Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Nimeshawahi kuiona ITV uko 😂😂 hata mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshawahi kuiona ITV uko 😂😂 hata mimi
ngoj ntafte nauli nakuja 🤣Njoo dear tuishi huku Ibisabageni sio Dar kwenye joto na kugombania daladala
Nakutumiangoj ntafte nauli nakuja 🤣
Kaa dar tulia😅😅 Tafuta hela Mzee ... Punguza hasira!! Uje kuishi Dar...
Huku ulikomalizia Ndio ulikuwa ujumbe wakoDar ni Jiji la kwanza kwa maendeleo Tanzania na yamkini Afrika Mashariki.
Dar imejaa Fursa mbalimbali za kujikwamua Kiuchumi kwa kijana mtafutaji na mpambanaji hasa ambae ana lengo la kutoboa maishani. Lakini kijana huyu awe tayari kufanya kazi ya namna yoyote Mradi mkono uende kinywani.
Dar imejaa starehe na anasa za Kila namna ambazo asilimia kubwa sana zinawatoa kwenye reli vijana waliokuja kwa ajili ya kupambana, sababu damu inachemka hivyo starehe kwake inakua muhimu Sana kwa muda huo, changamoto vijana wengi wanashindwa kufikia malengo kwa kushindwa kubalance kati ya mapato na matumizi.
Dar ni sehemu hatari Sana kwa kijana ambae amekuja kiupambanaji lakini akawa mvivu wa mwili na akili akataka Kutumia short cut ili atoboe. Huyu ataangukia kwenye mikono ya ushoga, kubebeshwa madawa au kua jambazi/kibaka au utapeli. Maana ukubwa wa starehe uliopo utampeleka resi Apate pesa nyingi kwa haraka ili kumudu matumizi.
Dar ni sehemu sahihi sana kielimu kwa mtu aliyekuja kusoma, lakini kwa wanafunzi wa elimu ya juu ni sehemu hatarishi pia hasa Kwa wale ambao hawakua na malezi sahihi toka kwao. Mtoto anakuja kusoma anarudi na ukimwi. Utashangaa mtoto wa first year ana iPhone 15 pro max ambayo hata mzazi wake Hana uwezo wa kumiliki. So kaipataje, KATOA MZIGO kwa wadau.
Dar ni njiapanda ya ndoto za vijana wengi wanaotaka kwenda kuishi ughaibuni. Hapa nipo michongo yote na connection huanzia. Ukiwa hapa utajua Nini maana ya green card na unaipataje, utajua balozi zote zilipo na Fursa zao.
Dar ndio sehemu ambayo mtu anakaa anatunga kamradi tu kwa hovyo hovyo na kanaitika anapiga hela. Yamkini aliyeanzisha marathon hakujua kama Utakua mchongo Mkubwa wa watu kupiga hela either binafsi au kupitia mashirika...
HIYO NDIO DAR, ONGEZEA YA KWAKO..
KARIBUNI SANA DAR ES SALAAM ILA MUWE NA PASSPORT (kidding)
sijui tuliofika NY USA tuelezejeNi vizuri MTU yeyote afike DSM ajionee uzuri wa hili jiji
Dar ni sehemu ya fursa Kwa mwenye fursa ...tofauti Na hapo ni pagumu sana.....juzi nilitembelea kitambaa cheupe club moja ya usiku huko Tabata daressalam, kuna Dada mmoja anaitwa mashalove ,aisee anadhalilishwa Na njemba halafu yeye anasema eti anapiga hela..aisee Yale sio maishaSasa Kwa staili hiyo nani anataka kukaa Dar kama maisha ni magumu? Watu wanakimbia Jiji nyie mnasema ni ndoto ya kuishi 🤣🤣
sijui tuliofika NY USA tuelezeje
Kama hujafika dar Basi hujawai KUISHI 😊😊😊sjawahi fika, sijawahi ota io ndoto, labda mimi sio kijana wa kitanzania.
Dar ni sehemu ya fursa Kwa mwenye fursa ...tofauti Na hapo ni pagumu sana.....juzi nilitembelea kitambaa cheupe club moja ya usiku huko Tabata daressalam, kuna Dada mmoja anaitwa mashalove ,aisee anadhalilishwa Na njemba halafu yeye anasema eti anapiga hela..aisee Yale sio maisha
Wanaishi maisha ya ajabu sana hao watu wa huko ni adha tupu.Dar ni sehemu ya fursa Kwa mwenye fursa ...tofauti Na hapo ni pagumu sana.....juzi nilitembelea kitambaa cheupe club moja ya usiku huko Tabata daressalam, kuna Dada mmoja anaitwa mashalove ,aisee anadhalilishwa Na njemba halafu yeye anasema eti anapiga hela..aisee Yale sio maisha
Inategemea na narrative ya kuhusika. Si kila kijana anataka kuishi darDar ni Jiji la kwanza kwa maendeleo Tanzania na yamkini Afrika Mashariki.
Dar imejaa Fursa mbalimbali za kujikwamua Kiuchumi kwa kijana mtafutaji na mpambanaji hasa ambae ana lengo la kutoboa maishani. Lakini kijana huyu awe tayari kufanya kazi ya namna yoyote Mradi mkono uende kinywani.
Dar imejaa starehe na anasa za Kila namna ambazo asilimia kubwa sana zinawatoa kwenye reli vijana waliokuja kwa ajili ya kupambana, sababu damu inachemka hivyo starehe kwake inakua muhimu Sana kwa muda huo, changamoto vijana wengi wanashindwa kufikia malengo kwa kushindwa kubalance kati ya mapato na matumizi.
Dar ni sehemu hatari Sana kwa kijana ambae amekuja kiupambanaji lakini akawa mvivu wa mwili na akili akataka Kutumia short cut ili atoboe. Huyu ataangukia kwenye mikono ya ushoga, kubebeshwa madawa au kua jambazi/kibaka au utapeli. Maana ukubwa wa starehe uliopo utampeleka resi Apate pesa nyingi kwa haraka ili kumudu matumizi.
Dar ni sehemu sahihi sana kielimu kwa mtu aliyekuja kusoma, lakini kwa wanafunzi wa elimu ya juu ni sehemu hatarishi pia hasa Kwa wale ambao hawakua na malezi sahihi toka kwao. Mtoto anakuja kusoma anarudi na ukimwi. Utashangaa mtoto wa first year ana iPhone 15 pro max ambayo hata mzazi wake Hana uwezo wa kumiliki. So kaipataje, KATOA MZIGO kwa wadau.
Dar ni njiapanda ya ndoto za vijana wengi wanaotaka kwenda kuishi ughaibuni. Hapa nipo michongo yote na connection huanzia. Ukiwa hapa utajua Nini maana ya green card na unaipataje, utajua balozi zote zilipo na Fursa zao.
Dar ndio sehemu ambayo mtu anakaa anatunga kamradi tu kwa hovyo hovyo na kanaitika anapiga hela. Yamkini aliyeanzisha marathon hakujua kama Utakua mchongo Mkubwa wa watu kupiga hela either binafsi au kupitia mashirika...
HIYO NDIO DAR, ONGEZEA YA KWAKO..
KARIBUNI SANA DAR ES SALAAM ILA MUWE NA PASSPORT (kidding)
Kwani uko wapi mkuu, Mars?We ni boya tu sijakuuliza uliwahi kuishi wapi...huna exposure yoyote.
nitakulaNakutumia
huko sipawezi yani makazi yapo juu kama hong kong usishangae ukaishi stoo au mfano wa banda za kukuHuaujatembea bado sogea tokyo
acha iwe ila dalisalama🖐🏾Kama hujafika dar Basi hujawai KUISHI 😊😊😊
Achana naye huyo bado ana nightmare kama jamaa mwingine hivi... Mi nimezungumzia Dar wao wanaleta Miji mingine ya America, na wanaamini hatujafika😂😂... Roughly 75% of diaspora wishes to return to their original homes... If not now then after retirement.... Why they shouldn't stick to NY or where else?? 😅😅 But Some fools are here bragging themselves having exposure😅😅 Anyway let them keep holding NY'esm..Huaujatembea bado sogea tokyo
Hustler anaishi popote dunianihuko sipawezi yani makazi yapo juu kama hong kong usishangae ukaishi stoo au mfano wa banda za kuku
Ndio inavyotakiwaNimeshawahi kuiona ITV uko 😂