Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo poa Kwa kweli nilikuwa busy hopefully recently tutakuwa Pamoja jukwaani
🤣🤣nitakupa milioni tano ukanunue sm.vipi lakini utanipenda?🤣Simu yoyote tu itanifaa
Awatenge wapi wakati boyfrend wake ni andunje🤣🤣🤣🤣Amewatenga viandunje🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂 Ngoja siku nitakuwekea picha yake selfika upate aibu. Lione kwanzaAwatenge wapi wakati boyfrend wake ni andunje🤣🤣🤣🤣
Weka ata leo😂 Ngoja siku nitakuwekea picha yake selfika upate aibu. Lione kwanza
sawa ilanaona mwanasheria siomuhim Sana Mana Mimi siotapeli nimekupenda kutoka moyoni so sitokusumbua🤣🤣🤣(jichanganye sasa)😅😅😅😂😂 Ngoja kwanza nitafute mwanasheria
Hahaha utakuwa victim uliliwa tunda kimasihara...hahaha😆Pumba tu
WE DOGO, HIVI SIKU HIZI KUNA KUKATALIWA KWELI. !?Pamoja na mapungufu waliyonayo wanawake kwenye mahusiano ya kimapenzi, haimaanishi kuwa sisi wanaume hatuna mapungufu yetu, ukisoma Between the lines kwenye thread wanazoleta humu wanaume, mara (wanawake mnaoringa Nawasubiri mkifika miaka 30) mara "kataa ndoa" etc ukisoma kwa undani utagundua alitongoza mabinti Kadha wa kadha mtaani baada ya kukataliwa ndo anakuja kumalizia machungu JamiiForums.
[emoji23][emoji23]Dunia ya leo hakuna mwanamke wa kukataa mwanaume ikiwa amekidhi kigezo kimoja kikuu - FEDHA.
Hivyo machungu ya wanaume wengi humu juu ya wanawake ni kukosa fedha za kuwapata wanaowataka. Na ndio maana utasikia wanawake wanapenda pesa.
Unakuta jitu linaomba namba ya simu kwa demu halafu kutwa kuview status na kucomment 'wow wow' kama king'ora cha ambulance. Hapo lina kazi ya kutuma mashairi ya nyimbo za mbosso kama dedication bila kutoa hata senti moja sasa hapo usikataliwe mchezo.
Na hao ndio design ya wakandiaji wakuu wa mademu humu kusema nilimpenda kidhati kwa kujiona kama wahindi kuimbiana kwenye mvua ndio mapenzi kusahau pesa ndio inayopendwa zaidi.
Ila sio wote wanaopenda pesaNAKAZIA AYA YA KWANZA hapo ulipotaja FEDHA.
Una uhakika mkuu??Ila sio wote wanaopenda pesa
Halafu we Kelsea ni mzuri mpk unakera!
Mimi navyojua mwanamke akikupenda kweli anaweza ridhika na ww hata kama huna hela nyingi.Una uhakika mkuu??
kama kuna mdada unamjua anayeweza kuridhika na kile kidogo nachopata cha kumuhudumia naomba unistue, wanna get in a relationship, shida sina pesa za kutosha...
Mimi navyojua mwanamke akikupenda kweli anaweza ridhika na ww hata kama huna hela nyingi.
Sijawahi kutongoza nikakataliwa huwa nasikia tu kwa watu.Hajasema mambo ya kutotongozwa bali anazungumzia malalamiko ya wanaume wengi khs Ke huenda inachangiwa na kupigwa chini.
Sent using Jamii Forums mobile app