Kujipost mitandaoni Kila siku napo ni utumwa

Bora huyo wa kujipost.

Kuna mtu anajaza memez za video nyingiiiiiiii..

Ukiangalia kwa mbali unaweza dhania ni moja kumbe ziko buku.

Halafu baadaye anaanza kublock au kufuta namba za watu ambao hawaangalii status zake.

Mimi kiukweli, 'mute' option imejaa kwa viumbe kama hao. 🙂
 
Wengine wanasumbuliwa na ulimbukeni! Wengine wanajiuza! Wengine wanataka kuhurumiwa na kutaka kusaidiwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…