Kujipost mitandaoni Kila siku napo ni utumwa

Kujipost mitandaoni Kila siku napo ni utumwa

Na wewe kuna watu wanasema unapost sana huna staha.

Point ni kwamba, habari nzima ya staha iko subjective.

Kama mtu hajavunja sheria, ukimwambia asijipost anakosa staha ni kama unamhubiria mtu dini yako wakati yeye haiamini hiyo dini.

Haki ya wewe kuhubiri dini yako unayo, lakini hilo halimaanishi dini yako ina fact, una ukweli, ina maana.

Kuna watu watakwambia hata hatujakuomba ushauri wako we mzee huijui dunia.
Hiyo staha imekuja baada ya wewe kusema hawavunji sheria.

Halafu sijasema wasijipost, nimesema kujipost Kila siku mitandaoni napo ni utumwa.

Wapo waliokubali na wapo waliokataa. Ninachopingana na wewe ni kusema kwamba "nimewapangia Cha kufanya", sijampangia mtu Bali hayo ni mawazo yangu.

Uhuru wa kutoa maoni, kama unaona kujipost Kila siku kwako ni sawa hzo ni fikra zako hulazimishwi kufikiri wanavyofikiri wengine.

Lakini hatuwezi kuacha kutoa maoni kisa maoni yetu yatakuwa ni kuwapangia watu.

Kujipost mtandaoni Kila siku napo ni utumwa.
Epuka kuwa mtumwa wa mtandaoni.
 
Ni kweli lakini ndiyo maisha yake mtu kaamua.

Mtu akishaamua kuishi hivyo ni haki yake kuishi hivyo, haki ya kikatiba, haki ya kibinadamu.

Katiba na haki za binadamu zina sehemu ya freedom of expression, ndiyo wanaitumia hali hii.

Na hawakulazimishi kuwafuatilia, usipopenda habari hizo usiwafuatilie tu. Fuatilia mambo unayopenda. Wanaopenda hayo mambo yao watawafuatilia.

Wewe huna haki ya kumpangia jinsi ya kuishi.
Asante...watuu tujifunzee kumind our own business 🙌hii Dunia Kila mtu anaishi vile apendavyoo ili mradi tu asivunje Sheria ya nchi...kufutilia mambo ya watu nao ni ugonjwa wa akili piaa
 
Sio utumwa tu, ni ushamba kiwango cha lami. Tena wengi ni jinsia ya kike
 
Hiyo staha imekuja baada ya wewe kusema hawavunji sheria.

Halafu sijasema wasijipost, nimesema kujipost Kila siku mitandaoni napo ni utumwa.

Wapo waliokubali na wapo waliokataa. Ninachopingana na wewe ni kusema kwamba "nimewapangia Cha kufanya", sijampangia mtu Bali hayo ni mawazo yangu.

Uhuru wa kutoa maoni, kama unaona kujipost Kila siku kwako ni sawa hzo ni fikra zako hulazimishwi kufikiri wanavyofikiri wengine.

Lakini hatuwezi kuacha kutoa maoni kisa maoni yetu yatakuwa ni kuwapangia watu.

Kujipost mtandaoni Kila siku napo ni utumwa.
Epuka kuwa mtumwa wa mtandaoni.
Anachokubali mtu mwenyewe si utumwa.

Sasa kwa nini wewe unasema kujipost ni utumwa wakati watu wanajipost wenyewe kwa raha zao?
 
Kuna watu wapo kwaajili ya showoffs.
Kuna watu wanapost ili wapate recognitions.

Kuna watu wanapost ili kujifurahisha.

Kuna watu wanapost kama sehemu ya ku-socialize.

Kuna watu wanapost ili kujulikana.

Kuna watu wanapost ili kuwakera watu wenye tabia kama yako ya kufuatilia mambo yasiyowahusu.

Kuna watu wanapost kuringishia mafanikio Yao au uzuri au majaliwa waliyojaliwa.

Kuna watu wanapost hawajui kwa nini wanapost

Yote kwa yote. Kama havunji Sheria ya nchi. Hamvunjiu mtu yeyote heshima.
Hajapost picha yako Wala Mali yako yoyote. Kinachokuwasha ni roho chafu na Mbaya.
Kujipost nusu uchi hakuvunji heshima!?.

Unapost unakata viuno, viuno vyako sisi vya nini!?.

Unapost unaimba imba si uingie studio tujue Moja.

Watu hupost ili waonwe , kama hakuna wa kuona huwezi post, tofautisha kuona na kufatilia.

Kama huna ishu ya msingi ya kusababisha ujipost huo ni utumwa.

utumwa wa kutafuta validation kwa watu.
 
Kwa wabongo wengi msamiati wa ku mind their own business ni wa kigeni hawauelewi.
Na haupo as long as umefanya public tukiona halipo sawa katika fikra zetu tutasema.
 
Na haupo as long as umefanya public tukiona halipo sawa katika fikra zetu tutasema.
Mnaruhusiwa kusema, nimesema hiyo ni haki ya kikatiba.

Ni haki inayoonesha ushamba wenu.

Hamjui faragha ya mtu binafsi ni kitu gani.

Hamjui uhuru wa mtu binafsi ni nini.

Mmezoea kwenda wote upande mmoja kama ng'ombe wanachungwa.

Acheni watu wajinafasi kuishi wanavyotaka.

Si kila mtu anakubali standard zako za staha.
 
Anachokubali mtu mwenyewe si utumwa.

Sasa kwa nini wewe unasema kujipost ni utumwa wakati watu wanajipost wenyewe kwa raha zao?
Oohh!! Kwahy mtu akijikubali yeye ni mwizi haiwezi kumpeleka jela, kwakua kajikubali!?.

Utumwa wa fikra, unajipost kutafuta likes na comments tu( validation za watu wakusifie au wakusikitikie).

Jiulize, ikitokea unajipost halafu hakuna anaetizama hata mmoja utaendelea kujipost!?? Kama jibu ni hapana basi huo ndo utumwa wenyewe.
 
Mnaruhusiwa kusema, nimesema hiyo ni haki ya kikatiba.

Ni haki inayoonesha ushamba wenu.

Hamjui faragha ya mtu binafsi ni kitu gani.

Hamjui uhuru wa mtu binafsi ni nini.

Mmezoea kwenda wote upande mmoja kama ng'ombe wanachungwa.

Acheni watu wajinafasi kuishi wanavyotaka.

Si kila mtu anakubali standard zako za staha.
Basi ndo tunasema kujipost Kila siku ni utumwa.
 
Yaani Kila siku unajipost tu, hata kama ni post Moja ndo Kila siku tuone sura Yako, aaahh!!! Ni utumwa.

Kwani lazima uangalie si unammute tu, watu mnapenda sana kujitesa kwa mambo yasiyowahusu!
 
Kuna watu wapo kwaajili ya showoffs.
Kuna watu wanapost ili wapate recognitions.

Kuna watu wanapost ili kujifurahisha.

Kuna watu wanapost kama sehemu ya ku-socialize.

Kuna watu wanapost ili kujulikana.

Kuna watu wanapost ili kuwakera watu wenye tabia kama yako ya kufuatilia mambo yasiyowahusu.

Kuna watu wanapost kuringishia mafanikio Yao au uzuri au majaliwa waliyojaliwa.

Kuna watu wanapost hawajui kwa nini wanapost

Yote kwa yote. Kama havunji Sheria ya nchi. Hamvunjiu mtu yeyote heshima.
Hajapost picha yako Wala Mali yako yoyote. Kinachokuwasha ni roho chafu na Mbaya.

Umemaliza mkuu [emoji1787] hawa ndo wale ambao hawapostiki lazima awe na roho mbaya!
 
Oohh!! Kwahy mtu akijikubali yeye ni mwizi haiwezi kumpeleka jela, kwakua kajikubali!?.

Utumwa wa fikra, unajipost kutafuta likes na comments tu( validation za watu wakusifie au wakusikitikie).

Jiulize, ikitokea unajipost halafu hakuna anaetizama hata mmoja utaendelea kujipost!?? Kama jibu ni hapana basi huo ndo utumwa wenyewe.
Wizi ni kitu kilichokatazwa kisheria, tumekubaliana kuhusu hilo kama nchi, kisheria.

Kujipost hakuna sheria inayokataza, ni wewe na u Taliban wako tu unawalazimisha watu wafuate unavyotaka wewe.
 
Wizi ni kitu kilichokatazwa kisheria, tumekubaliana kuhusu hilo kama nchi, kisheria.

Kujipost hakuna sheria inayokataza, ni wewe na u Taliban wako tu unawalazimisha watu wafuate unavyotaka wewe.
Duuh!! Kagoogle kwanza kulazimisha watu na kutoa maoni.

Upande mmoja kujipost ni furaha ya mtu havunji sheria, ila maoni binafsi huko ni kuwalazimisha watu wafate utakavyo🤔.

Kwahy unatakaje labda tukae kimya na katiba inaturuhusu kutoa maoni yetu!?. muhimu hatuyavunja sheria za nchi kama usemavyo baki na wazo lako ni baki na langu.
 
si utumwa kwa mtizamo wako ila wangu ni utumwa.
Nimekwambia hivii, mtu kufanya anachopenda si utumwa.

Wanapenda kujipost. Wanajipost.

Utumwa uko wapi hapo?

Wewe unalazimisha waishi unavyotaka wewe. Hicho unachotaka wewe ndiyo utumwa.

Unataka watu wasiishi wanavyotaka wao, waishi unavyotaka wewe.

Huo ndio utumwa.
 
Back
Top Bottom