Kukataliwa baada ya kutongoza kunafanya wanaume wengi wawaponde wanawake mtandaoni

Kukataliwa baada ya kutongoza kunafanya wanaume wengi wawaponde wanawake mtandaoni

Oyaa mzabzab dislike ya nini tena 😂 kwani uongo?
Uongo kuhusu nini tena?
Mbona mie nawatongoza nyie pm mnanipiga vibuti lakini sijaanzisha uzi kuwaponda warembo? Kwanza nawasifiaga kuwa mbususu zenu tamu🤣🤣🤣🤣
 
Uongo kuhusu nini tena?
Mbona mie nawatongoza nyie pm mnanipiga vibuti lakini sijaanzisha uzi kuwaponda warembo? Kwanza nawasifiaga kuwa mbususu zenu tamu🤣🤣🤣🤣
Kwenye ile comment yangu kwa nn umedislike? Unajua ulipoweka dislike
 
Huwa nasikitika sana vijana wakilalamika kukataliwa ...hakuna viumbe wema na wazuri kama wanawake... wanawake hawapendi hela kama hela wanapenda kutunzwa, wanapenda kudekezwa, wanapenda kusifiwa kwa jitihada zao, wanapenda kusikilizwa, wanapenda zawadi, wanapenda kulea, we mtongoze kimkakati sio kukurupuka hatakunyima ufunguo uingie... kuwatukana na kuwadharirisha wanawake ni uthibitisho wa uzaifu wako... njoo upate semina usirudie kukataliwa.
 
Dunia ya leo hakuna mwanamke wa kukataa mwanaume ikiwa amekidhi kigezo kimoja kikuu - FEDHA.

Hivyo machungu ya wanaume wengi humu juu ya wanawake ni kukosa fedha za kuwapata wanaowataka. Na ndio maana utasikia wanawake wanapenda pesa.

Unakuta jitu linaomba namba ya simu kwa demu halafu kutwa kuview status na kucomment 'wow wow' kama king'ora cha ambulance. Hapo lina kazi ya kutuma mashairi ya nyimbo za mbosso kama dedication bila kutoa hata senti moja sasa hapo usikataliwe mchezo.

Na hao ndio design ya wakandiaji wakuu wa mademu humu kusema nilimpenda kidhati kwa kujiona kama wahindi kuimbiana kwenye mvua ndio mapenzi kusahau pesa ndio inayopendwa zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Fulani hebu njoo hapa usome, uache ku view status zangu na kuandika "wow" wee sio honi ya ambulance. Uwiiiiih
 
Ni sawa mtu anasubiria upate matatizo ndio afurahie like kufilisika,mwanao kufeli,kupoteza kazi,kutochaguliwa ubunge. Yaani binadamu ama ubongo wetu unapenda vitu vilivyo hasi Ila vizuri haupendi kabisa. Na ndio Mana ukikutana na mtu mwambie mabaya kuhusu wewe ili afurahie kuwa Bora alone,yaani Kuna watu wanapenda mfano umasikini kuliko utajiri.
Yaani Kuna mtu akipata hela anakimbia kuzigawa ama kuzitangaza kwa watu,Ila wakati wa shida anakaa kimya.

Yaani our brain can't comprehend with success Bali failure.
Yaani tunapenda mfano sukari kuliko kitunguu swaumu ama ginger.
Tunapenda nyama kuliko mboga za majani,mabaya watu wanayapenda kuliko mazuri,mfano ukisema kuwa Nina 5bn niwekeze wapi watu watatukana Ila ukisema umepigika hawawezi kuonyesha any negativity with negative informations Ila wanaweza wakaonyesha negative vision with positive information. Mie Hawa binadamu niliwajulia shuleni by nature binadamu anayo ego,selfish na greed so huwa anataka awe juu ya wengine kisa Cha ego so unapokuwa juu yake anaumia.

Yaani Ni rahisi mno mtu kuvumilia umasikini kuliko utajiri Kuna fear of success and failure
 
Na msipotongozwa munaomba na kukesha na kuona na kutoa machozi mwa hisia wanaume mbona hawanioni

Mwanamke huwezi shindana na mwanaume kwenye muktdha mzima wa mahusiano itakula kwako tu
Hivi ni kweli mwanamke hasipotongozwa inamuumiza? Kwasababu gani mkuu Sea Beast unasema mwanamke hawezi kushindana na mwanaume kwenye muktadha wa uhusiano?
 
Back
Top Bottom