Kujipost mitandaoni Kila siku napo ni utumwa

Kujipost mitandaoni Kila siku napo ni utumwa

Hapana,

Ukishawaingilia watu waishi hivi wasiishi vile umeshawapangia, sema huna namna ya kulazimisha wafuate ulichowapangia tu.
Kwahy kwa maana Yako hiyo, ukiona nduguyo au mtu wa karibu anaenda kinyume labda muhuni n.k huwezi kutoa maoni kwakua kwa tafsiri Yako utakuwa umempangia!?.
 
Kwahy kwa maana Yako hiyo, ukiona nduguyo au mtu wa karibu anaenda kinyume labda muhuni n.k huwezi kutoa maoni kwakua kwa tafsiri Yako utakuwa umempangia!?.
Nduguyo ongea naye moja kwa moja. Huyo una ukaribu naye. Una undugu naye. Unaweza kuwa na sababu nyingi za kuongea naye. Inawezekana hata kakuomba ushauri. Anakujua, chanves are anakujali.

Hapa JF umekuja kuwaasa watu usiowajua, ambao hawajakuomba ushauri, ambao hata huelewi kwa nini wanafanya wanavyofanya.

Kifupi umejimwambafy kuingia kwenye maisha ya watu, umejipa umuhimu ambao huna kwenye maisha ya watu wasiokujua na wengine wala kukujali.

Tena kwenye mambo ambayo wana haki zao za msingi za kikatiba na kibinadamu kuishi wanavyotaka.

Ishibunavyotaka wewe na waache wengine waishi wanavyotaka wao.

Kwani wakijipost ukawaacha wajipost ukashika hamsini zako utapungukiwa nini?
 
Tukisema tuache Kila baya basi tutakuwa na dunia iliyojaa fujo, na ndomna Kuna jela ukizingua kitaa unawekwa ndani ujifunze.
Baya kwa mtu kujipost?
Jamani kama kuna mtu anaona kujipost ndio kunamfanya afurahie maisha, yeye apost tu hata humu jf.
Maisha yenyewe yamejaa stress. Acha watu waenjoy
 
Kuna watu hawezi kupitisha siku bila kujipost mtandaoni. Anajaza status weeee utasema analipwa na WhatsApp.
Hana siri kila kitu hadharani kwenye mitandao, yaani huna hata haja ya kupeleleza habari zake , ukizitaka tu unazipata mtandaoni.

Akiachwa, akiwa na huzuni, akiwa na furaha vyote ni kupost tu kwenye mitandao.

Amekuwa kama msanii Kila hatua ya maisha yake lazima watu waijue. Wasanii wanapata pesa angalau, sasa mwenzetu unapata nini!?, Zaidi ya like na comments ambazo hazina faida yoyote Ile katika maisha yako.

Huu ni utumwa vilevile. Kataa kuwa mtumwa wa mitandao.
Nadhani hii ni moja ya dalili ya uchawi ambayo mleta mada ameaza kuionyesha,sasa mtu bando hununulii,simu hujamnunulia unataka umpangie jinsi ya kuishi?

Acha wajipost wengine ndio sehemu ya kuondoa stress katika maisha yao,mleta mada mind your own bidness.
 
Nduguyo ongea naye moja kwa moja. Huyo una ukaribu naye. Una undugu naye. Unaweza kuwa na sababu nyingi za kuongea naye. Inawezekana hata kakuomba ushauri. Anakujua, chanves are anakujali.

Hapa JF umekuja kuwaasa watu usiowajua, ambao hawajakuomba ushauri, ambao hata huelewi kwa nini wanafanya wanavyofanya.

Kifupi umejimwambafy kuingia kwenye maisha ya watu, umejipa umuhimu ambao huna kwenye maisha ya watu wasiokujua na wengine wala kukujali.

Tena kwenye mambo ambayo wana haki zao za msingi za kikatiba na kibinadamu kuishi wanavyotaka.

Ishibunavyotaka wewe na waache wengine waishi wanavyotaka wao.

Kwani wakijipost ukawaacha wajipost ukashika hamsini zako utapungukiwa nini?
Basi nafikiri umenijibu. Ukiongea na mtu iwe ana kwa ana au mtandaoni haina maana ya kuwapangia bali ni katika kuwapa ushauri na kutoa fikra zao binafsi.

Kwa mm kupost hapa ni kwakua hapa ni plantform wengi wataona na watapitia, wapo watakaokubali na kuona ukweli wa kilichosemwa na wapo watakaopinga , ni juu ya Kila mtu kuamua njia aitakayo.

Ndomna Kuna redio na Tv ambazo huongelea mada mbalimbali na kukosoa pia, mbona hatusemi watufate watu ana kwa ana wakawaeleze!?.

Ukiona linakufaa unalibeba ukiona halikufai unaacha, lakini maoni ya watu huwezi kuyatafsiri kama ni kukupangia au kuwapangia.
 
Nadhani hii ni moja ya dalili ya uchawi ambayo mleta mada ameaza kuionyesha,sasa mtu bando hununulii,simu hujamnunulia unataka umpangie jinsi ya kuishi?

Acha wajipost wengine ndio sehemu ya kuondoa stress katika maisha yao,mleta mada mind your own bidness.
Am minding mine and yours too. Ukitaka tusitoe maoni kaishi sayari nyingne isiyo kuwa na watu. Unampostia nani!?, Ili iweje!?, Unanufaika nini!?. Zaidi ya likes na koment. Una stress waambie watu wako wa karibu ulonao.
 
Basi nafikiri umenijibu. Ukiongea na mtu iwe ana kwa ana au mtandaoni haina maana ya kuwapangia bali ni katika kuwapa ushauri na kutoa fikra zao binafsi.

Kwa mm kupost hapa ni kwakua hapa ni plantform wengi wataona na watapitia, wapo watakaokubali na kuona ukweli wa kilichosemwa na wapo watakaopinga , ni juu ya Kila mtu kuamua njia aitakayo.

Ndomna Kuna redio na Tv ambazo huongelea mada mbalimbali na kukosoa pia, mbona hatusemi watufate watu ana kwa ana wakawaeleze!?.

Ukiona linakufaa unalibeba ukiona halikufai unaacha, lakini maoni ya watu huwezi kuyatafsiri kama ni kukupangia au kuwapangia.
Na wewe kuna watu wanasema unapost sana huna staha.

Point ni kwamba, habari nzima ya staha iko subjective.

Kama mtu hajavunja sheria, ukimwambia asijipost anakosa staha ni kama unamhubiria mtu dini yako wakati yeye haiamini hiyo dini.

Haki ya wewe kuhubiri dini yako unayo, lakini hilo halimaanishi dini yako ina fact, una ukweli, ina maana.

Kuna watu watakwambia hata hatujakuomba ushauri wako we mzee huijui dunia.
 
kila mtu kwenye hii dunia ana ujinga wake....ukielewa hilo kuna vitu vitakuwa havikupi sababu ya kuviongelea
 
Sawa basi endelea kujitiktok tu bro 😹

Sawa basi endelea kujitiktok tu bro 😹
Kumbe huyu huwa ni braza? Atakuwa na mustach wa namna hii?
556c58178b75c9fab5790d91dc77ac90.png
 
An
Kuna watu hawezi kupitisha siku bila kujipost mtandaoni. Anajaza status weeee utasema analipwa na WhatsApp.
Hana siri kila kitu hadharani kwenye mitandao, yaani huna hata haja ya kupeleleza habari zake , ukizitaka tu unazipata mtandaoni.

Akiachwa, akiwa na huzuni, akiwa na furaha vyote ni kupost tu kwenye mitandao.

Amekuwa kama msanii Kila hatua ya maisha yake lazima watu waijue. Wasanii wanapata pesa angalau, sasa mwenzetu unapata nini!?, Zaidi ya like na comments ambazo hazina faida yoyote Ile katika maisha yako.

Huu ni utumwa vilevile. Kataa kuwa mtumwa wa mitandao.
anapost kabinua tako🤣
 
Back
Top Bottom