Kukataliwa baada ya kutongoza kunafanya wanaume wengi wawaponde wanawake mtandaoni

Kukataliwa baada ya kutongoza kunafanya wanaume wengi wawaponde wanawake mtandaoni

Ni kweli
Mtu anakuomba namba lazima uulize nini sababu ya mawasiliano
Akijibu tu nataka tujuane zaidi unamuacha hapo
Namba inatolewa ikiwa ni sababu ya kazi au biashara
Hakika. Na hata kama mwanamke kavutiwa na huyo mwanaume bado hawezi tongozwa leo leo na kukubali leo leo kwanza wanaume wenyewe hawataki wanawake rahisi hivyo labda awe wa kupiga na kusepa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na mapungufu waliyonayo wanawake kwenye mahusiano ya kimapenzi, haimaanishi kuwa sisi wanaume hatuna mapungufu yetu, ukisoma Between the lines kwenye thread wanazoleta humu wanaume, mara (wanawake mnaoringa Nawasubiri mkifika miaka 30) mara "kataa ndoa" etc ukisoma kwa undani utagundua alitongoza mabinti Kadha wa kadha mtaani baada ya kukataliwa ndo anakuja kumalizia machungu JamiiForums.

Hakuna mwanamke anakataa mwanamke, labda psychopath. Kama unabisha, toa to sign zako, siku nitakayokulala ndo nitakukumbusha haya maneno
 
[emoji817]
Dunia ya leo hakuna mwanamke wa kukataa mwanaume ikiwa amekidhi kigezo kimoja kikuu - FEDHA.

Hivyo machungu ya wanaume wengi humu juu ya wanawake ni kukosa fedha za kuwapata wanaowataka. Na ndio maana utasikia wanawake wanapenda pesa.

Unakuta jitu linaomba namba ya simu kwa demu halafu kutwa kuview status na kucomment 'wow wow' kama king'ora cha ambulance. Hapo lina kazi ya kutuma mashairi ya nyimbo za mbosso kama dedication bila kutoa hata senti moja sasa hapo usikataliwe mchezo.

Na hao ndio design ya wakandiaji wakuu wa mademu humu kusema nilimpenda kidhati kwa kujiona kama wahindi kuimbiana kwenye mvua ndio mapenzi kusahau pesa ndio inayopendwa zaidi.
 
Nikki wa pili dc na hela alizokua nazo still amegongewa na mtoto juu, haji manara na hela zake mke alimkimbia

Diamond na utajiri wote anaishi maisha ya kimalaya ameshindwa kusettle na mwanamke

Usifikiri hela ndo kila kitu utakua nazo still kuna wanawake watakua wanakukataa, hela ni ya muhimu ila sio kila kitu kama unavyotaka kuaminisha watu
Wee wanawame hawa hawawezi kukukataa ..watakukubali sema watakitombesha kimbususu chao kwengine which shouldnt realy be a problem maana kuchapiwa kupo pale pale
 
Liverpool VPN kaajiriwa serikalini mkuuuu ila anawapiga chini kwenye ndoa litutumbwe katumia 1M bila kuonja papuchi mkuuu bado unangangania hiii hoja Countrywide kabambikiwa mtoto mkuuu tena na mtu wa kawaida japokuwa yy ni DC na alimhudumia mama zury

Mimi nalala na mke wa mtu mkuuu ingawa sina senti za kuvimba mmewe kila siku yuko nje ya nchi

In short pesa ina play part ndogo sana kwenye mapenzi ya kweli mkuuuu endelea kuwa simp utakufa huku unajiona hii ni mifano michache tu
Masikhara haya....mbona watu mnabishana na tafiti zilizopo.
Eti hela ina play part ndogo sana kwenye mapenzi ya kweli🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom