Kujenga nyumba na kununua magari ni sababu mojawapo ya Umasikini

Kujenga nyumba na kununua magari ni sababu mojawapo ya Umasikini

Watanzania tunahitaji kubadili mentality na kuondoa uoga kuhusu kufanya biashara. Mtu anafanya kazi posta anaanza ujenzi Madale, akimaliza nyumba anahamia kwake, anaanza kuendesha gari kilometer 60 kwenda kazini na kurudi, wastani wa mafuta ya elfu 25 Kwa siku na masaa manne njiani kwenda na kurudi. Wakati huo ana familia, mke na watoto wawili wanaosoma English medium. Unakuta nyumba na gari vimemcost kati ya milioni 40 hadi 60, kama angepata ushauri na kuwa na elimu nzuri kuhusu uwekezaji na financial management ya kutosha. Hiyo pesa ndani ya miaka miwili anakuwa anaongea story tofauti. Lakini unakuta vijana wengi wana nyumba nzuri na usafiri, ila kiuhalisia wamekwama kiuchumi kila mwisho wa mwezi unamkuta na madeni. Sababu ya haya yote ni tunaishi kwa kuigana na kutafuta status kwenye jamii. Kwa watanzania walio wengi ni bora aishi kwenye nyumba yake yenye thamani ya milioni 50 hata kama hana kazi, ila kwangu mimi ni bora kuishi nyumba ya kupanga ila nina akaunti iliyonona na nina biashara inayozungusha pesa na nina backup ya pesa kwenye akaunti kulinda/au kuanzisha biashara nyingine wakati wowote. Mleta mada upo sahihi sana.
Hakika nakuambia ukiwapa waTz 10 hata wenye hiyo elimu ya fedha Mil.60 baada ya miaka 4 ukija kuwathaminisha ni 1 au wawili ndio watakuwa na angalau 10Mil kwenye akaunti zao.
Hizi biashara tuheshimu pia, siyo rahisi kihivyo..kila siku watu wanateketeza mitaji.Mmeshasahau ya Kkoo na TRA ??

Kikubwa ni kuchukua maamuzi yenye mantiki na tija kwa muda huo.Mfano wapo amabo kujenga ni uamuzi sahihi zaidi kwa wakati huo na wapo ambao kununua gari na wapo ambao ni kuwekeza.
 
Too theoretically, Ila kwa ground watu wanajua biashara sio rahisi na ni game ngumu kuwin unaweza kuangukia pua mazima...Na hizo sijui hati fungani ,Fixed account lazima uwe na pesa ndefu ili kupata ROI kubwa angalau kwa mwaka.

Unaposema kuhusu gharama maisha kama kutumia usafiri binafsi wakati unakaa mbali upo sahihi , Gari linatesa kama utaenda kama linavyotaka basi utalia bado preventive maintenance mara sijui kubadili oil mara sijui nn na hapo hujapata ajali ,Pia tambua unalipia bima kwa mwaka.

Ishu ya biashara isikie mdomoni tu ,Asili ya mzunguko wa pesa za kibiashara hairuhusu watu wote kuwin sana sana kwa wanaoanza hawa wanapata tabu sana ... Biashara inaweza kukulaza tajiri ukaamka maskini kosa dogo unaanza upya .
 
Ulitumia miaka mitatu kujenga means by 2016 ulikuwa umemaliza. Kuanzia 2016 hadi leo miaka zaidi ya sita bado haujawa stable, kama ulijenga kwa miaka mitatu imagine hii miaka sita ungekuwa makini ungesave kiasi gani!! Inaonekana ni wewe ndio mwenye shida.

Kujenga bongo ni rahisi sana, na ni risky sana kufanya biashara au kuinvest hilo halipingiki (of course ukitoboa umetoboa).. hizi principle za usijenge invest kwanza zinafaa Marekani na Ulaya ambako kujenga ni ghali sana. Bongo ukipata pesa jenga uepushe aibu za hapa na pale.
inaonekana alichukua deni la mda mrefu
 
Ulitumia miaka mitatu kujenga means by 2016 ulikuwa umemaliza. Kuanzia 2016 hadi leo miaka zaidi ya sita bado haujawa stable, kama ulijenga kwa miaka mitatu imagine hii miaka sita ungekuwa makini ungesave kiasi gani!! Inaonekana ni wewe ndio mwenye shida.

Kujenga bongo ni rahisi sana, na ni risky sana kufanya biashara au kuinvest hilo halipingiki (of course ukitoboa umetoboa).. hizi principle za usijenge invest kwanza zinafaa Marekani na Ulaya ambako kujenga ni ghali sana. Bongo ukipata pesa jenga uepushe aibu za hapa na pale.
Mkuu najua hizi nondo umezipata kwenye kitabu cha ROBERT KIYOSAKI (RICH DAD & POOR DAD) bila shaka 💯
 
1
JamiiForums2145695727.jpg
 
Nashkuru umenielewa mkuu maana wabongo ukiwaambia hiv watakutukana
Wanaosave pesa ndio wanaopoteza kwa Dunia ya Sasa

Wangapi wanaweza kufutika Milioni 100 na RoI ni asilimia ngapi?

By the way hata majengo ni biashara vile vile
 
Back
Top Bottom