Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!


Tatizo tunataka u star. Ya kwamba nini tunataka au nini hatumtaki yaweza kuwa hatujui:

Kusuasua kwa harakati za ukombozi nchini ni matokeo ya uongozi dhaifu

Ninakazia:

CCM haitatolewa madarakani kijinga wala na wajinga.
 
Wewe unayo?

Dk. Remmy na beetle yake archaic aliandika kwa nyuma:

"Baba yako analo?"

Kwa hakika ujumbe huo uliwakata maini sana vizaba zabina waliokuwa wazodoaji kabla ya kuuona.
Sihitaji kuwa nayo, naongea ukweli tu kwamba Lissu hafikii viwango vya maadili na heshima vya Nyerere na Mandela.

Naikumbuka hiyo volkswagen, hayati Remmy alikuwa anafuga mbwa, mara nyingi akija kuwaleta pale veterinary mtaa wa Shaban Robert jirani na nyumba yetu miaka hiyo.
 
Sihitaji kuwa nayo,

Hii inaitwa sizitaki mbichi hizi.

naongea ukweli tu kwamba Lissu hafikii viwango vya maadili na heshima vya Nyerere na Mandela.

Kwa hakika hakuna Lissu alipolinganishwa na Mandela a nobel laureate. Haijulikani hili unaliokota wapi, kulileta kivyako vyako hapa ndugu.

Naikumbuka hiyo volkswagen, hayati Remmy alikuwa anafuga mbwa, mara nyingi akija kuwaleta pale veterinary mtaa wa Shaban Robert jirani na nyumba yetu miaka hiyo.

Ni vyema kama umeikumbuka hiyo beetle. Nami nikuulize kwa mara nyingine:

Haiba ya Lissu unayo?

Kama kuwashwa washwa ni wivu, basi Sitta hakuwa na neno jema sana kwake.

Habari ndiyo hiyo ndugu.
 
Mandela, Nyerere hawakai kundi moja na Lissu. Nyerere alijenga viwanda zaidi ya 150 nchi nzima huwezi kumlinganisha na huyo mwendawazimu TAL.

Mandela aliheshimiwa kila mahali alipokwenda huwezi kumlinganisha na huyo mwanasheria mvaa miwani.
 
Mandela, Nyerere hawakai kundi moja na Lissu. Nyerere alijenga viwanda zaidi ya 150 nchi nzima huwezi kumlinganisha na huyo mwendawazimu TAL.

Mandela aliheshimiwa kila mahali alipokwenda huwezi kumlinganisha na huyo mwanasheria mvaa miwani.

Ila mzodoaji tokea kwa mfuga mbwa cha kwake cha kuonyesha hamna.

Tofauti yako na wanaoita jalalani hali wao ni boda boda kumbe itakuwa iko wapi?
 
Lissu ni namba nyingine. Lissu ameanza kupigania wananchi hata kabla hajaingia kwenye siasa. Lissu hanunuliki. Lissu amekataa fedha ya Abdul, akamfukuza nayo. Acha upumbavu!

Hii ni habari mbaya mno kwa wote wamchukiao ndani na nje ya chama.

imhotep au nasema uongo ndugu yangu?
 
Lissu ni namba nyingine. Lissu ameanza kupigania wananchi hata kabla hajaingia kwenye siasa. Lissu hanunuliki. Lissu amekataa fedha ya Abdul, akamfukuza nayo. Acha upumbavu!
Upumbavu ni haya maneno eti aliikata pesa ya Abdul, stupid story.

Hana hadhi ya kuwekwa jukwaa moja na Mandela/Nyerere.
 
Ila mzodoaji tokea kwa mfuga mbwa cha kwake cha kuonyesha hamna.

Tofauti yako na wanaoita jalalani hali wao ni boda boda kumbe itakuwa iko wapi?
Huwezi kumuweka sehemu moja Mandela na Lissu. Mandela hiyo story inaonyesha unyenyekevu wa asili kitu ambacho Lissu hana, kajawa mbwembwe na maneno ya dhihaka ya wanasheria wetu.
 
Lissu ni mnyera tu hawezi kuweka katika nafasi moja na kina Mandela, Nyerere.

..Mwalimu Nyerere hakuteswa na Waingereza kama ambavyo Tundu Lissu, na wapinzani wengine wameteswa na serikali za Ccm, na vyombo vyake.

..Tunamheshimu Mwalimu Nyerere, lakini ukweli lazima usemwe kwamba Wakoloni ambao aliwapinga, walikuwa na utu, kuliko Ccm ambayo ametuachia, na tunapambana nayo.
 
Huwezi kumuweka sehemu moja Mandela na Lissu. Mandela hiyo story inaonyesha unyenyekevu wa asili kitu ambacho Lissu hana, kajawa mbwembwe na maneno ya dhihaka ya wanasheria wetu.

..Mandela hakuwa mnyenyekevu.

..alianzisha mapambano ya silaha na umwagaji damu dhidi ya Makaburu.

..vijana wa Ccm mnasoma wapi historia?

..Ccm si mnadai ni chama cha ukombozi kusini mwa Afrika, sasa kwanini hamjui historia ya ukombozi?
 
Ni high level ya ujinga kumweka lisu kwenye level moja na akina Nyerere, Mandela, Nkrumah, nk. Watanzania tuacheni ujinga.
 
Usichanganye madesa aisee

Wale wazee wana heshima yao… sio huyu wa mitusitusi
 
Usichanganye madesa aisee

Wale wazee wana heshima yao… sio huyu wa mitusitusi

..Nyerere alibahatika kuwapinga Waingereza ambao walikuwa na utu, au hawakuwa na maslahi makubwa na Tanganyika.

..Ccm ambayo wapinzani wanapambana nayo ni wakatili na wana hila kuliko wakoloni wa Kiingereza.

..Na tunaweza kufanya ulinganifu wa mambo mabaya yaliyowafika wapinzani wa Ccm, dhidi ya mambo waliyopitia Tanu wakati wakidai uhuru.

..Mifano, michache ni jinsi Ccm walivyowafunga jela karibu nusu ya kamati kuu ya Chadema. Kesi za kubumba za uhaini dhidi ya viongozi wa Cuf. Kesi ya kurusha ya ugaidi dhidi ya M Mbowe.

..Kwa upande mwingine, Je, Mwalimu Nyerere aliwahi kufungwa, au kulala mahabusu? Mwalimu Nyerere aliwahi kupigwa au kudhalilishwa na askari wa Muingereza?

..Tunamheshimu Baba wa Taifa kwa kuongoza mapambano ya uhuru, lakini tusijaribu kupuuza maovu yanayofanywa na Ccm aliyotuachia.
 
Habari ni nzuri, lakini najiuliza, Lissu anaingiaje kwa hao VIGOGO? 😳

..Ni kwasababu hajashika madaraka ambayo watajwa wameyashika.

..Lakini kwenye kupambania HAKI, Lissu amepitia mikasa ambayo baadhi ya watajwa hawakuipitia.

..Kwa mfano, ni ukweli kwamba Lissu hakuwahi kukaa gerezani. Lakini tujiulize shambulizi dhidi yake, tunaweza kusema lina afadhali kuliko kifungo?
 

..lakini usisahau jinsi Tundu Lissu anavyomkubali na kumsifia Mwalimu Nyerere ktk masuala ya uadilifu, kutojihusisha na rushwa, na kutokudokoa mali za umma.
 
Mandela na Nyerere were wise

Not huyu wa mitusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…