babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Kwanini umeme ukatike muda wa mechi tu? Yanga wameloga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Give reasons?Wanawaonea tu......
Wachaw wanawajuaGive reasons?
Wakwanza kusimamishwa kazi alitakiwa awe waziri mwenyewe kwa kuchelewa kuchukua hatua sahihi kwa wakati sahihi na huo ni uzembe.Kutokana na kujirudia kwa hali ya kukatika umeme katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, ( Uwanja wa Taifa DSM) ikianza 28 Machi, 2023wakati wa mechi baina ya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) dhidi ya timu ya
Taifa ya Uganda (Uganda the Cranes) kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)...
Aliyeandika barua nae kimeo vilevileUwanja wa "Banjamin"
Sasa kama sio Meneja anayesimamia shughuli za kila siku ulitaka iwe nani?Kazi kwelikweli mnyonge ameangushiwa lawama
Kwani SGR itatumia Jenereta?Ndio mnasema Tanzania itatumia umeme kuendesha SGR? Yatatokea mengi SGR ikianza kazi
Nasi tunawashauri …kuepuka kukatika umeme mara kwa mara nashauri Management ya Uwanja wa Taifa isiwe inawasha Taa kabisaKwanini umeme ukatike muda wa mechi tu? Yanga wameloga