Tena watu wazima TikTok wamekuwa wengi mnoMi naonaga aibu nikiona mtu anajipost anaimba imba na anakosea hayo maneno sometimes, na ikiwa ndo mutu ya 30+ nahisi aibu kinyama sijui aibu ya nini wakati hainihusu...... Ila huwa nahisi aibu sana.
Mkuu, wewe unataka umuelewe ili iweje?Aisee hii ni maajabu. Ni mke wa mtu na ana watoto kabisa. Kila siku ni kuvaa nguo za kislayqueen za kubana tako halafu fupi mapaja yote njee,matiti njeee. Anaposti msambwanda wake status whatsapp, Instagram na mitandao yote......na Mume yupo, sijawahi kumuelewa
hela ipo...?Ndiooo
Hapa sijaelewa mkuu.cames
Nilishakwambi hakun hela hapa..hela unatakiwa uwe nayo wewe..mimi kazi yangu kukubebisha basihela ipo...?
Wengine wanasumbuliwa na ulimbukeni! Wengine wanajiuza! Wengine wanataka kuhurumiwa na kutaka kusaidiwa!Kuna watu hawezi kupitisha siku bila kujipost mtandaoni. Anajaza status weeee utasema analipwa na WhatsApp.
Hana siri kila kitu hadharani kwenye mitandao, yaani huna hata haja ya kupeleleza habari zake , ukizitaka tu unazipata mtandaoni.
Akiachwa, akiwa na huzuni, akiwa na furaha vyote ni kupost tu kwenye mitandao.
Amekuwa kama msanii Kila hatua ya maisha yake lazima watu waijue. Wasanii wanapata pesa angalau, sasa mwenzetu unapata nini!?, Zaidi ya like na comments ambazo hazina faida yoyote Ile katika maisha yako.
Huu ni utumwa vilevile. Kataa kuwa mtumwa wa mitandao.
mshangazi bila hela sawasawa nakunywa uji wabaridi...Nilishakwambi hakun hela hapa..hela unatakiwa uwe nayo wewe..mimi kazi yangu kukubebisha basi
Yani.....hata hatupendezi kwakweli 🤣🤣Tena watu wazima TikTok wamekuwa wengi mno
Sitoi hata miamshangazi bila hela sawasawa nakunywa uji wabaridi...
wewe unaubaka ushangazi unalilia embe na unamapengo!..
Demi unakwama wapi..?😀
utatoa nini..?Sitoi hata mia
Malavidaviutatoa nini..?
kama unaeleweka hivi...😅Malavidavi