Wanajamii, naombeni msaada juu ya tendo hili la kukoroma. Nini sababu za kukoroma wakati wa kulala na nini kifanyike ili mtu aache kukoroma awapo usingizini. AHSANTENI
Jamani Mme wangu alikuwa anakoroma balaaaaa.akianza yeye kulala ujue siku hiyoo imekula kwako.Mtaa mzima walikuwa wanamjua iwe mchana iwe usiku kazi ni mojaa.
Adi nikaomba msaada kwenye harusiyangu.com.nikasaidiwa adi leo hii akoromi tena
Tiba ni kutoa ulimi wako nje mara kumi kila siku ukitaka kulala kwa wiki mbili misuli yote itakaza na ndo mwisho wa kukoroma.i mean unatoa na kurudisha mara kumi kila siku.



