Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inchi ni tajiri ila kuna mijizi haina uchungu na nchinna hawa ndio waliotufikisha hapa eguzatli ,au nasema uongo nduzu zangu ?Tumechezewa Sana Ndugu Zangu
Kama hata hujui kwanini kuna kaimu na sio meneja kamili then kuna safari ndefu ya kukuelewesha, mengine tafuta kidogo usisubiri kulishwa tuWakwanza kusimamishwa kazi alitakiwa awe waziri mwenyewe kwa kuchelewa kuchukua hatua sahihi kwa wakati sahihi na huo ni uzembe.
Tatizo hili la kuhujumu taifa limejirudia mara ya mara nyingine ndani ya takribani mwezi mmoja.
Huwenda kama hatua stahiki zingechukuliwa mapema aibu hii isingejirudia tena ila kwa sababu waziri na watu wake walichukulia powa na kwa vile wanafahamiana na watendji ndio tunakutana na aibu mbele ya macho ya dunia.
Hili sio la meneja tu ni la waziri mwenye dhamana na katibu mkuu wake.
Na kwa nini awe kaimu meneja kwa muda wote huo? Meneja yuko wapi?
Yawezekana mtu kakaimu madaraka kwa kipindi kirefu hivyo bado kunawakati anashindwa kufanya mamuzi sahihi nankwa wakati sahii kwa sababu yeye amemshikia mtu dhamana hivyo haoni uzito wa jukumu mabegani mwake.
Matamko ya kusimamishana hayaji mpaka afe mtu?
Uwanjani giza, je ulinzi na usalama wa mashabiki na maofisa wa mechi ingekuwaje?
Mi nadhani rungu lianzie juu sio chini!
hawajapewa fursa ya kusikilizwaGive reasons?
Yes....hata ile ya Stars tuliroga na tulipigwaKwanini umeme ukatike muda wa mechi tu? Yanga wameloga
Serikali inayoundwa na wezi wa kura haiwezi kuwa na ufanisi katika loloteHii ilitakiwa iwe kwenye mechi ya Tanzania vs Uganda. Kuwaachia waendelee na majukumu ni kuwapa nafasi kufanya kile kilichotokea leo. Waziri Pindi Chana ungewajibika wewe kwanza.
Najua hizi ni hujuma za wazi ili Simba ikose nafasi ya Ushiriki wa Michuanonya CAF Super Cup kwa kukosa uwanja wa nyumbani.
Nchi zingine kwny mambo ya kipuuzi kama haya hakuna kuombana radhi kuna kulipana fidia kwa usumbufu na uzembe uliotokeaMechi ya kimataifa halafu mnaomba radhi watanzania pekee?
Waziri Pindi Chana Ndio mawaziri wanawake walio onekana wanafaa kupewa wizara.
Nchi hii ngumu mkuu ukute alipeleka propose ya ununuzi mpya wa jenereta akaambiwa mpaka bajeti mpya ya julaiSasa kama sio Meneja anayesimamia shughuli za kila siku ulitaka iwe nani?
Heri ungekaa kimya tu maana haufahamu muundo na mifumo ya utendaji serikalini, ndio maana unadhani Karia ndiye anayepanga makato ya uwanja wakati na yeye taasisi yake inagawiwa tuWakina Karia ndio wanakaa kwenye Vikao vya kutoa gharama za Uwanja harafu mnakuja kuwalaumu watu wadogo wasio na maamuzi hii dhambi inaendelea kuwatafuna ,meneja wa Uwanja gani anaeweza kununua generator mpya au kukodisha hiyo kitu bila ya ruhusu ya hao wapiga hela kwa kutumia vikao...
Umeulizwa Kwanini asimamishwe kazi KAIMU meneja, meneja yuko wapi?Sasa kama sio Meneja anayesimamia shughuli za kila siku ulitaka iwe nani?
Nchi hii ngumu mkuu ukute alipeleka propose ya ununuzi mpya wa jenereta akaambiwa mpaka bajeti mpya ya julai
So waombe hadi Wanaija?Mechi ya kimataifa halafu mnaomba radhi watanzania pekee?
Nchi ina watu wa hovyo hii harafu mnajifanya kujua...makato ya TFF ya gharama za uwanja na muundo wako vinahusiana nini kununua generator nako kunahitaji muundo aisee Nchi ina watu wenye fikra za kimasikini sana hiiHeri ungekaa kimya tu maana haufahamu muundo na mifumo ya utendaji serikalini
Nchi hii ngumu sana utawalaumu hao waliosimamishwa bure.Bajeti ya July, yenyewe inategemea mkopo kutoka Bank ya Dunia.
Sasa kwa akili yako unadhani Karia ndio anamaintain miundombinu ya Uwanja wa Mkapa? Au nikukumbushe ulichoandika?Nchi ina watu wa hovyo hii harafu mnajifanya kujua...makato ya TFF ya gharama za uwanja na muundo wako vinahusiana nini kununua generator nako kunahitaji muundo aisee Nchi ina watu wenye fikra za kimasikini sana hii
Wakina Karia ndio wanakaa kwenye Vikao vya kutoa gharama za Uwanja harafu mnakuja kuwalaumu watu wadogo wasio na maamuzi hii dhambi inaendelea kuwatafuna ,meneja wa Uwanja gani anaeweza kununua generator mpya au kukodisha hiyo kitu bila ya ruhusu ya hao wapiga hela kwa kutumia vikao...
Faza ishu ya generator ni ndogo sana wala sio Big deal naomba tuishie hapa kweli tumedumaa tupo busy tunajadili umeme wa Taa tuu ..Sasa kwa akili yako unadhani Karia ndio anamaintain miundombinu ya Uwanja wa Mkapa? Au nikukumbushe ulichoandika?