"Kuishi na Corona" kunavyopotoshwa Tanzania

Mzungu ndio kagundua football lakini mfalme wa mpira ni mweusi Pele.
Mzungu kagundua basketball lakini mfalme wa basketball ni mweusi Jordan
Mwaka 2018 france kachukua worldcup akiwa na wachezaji 7 weusi kwenye first eleven.
Ufaransa 1998 kachukua worldcup akiwa na wachezaji 6 weusi .
Kuanzisha jambo haimaanishi unajua kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo mnyama tumweke kwenye(Corona) cage? Hiyo Cage wapi kama sio total lockdown.

Narudia tena wewe kama unataka kukaa ndani kaaa hujakatazwa,ila wengine wacha wasio uhakina na kipato wacha wakawatafutie watoto wao chakula alafu kuna nchi nyingi hazijafanya lockdown huko ulaya Beralus huko shughuli zinaendelea kama kawa na ligi yao inaendelea na mashabiki wana ruhusiwa kuingia.Sweden haina total lockdown maisha yanaendelea kama kawa.
 
Nimeandika kila kitu, labda kama unataka bwana k aje akupe rizi, mimi sina..!
 

Mkuu 'Dawa ya mbu.'

Niko busy sasa hivi napiga nyungu, tayari kwa chereko chereko za jumapili.

Nipe muda tafadhali.

Bye bye amigo don't even remember to write back.
 
Mkuu 'Dawa ya mbu.'

Niko busy sasa hivi napiga nyungu, tayari kwa chereko chereko za jumapili.

Nipe muda tafadhali.

Bye bye amigo don't even remember to write back.
Wee endele kujifungia na kupiga nyungu.Sisi wengine acha tukawatafutie ugali watoto wetu.
 

Pamoja na kuwa nakubaliana nawe kuwa kuanzisha jambo si fursa ya kuwa ndiyo wewe ulijue zaidi kuliko wote tena at all times, sioni relevance ya suala hili kwenye hii mada.

Kwenye mada hii, hayapo mashindano wala ubishi wa nani zaidi wala nani anajua nini zaidi ya nani.

Hapa pana mada, a plain mada kama ilivyo:



Sijaona kinachoainishwa kama tatizo kwenye mada, zaidi ya kuwa hata bandiko lako pia lina sequence of true statements ambazo hata hivyo hazihusiani na somo liliopo at hand.
 
Asante kwa uchambuzi yakinifu. Ni kweli tupu, hali ya corona USA, Spain, UK, nchi nyingine zilizoendelea ni tofauti kabisa na Tanzania. Nchi hizo zimefikia kilele (peak) ya maambukizi na wanaanza kufungua BAADHI ya secta walizofunga sio kila kitu. Sisi hatujafikia kilele cha maambukizi, hakuna takwimu sahihi na tunataka maisha yaendelee kama kawaida wakati kirusi kipo kwa wingi na kwanza ndio kinasambaa. Tutegemee hali mbaya sana baadaye. Nashangaa watu wanasifia serikali jinsi ilivyo kabili corona! Hakuna taifa lililofanya hovyo kama sisi. Ndio maana nasema tuombe Mungu tu manake vinginevyo hali itakuwa siyo.
 
Unatumiwa na mabeberu wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu haujui kuwa watu wanapukutika Tanzania? Au Kwa kuwa wanaficha kwa kisingizio kuwa vipimo vimeharibika na mapapai? Idadi ya maaambukizi Tanzania hata kenya haitufikiii hata nusu, na waliokufa hata kenya haitufikii hata nusu, angalia tu waziri wa mambo ya ndani kapoteza Ndugu Saba hiyo ni ukooo mmoja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani unafikiri hata sasa ni kipi kikubwa kilichobadilika au kufanyika ambacho husaidia kuepusha maambukizi? Maana ukiangalia shughuli nyingi bado zinaendelea na zenye kufanya mikusanyiko na huku mitaani maisha yapo kama kawaida. Kwahiyo kwa hali ilivyo hata hiyo party haitokuwa jambo la ajabu.
 
Unaweza kututajia watu saba wa waziri wa mambo ya ndani waliokufa na Corona?
 
Unaweza kututajia watu saba wa waziri wa mambo ya ndani waliokufa na Corona?
Mimi ni majirani zangu so far waliokufa naowajua ni baba ake George na mdogo wake wengine sijasikia na sijui kama ni covid
 
Mimi ni majirani zangu so far waliokufa naowajua ni baba ake George na mdogo wake wengine sijasikia na sijui kama ni covid


Manake msiba wake niliona ITV waki uripoti na ulifanyikia nyumbani kwa mzee wake na watu walikuwa wanaenda kutoa pole au ndio tuna unganisha misiba yote iliyotokea kipindi hiki cha partial lockdown wamekufa na Corona.
 
Wanakufa wapi huko?

Mbona huku niliko sijaona, na hakuna mtu ninayemfahamu kafa kwa corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…