Kuishi Dar ni ndoto ya Kila Mtanzania Kijana

Kuishi Dar ni ndoto ya Kila Mtanzania Kijana

Dar ni Jiji la kwanza kwa maendeleo Tanzania na yamkini Afrika Mashariki.

Dar imejaa Fursa mbalimbali za kujikwamua Kiuchumi kwa kijana mtafutaji na mpambanaji hasa ambae ana lengo la kutoboa maishani. Lakini kijana huyu awe tayari kufanya kazi ya namna yoyote Mradi mkono uende kinywani.

Dar imejaa starehe na anasa za Kila namna ambazo asilimia kubwa sana zinawatoa kwenye reli vijana waliokuja kwa ajili ya kupambana, sababu damu inachemka hivyo starehe kwake inakua muhimu Sana kwa muda huo, changamoto vijana wengi wanashindwa kufikia malengo kwa kushindwa kubalance kati ya mapato na matumizi.

Dar ni sehemu hatari Sana kwa kijana ambae amekuja kiupambanaji lakini akawa mvivu wa mwili na akili akataka Kutumia short cut ili atoboe. Huyu ataangukia kwenye mikono ya ushoga, kubebeshwa madawa au kua jambazi/kibaka au utapeli. Maana ukubwa wa starehe uliopo utampeleka resi Apate pesa nyingi kwa haraka ili kumudu matumizi.

Dar ni sehemu sahihi sana kielimu kwa mtu aliyekuja kusoma, lakini kwa wanafunzi wa elimu ya juu ni sehemu hatarishi pia hasa Kwa wale ambao hawakua na malezi sahihi toka kwao. Mtoto anakuja kusoma anarudi na ukimwi. Utashangaa mtoto wa first year ana iPhone 15 pro max ambayo hata mzazi wake Hana uwezo wa kumiliki. So kaipataje, KATOA MZIGO kwa wadau.

Dar ni njiapanda ya ndoto za vijana wengi wanaotaka kwenda kuishi ughaibuni. Hapa nipo michongo yote na connection huanzia. Ukiwa hapa utajua Nini maana ya green card na unaipataje, utajua balozi zote zilipo na Fursa zao.

Dar ndio sehemu ambayo mtu anakaa anatunga kamradi tu kwa hovyo hovyo na kanaitika anapiga hela. Yamkini aliyeanzisha marathon hakujua kama Utakua mchongo Mkubwa wa watu kupiga hela either binafsi au kupitia mashirika...

HIYO NDIO DAR, ONGEZEA YA KWAKO..


KARIBUNI SANA DAR ES SALAAM ILA MUWE NA PASSPORT (kidding)
Huku ulikomalizia Ndio ulikuwa ujumbe wako
Sasa suala la passport hapo limekujaje
Una Maneno Sana wewe. Unataka kuchafua tena Hali ya hewa na ilishatulia.
 
Sasa Kwa staili hiyo nani anataka kukaa Dar kama maisha ni magumu? Watu wanakimbia Jiji nyie mnasema ni ndoto ya kuishi 🤣🤣
Dar ni sehemu ya fursa Kwa mwenye fursa ...tofauti Na hapo ni pagumu sana.....juzi nilitembelea kitambaa cheupe club moja ya usiku huko Tabata daressalam, kuna Dada mmoja anaitwa mashalove ,aisee anadhalilishwa Na njemba halafu yeye anasema eti anapiga hela..aisee Yale sio maisha
 
Dar ni sehemu ya fursa Kwa mwenye fursa ...tofauti Na hapo ni pagumu sana.....juzi nilitembelea kitambaa cheupe club moja ya usiku huko Tabata daressalam, kuna Dada mmoja anaitwa mashalove ,aisee anadhalilishwa Na njemba halafu yeye anasema eti anapiga hela..aisee Yale sio maisha


Dsm there's a lot of opportunities -ukifika sehemu yoyote don't direct ur eyes on only negative stuffs


Ukiwatazama loser utaogopa Sana watazame waliotoboa .
 
Dar ni sehemu ya fursa Kwa mwenye fursa ...tofauti Na hapo ni pagumu sana.....juzi nilitembelea kitambaa cheupe club moja ya usiku huko Tabata daressalam, kuna Dada mmoja anaitwa mashalove ,aisee anadhalilishwa Na njemba halafu yeye anasema eti anapiga hela..aisee Yale sio maisha
Wanaishi maisha ya ajabu sana hao watu wa huko ni adha tupu.
 
Dar ni Jiji la kwanza kwa maendeleo Tanzania na yamkini Afrika Mashariki.

Dar imejaa Fursa mbalimbali za kujikwamua Kiuchumi kwa kijana mtafutaji na mpambanaji hasa ambae ana lengo la kutoboa maishani. Lakini kijana huyu awe tayari kufanya kazi ya namna yoyote Mradi mkono uende kinywani.

Dar imejaa starehe na anasa za Kila namna ambazo asilimia kubwa sana zinawatoa kwenye reli vijana waliokuja kwa ajili ya kupambana, sababu damu inachemka hivyo starehe kwake inakua muhimu Sana kwa muda huo, changamoto vijana wengi wanashindwa kufikia malengo kwa kushindwa kubalance kati ya mapato na matumizi.

Dar ni sehemu hatari Sana kwa kijana ambae amekuja kiupambanaji lakini akawa mvivu wa mwili na akili akataka Kutumia short cut ili atoboe. Huyu ataangukia kwenye mikono ya ushoga, kubebeshwa madawa au kua jambazi/kibaka au utapeli. Maana ukubwa wa starehe uliopo utampeleka resi Apate pesa nyingi kwa haraka ili kumudu matumizi.

Dar ni sehemu sahihi sana kielimu kwa mtu aliyekuja kusoma, lakini kwa wanafunzi wa elimu ya juu ni sehemu hatarishi pia hasa Kwa wale ambao hawakua na malezi sahihi toka kwao. Mtoto anakuja kusoma anarudi na ukimwi. Utashangaa mtoto wa first year ana iPhone 15 pro max ambayo hata mzazi wake Hana uwezo wa kumiliki. So kaipataje, KATOA MZIGO kwa wadau.

Dar ni njiapanda ya ndoto za vijana wengi wanaotaka kwenda kuishi ughaibuni. Hapa nipo michongo yote na connection huanzia. Ukiwa hapa utajua Nini maana ya green card na unaipataje, utajua balozi zote zilipo na Fursa zao.

Dar ndio sehemu ambayo mtu anakaa anatunga kamradi tu kwa hovyo hovyo na kanaitika anapiga hela. Yamkini aliyeanzisha marathon hakujua kama Utakua mchongo Mkubwa wa watu kupiga hela either binafsi au kupitia mashirika...

HIYO NDIO DAR, ONGEZEA YA KWAKO..


KARIBUNI SANA DAR ES SALAAM ILA MUWE NA PASSPORT (kidding)
Inategemea na narrative ya kuhusika. Si kila kijana anataka kuishi dar
 
Huaujatembea bado sogea tokyo
Achana naye huyo bado ana nightmare kama jamaa mwingine hivi... Mi nimezungumzia Dar wao wanaleta Miji mingine ya America, na wanaamini hatujafika😂😂... Roughly 75% of diaspora wishes to return to their original homes... If not now then after retirement.... Why they shouldn't stick to NY or where else?? 😅😅 But Some fools are here bragging themselves having exposure😅😅 Anyway let them keep holding NY'esm..
 
Back
Top Bottom