Awiaman ooza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 512
- 866
Sielewi hata wengine waume wana vitambi na pressure juuu 😜😜. Hivyo ni mserereko kwetuKwamba waume zao mb*00 ndogo au ni watu wa kusafiri sana????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sielewi hata wengine waume wana vitambi na pressure juuu 😜😜. Hivyo ni mserereko kwetuKwamba waume zao mb*00 ndogo au ni watu wa kusafiri sana????
Uongo kuhusu nini tena?Oyaa mzabzab dislike ya nini tena 😂 kwani uongo?
Sijui hata ni lugha gani umeandikaWee wanawame hawa hawawezi kukukataa ..watakukubali sema watakitombesha kimbususu chao kwengine which shouldnt realy be a problem maana kuchapiwa kupo pale pale
Kwenye ile comment yangu kwa nn umedislike? Unajua ulipoweka dislikeUongo kuhusu nini tena?
Mbona mie nawatongoza nyie pm mnanipiga vibuti lakini sijaanzisha uzi kuwaponda warembo? Kwanza nawasifiaga kuwa mbususu zenu tamu🤣🤣🤣🤣
Wee wakubalie bwana kwani mbususu ukienda nayo kaburini ikiwa sealed raha yake nini
😂😂 Wee na watoto wako wa kike utawaambia haya maneno?Wee wakubalie bwana kwani mbususu ukienda nayo kaburini ikiwa sealed raha yake nini
Mbona na nyie wanaume wakiwalatalia mnashidwa kuweka makasiriko kandoMnakubali matokeo alafu makasiriko mnaweka kando.
Mke sitaki watoto so that dnt apply with me😂😂 Wee na watoto wako wa kike utawaambia haya maneno?
Hii subconsciously ulichoongea ndio ukweli. Ila kataa ndoa sidhani,Ila naipa 35% Ila niliyo quote my biasennes or subjectivity naipa miamkifika miaka 30)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Fulani hebu njoo hapa usome, uache ku view status zangu na kuandika "wow" wee sio honi ya ambulance. UwiiiiihDunia ya leo hakuna mwanamke wa kukataa mwanaume ikiwa amekidhi kigezo kimoja kikuu - FEDHA.
Hivyo machungu ya wanaume wengi humu juu ya wanawake ni kukosa fedha za kuwapata wanaowataka. Na ndio maana utasikia wanawake wanapenda pesa.
Unakuta jitu linaomba namba ya simu kwa demu halafu kutwa kuview status na kucomment 'wow wow' kama king'ora cha ambulance. Hapo lina kazi ya kutuma mashairi ya nyimbo za mbosso kama dedication bila kutoa hata senti moja sasa hapo usikataliwe mchezo.
Na hao ndio design ya wakandiaji wakuu wa mademu humu kusema nilimpenda kidhati kwa kujiona kama wahindi kuimbiana kwenye mvua ndio mapenzi kusahau pesa ndio inayopendwa zaidi.
Hivi ni kweli mwanamke hasipotongozwa inamuumiza? Kwasababu gani mkuu Sea Beast unasema mwanamke hawezi kushindana na mwanaume kwenye muktadha wa uhusiano?Na msipotongozwa munaomba na kukesha na kuona na kutoa machozi mwa hisia wanaume mbona hawanioni
Mwanamke huwezi shindana na mwanaume kwenye muktdha mzima wa mahusiano itakula kwako tu
Kwani binti akifika 30 anakuwaje mkuu ?Unakuta mwanaume mzima asubuli Binti mpaka achakae na aliwe na wanaume wenzake afikishe miaka 30 yeye eti ndo ampate
Sent using Jamii Forums mobile app
unapenda kutumia sim gani mrembo nikupe hela ukanunue?
Mnachokifanya ni kutusubirisha tu...ila sisi tunakata tamaa mapema ndio inafanya tuone tumekataliwaDuh! Sasa tutakubali wangapi?
AiseeMnachokifanya ni kutusubirisha tu...ila sisi tunakata tamaa mapema ndio inafanya tuone tumekataliwa
Au sio?Mke sitaki watoto so that dnt apply with me