Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Kheee ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika chalii ya r akisema.1. Nairobi ndo mji ulioendelea Africa mashariki
2. Arusha ndo jiji la starehe Tanzania
3. Kama una hela unaweza kuishi popote, dar wanaenda wasio na hela kutafuta ramani
😅😅😅Naona hao mambwiga wamevamia uzi.
Ok nitakuwa fair.Alisikika chalii ya r akisema.
Nipo Dar tangu ina watu chini ya 1m, leo kuna watu 6m plus hawa wote unafikiri wamezaliwa Dar? Hawa wametoka mikoani na wameamua kubaki baada ya kuona maisha bora kuliko walipotoka. ingekuwa kinyume wangekimbia wote kama wanavyokimbia mikoani kuijaza Dar.😅😅😅
Wanakuambia Dar ni mji wa mateso..
Sasa sijui ni mji gani usiokuwa na mateso... na pengine mateso ya Dar yanaweza kuwa ni afadhali kuliko huko waliko.
Hio ni thread ingine mkuu. Hii sio Dar vs ArOk nitakuwa fair.
Kwa nightlife(clubs, pubs, casinos) dar inaongoza
Ila mahoteli, day trips, retreats ni Arusha na zanzibar
siwezi kujaUnakuja kwa nauli yako sio.
Lindi ni kama tumekuja motoni full adhabuUende dar afu Lindi utuache peke yetu weeee suubutuuuuu,,, tubaki wote hapa hapa lindi😀😀😀😀
📌📌📌📌📌📌📌📌Nipo Dar tangu ina watu chini ya 1m, leo kuna watu 6m plus hawa wote unafikiri wamezaliwa Dar? Hawa wametoka mikoani na wameamua kubaki baada ya kuona maisha bora kuliko walipotoka. ingekuwa kinyume wangekimbia wote kama wanavyokimbia mikoani kuijaza Dar.
Hakuna mji Tz hii watu wanaingia na kutoka kama Dar, na wanaoingia ni wengi kuliko wanaotoka.
😂😂😂😂Lindi ni kama tumekuja motoni full adhabu
Mwalimu wa primary anaelipwa 350,000 anaishi mbeya vijijini unaweza mlinganisha na mwalimu wa primary anaishi sinza kwa huo huo mshahara wa 350kNi wapi huko kuzuri kwa mtu asiye na kazi yenye mshahara mnono, asiye na biashara kubwa inayojiendesha,asiye na nyumba nzuri na usafiri binafsi? Maanake naona kama hivi ni vigezo vya maisha mazuri popote pale duniani.
1. Nairobi ndo mji ulioendelea Africa mashariki
2. Arusha ndo jiji la starehe Tanzania
3. Kama una hela unaweza kuishi popote, dar wanaenda wasio na hela kutafuta ramani
Uwekezaji wa kitalii huko umefanya kuwe ni sehemu nzuri ya kustarehe kwa matajiriTufafanulie zaidi hiyo namba 2
1. Nairobi ndo mji ulioendelea Africa mashariki
2. Arusha ndo jiji la starehe Tanzania
3. Kama una hela unaweza kuishi popote, dar wanaenda wasio na hela kutafuta ramani
Kwa jina lako tu Mkuu inabidi nikusamehe. Japo Kuna Mdau hapo juu amekukaribisha Dar ataku'host uje uutoe huo ushamba ... Na next time usifananishe Dar na Nairobi..1. Nairobi ndo mji ulioendelea Africa mashariki
2. Arusha ndo jiji la starehe Tanzania
3. Kama una hela unaweza kuishi popote, dar wanaenda wasio na hela kutafuta ramani
Tafuta helaDar ni mateso Dar ni msoto
Tafuta hela uende kwenu taratiiiiibu...😅😅😅Dar ndio makutano ya makabila yote yaliyo beba kila aina ya uchawi,majini,mizimwi na njia panda ya kwenda kwetu motoni kwa shetani
Njoo dear tuishi huku Ibisabageni sio Dar kwenye joto na kugombania daladalasjawahi fika, sijawahi ota io ndoto, labda mimi sio kijana wa kitanzania.
nisengukwa na pesa hata JF ningekuwa offlineTafuta hela uende kwenu taratiiiiibu...😅😅😅