ni njiapanda ya ndoto za vijana wengi wanaotaka kwenda kuishi ughaibuni. Hapa nipo michongo yote na connection huanzia. Ukiwa hapa utajua Nini maana ya green card na unaipataje, utajua balozi zote zilipo na Fursa zao.
Dar ndio sehemu ambayo mtu anakaa anatunga kamradi tu kwa hovyo hovyo na kanaitika anapiga hela. Yamkini aliyeanzisha marathon hakujua kama Utakua mchongo Mkubwa wa watu kupiga hela either binafsi au kupitia mashirika...
HIYO NDIO DAR, ONGEZEA YA KWAKO..
KARIBUNI SANA DAR ES SALAAM ILA MUWE NA PASSPORT (kidding)
Waambie hao wabishi wahedi 😂😂😂... Dar ni Dar tu, ukiangalia kweli wabunge wao wa huko Mwakafyale sijui Mwamalili, mpaka Longido huko wote wanaishi Dar.... Wanakuja huko kipindi Cha kampeni tu watoe vipesa na viahidi warudi zao mjini kula maisha...😂😂. Nchi ngumu Sana hiinot only fly overs look even the members of parliament they dont want to stay in their regional the want to stay in dsm why..?
Aseee hii ni kweli.... Sema sio Dar tu. Maisha yapo hivyo...!!MIMI::Upo wapi skuhzi met .... .
YEYE Dar es slam, wewe wapi met
MIMI,:nipo bado Kilimanjaro
YEYE:ujege mjini na wewe huku hela ndio zipo
MIMI:nitakuja(ga) tu..nitakuja ga nitakuja ga ..khokhokho
Baada ya week tatu
YEYE:met nina shida imenipata ghafla
MIMI:shida gani tena?
YEYE🙁Kwa kusikitika), yaani kuna mishe nlkuwa napiga basi kuna hasara imeingia kwenye kampuni afu ni kipindi natakiwa kulipa kodi , naomba nisaidie laki 2, baada ya week nairejesha plz.
MIMI:,oh (kwa majonzi),pole sana nkutumie kwa namna hiii?
YEYE:Ndio rafiki wangu wa dhati🤪🤪🤪
MIMI:umeiona eh?
YEYE:Ndio asante ubarikiwe
Two weeks later .....MIMI:mambo best ile issue
YEYE:Sorry asee (kwa majonzi)bibi mzaa babu wa babu alifariki nkatuma pesa nyumbani hapo
MIMI:Ni wapi huko jamani nkamzke,
YEYE🙁huku akidanganya kwa kung'ata meno) walishazika , ..
MIMI:ile hela vipi sasa nitegemee lini?
YEYE...(nipe week2)
week23 miezi inapita mitatu,4,5
MIMI:kimya
YEYE🙁baada ya miezi sita,) ujumbe mrefu sana,,, Hope mambow?uko poa mpendwa? Naomba unisamehe sana najua nlkukwaza muda wote huu nknk ile hela ntakutumia Dec..
MIMI;Kimya kimya kimya
YEYE:...Umeona huo muamala nmekutumia laki moja nyingne ntakutumia siku nyingine sunajua msimu wa sikuku huuumeingia..nikija Dec ntakutafuta
MIMI:Kimya kimya kimya.............(itaendelea)
wanadar muwege real asee ...
😂😂💯 they know it but they act like they dontWaambie hao wabishi wahedi 😂😂😂... Dar ni Dar tu, ukiangalia kweli wabunge wao wa huko Mwakafyale sijui Mwamalili, mpaka Longido huko wote wanaishi Dar.... Wanakuja huko kipindi Cha kampeni tu watoe vipesa na viahidi warudi zao mjini kula maisha...😂😂. Nchi ngumu Sana hii
shambani,, yaani productionEeh unafaa kwa matumizi yapi
Mji gani hapa tz ambao ukiwa kinyume na hvyo ulivyoorodhesha utaishi kwa raha.?Dar es salaam ni nzuri kwa mtu mwenye kazi nzuri yenye mshahara mnono au mtu mwenye biashara kubwa zinazojiendesha zenyewe ,mtu mwenye nyumba nzuri ya kukaa na usafiri binafsi. Njee ya hapo ni mji wenye mateso makubwa.
😅😅😅 wala sishangai huwa mimi ni mwenda pole.Hahahaha 😂
Nivigumu kukuelewesha ila ukivikosa hivyo vitu hapo juu ukiwa dar utateseka sana kuliko mtu ambae yuko mkoani. Au siku ukija kuishi huko dar utakuja kuona utofauti na huko mkoaniMji gani hapa tz ambao ukiwa kinyume na hvyo ulivyoorodhesha utaishi kwa raha.?
😄😄😄😄 Mzoefu😅😅😅 wala sishangai huwa mimi ni mwenda pole.