Kuishi kwingi kuona mengi: Soma kisa nilichokiona Kawe

Mkuu wanatupiwa mapepo na hao Pastors, manabii, wachungaji, mashetani, hizi dini ni usanii tu.
 
Mimi sikuiona hiyo video kwa kwakweli....ila.mbunge Askofu Ustadhi Rashid Gwajima....sidhani Kama anafimbo sahihi ya kuongoza kondoo.
Gwaji boy ,Mbunge,Ustadhi Rashid ni miongoni wanao tumia Uaskofu kutengeneza pesa ,Mimi nashindwa mpaka leo, wahumini wake wanamwamini na kumkubali Kama Askofu wao au Kuna kitu nje ya pazia.
 
Gwaji boy ,Mbunge,Ustadhi Rashid ni miongoni wanao tumia Uaskofu kutengeneza pesa ,Mimi nashindwa mpaka leo, wahumini wake wanamwamini na kumkubali Kama Askofu wao au Kuna kitu nje ya pazia.
Imani yawengi...Inaanza kwa watu..kabla ya Huyu mawanae muabudu
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Lile kanisa la Agape pale Mbezi Africana sasa hivi hakuna hata Kondoo mmoja kazi kubwa nikuweka cd siku za Jumapili ya ibada za zamani
 
Watu wanatafuta pesa tu hapa hamna kingine.
Katika aina za EXCUSES, hii yako inaitwa Selfish Motive. Naona wewe hata ikitokea ukasaidiwa utasema, "Siyo bure; lazima jamaa atakuwa tu kapenda hii black beauty."
 
Hahahahahaha..eti Rashid gwajima...mpaka Sasa hv porn video ya Gwaji boy limenitenga na rafiki yg kipenzi,akibisha lile sio Gwaji boy....tulibishana tukashindwa kuelewana ..akanichukua kuwa mm ni balozi wa shetani..
Mlipoteza muda kujadili utopolo; kwa staili my friend pepo utakayoiona ni ile tu inayovuma kwenye tufani. Mmh hatareee
 
Tatizo lako ni mashaka mengi na kupima mambo ya rohoni kwa macho ya kimwili. Halafu umeandika: "Neno linalosomwa na mtumishi kutokea mbele ya waumini au madhabahuni lina nguvu kuliko lile linalosomwa na muumini mwingine yoyote aliyekaa sehemu yoyote ile katikati ya waumini wengine, ndani ya nyuma ya Ibada."

Sidhani kama ni kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…