Kuishi Dar ni ndoto ya Kila Mtanzania Kijana

Kwa sisi ambao tumezaliw jijin na kukulia apo popote tunaish ilimrad lengo la kpato lifikiwe🕊️
 
Nivigumu kukuelewesha ila ukivikosa hivyo vitu hapo juu ukiwa dar utateseka sana kuliko mtu ambae yuko mkoani. Au siku ukija kuishi huko dar utakuja kuona utofauti na huko mkoani
Hapa unamaanisha wewe unaishi wapi, mkoani au Dar?
 
ndoto ya Kila kijana ni kuwa na maisha safi kuwa na biashara safi/ Kazi yenye malipo mazuri ...kula vzr kulala vzr acc.kusoma vzr ...kuwa na afya njema
 
Life la dar mimi ndio sijalielewa kabisa especially joto kali, foleni barabarani, kila demu anajiuza(direct or indirect). Napambana tu niweke magoli yangu kwa sababu mzunguko wa hela dar ni mkunwa nikifanikiwa kuwa na mishe zinazojiendesha zenyewe naenda zangu kuweka maskani mkoani.
 
kwa tafitiiii ipiii iyo uliyoifanya ukafikia hitimisho kwamb ndito ya kila kijana mtanzania ni kuish dar???? 2🤔🤔🤔
 
Unavyo ipamba dar utasema ni sehemu moja ya maana sana ..fika Sasa uone daah! Unaeza tamani kurudi ulipotoka muda huo huo ..uswahili mwingi sana humu dar, hakuna exposure yeyote yani hakuna mwingiliano mkubwa baina ya wenyeji na wageni hasa wa kutoka nje, kariakoo kama bwawa la mazi yani kila Kona ni harufu tu mbaya mbaya za vinyesi na mikojo vyoo vinatapishwa ovyo tu, joto hakuna namna, m'bu kama wote 😂😂😂😂
Huu mji wa dasalama ukija kizembe unaeza pakiwa mkongo ukiendekeza tamaa ..vijana wengi Wana left sana kwa kukimbilia material mazuri mazuri ..mademu nao wanaliwa kiasara asara yani balaa tupu ..kwa ufupi ni vurugu tu sema ndo hivyo pesa na connections nyingi unaeza pata ukiwa hapa..

Utapeli, ukuwadi, masikini wengi wanapatikana dar.

Ukitaka kula starehe vizuri aise nenda Chugastan, the City of God 😀😀
Hakuna sehemu tamu na yenyewe hadhi ya kula Bata kama Chuga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…