Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Shule kwa zile grades?wapelekeni Polisi shule kwanza acheni mikwara Polisi wana njaa,shule hawana wakimkamata mtu wanachowaza ni namna gani atatoa hela na kumbambikia kesi basi ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule kwa zile grades?wapelekeni Polisi shule kwanza acheni mikwara Polisi wana njaa,shule hawana wakimkamata mtu wanachowaza ni namna gani atatoa hela na kumbambikia kesi basi ....
Mambo ya aibu kabisaKuna Yule amejinyonga sero[emoji1787][emoji1787]
nchi inafuata utawala wa sheria, sio utawala wa desturi za watanzaniawapo watu ambao wanajadili mambo ambayo yapo kinyume na maadili, desturi za watanzania
Kuna vituko sana. Masauni yupo wizara hiyo kwa muda mrefu kama sikosei.KUTOKANA na mauaji ya kijamii yanayoendelea nchini, Waziri amepanga kukutana na Watendaji Wakuu wa Jeshi la Polisi ili kupokea taarifa ya matukio pamoja na kujadili jinsi ya kudhibiti mauaji hayo.
Waziri hajui 'Wasioujulikana'? atawadhibiti 'kisasa' kwa njia ganiWaziri Masauni amesema katika kikao hicho pia kitajadili jinsi ya kulifanya Jeshi la Polisi kuwa la kisasa katika kudhibiti matukio mbalimbali kiuhalifu nchini
Mauaji hayapunguzwi, yanadhibitiwa. Masauni hujui huu ni mwendelezo wa mbegu ya watu kupotea , kuumizwa , kuokotwa mitaroni na hata Polisi kudai wanaletwa na Bahari.“Nitakua na kikao na Viongozi wa Jeshi la Polisi na IGP pale Wizarani kwa ajili ya kupitia matokeo ya kazi ya uchunguzi... kuweza kuhakikisha mauaji tunaweza tukayapunguza katika siku za usoni,” alisema Masauni.
Hii ni kazi ya Wizara ya habari na mawasiliano, unaongeaje na Polisi bila wadau?Masauni alizungumzia kuhusu uhalifu wa kimtandao ambapo aliliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka wanaosajilia watu laini za simu, wanaochafua viongozi na wanaosambaza picha chafu mitandaoni.
Mh Waziri tatizo la mitandaoni lipo siku nyingi inashangaza unaliona leo.Uhalifu wa kimtandao limekuwa kubwa katika siku hizi ... Wapo watu wakitumia mitandao kudhalilisha watu wengine, wengine kufanya wizi na uitapeli.. wanajadili mambo kinyume na maadili, desturi za watanzania
Wanaenda kugawana posho, hakika mapele limepata wakunaji
Suala hapo ni kujiuliza, kwanini kipindi cha JPM haya matukio yalipungua sana na kwanini sasa hivi yameibuka sana. Hilo tu!
Inasikitisha sanaYaani badala ya kuanza kuwawajibisha, unaenda kujadili na kuletewa report tena kutoka kwa walewale, ambao wanatuhumiwa kwenye matatizo yenyewe..... kaazi kwelikweli unayo waziri...
Kama ni kweli,tujihesabu kama nchi tumekwisha..na kwa mustakabali mzuri hao wenye nia ovu tunawasihi waache isijeleta madhara kwa wengine wasiohusika.
Mbona zote zinafanya Kazi sawa ya kudili na usalama wa raiaWaziri wangu acha UONGO,acha siasa na fanya kazi,sajili watanzania wote na wawe kwenye system's inayoongea nchi zima(including finger prints)na toa IDs kwa raia wako na id number inakua kama jina yaani unazaliwa nayo na kufa nayo.Waziri wangu mshauri President aigawe wizara hii na kuwa mbili,wizara ya polisi(usalama wa raia na mali zao)na Home Affairs (raia na immigrations)na President afutulie mbali wizara ambazo sio muhimu kwa Taifa.