Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

Mwenzangu pole sana linakera sana hilo tatizo,jaribu kucheki uzito wako kukoroma ni dalili moja wapo ya overweight,uvutaji wa sigara pia.ndo kati ya hayo nilio shauriwa mwanzo
 
Kukoroma kunatokea pale unavolala vibaya.Kichwa unavyo kiweka unakuta haupumui vizuri ( uwezo wangu wa biology umeishia hapo ) hivo jaribu kutumia mto vizur
 
Mwenzangu pole sana linakera sana hilo tatizo,jaribu kucheki uzito wako kukoroma ni dalili moja wapo ya overweight,uvutaji wa sigara pia.ndo kati ya hayo nilio shauriwa mwanzo
Asanteh kwa ushaur wako
 
Kukoroma kunaambatana na matatizo ya moyo... pole sana..
 
Kivp hapo ndo nashindwa kuelewa
Wewe mtafute Sheikh au ustadhi akupe mafunzo ya vipi binadamu anatakiwa alale. kulalia ubavu wa kulia na vipi unaweka mkono na magoti.
Waislamu wamefundishwa jinsi ya kulala, ukiweza kufata maelezo,kukoroma kutapotea kwa sababu hutaiminya njia ya kupitia hewa,koromeo.
kama si muislamu,usiogope, hutakuwa muislamu kwa kulala aina hiyo.
 
Wewe mtafute Sheikh au ustadhi akupe mafunzo ya vipi binadamu anatakiwa alale. kulalia ubavu wa kulia na vipi unaweka mkono na magoti.
Waislamu wamefundishwa jinsi ya kulala, ukiweza kufata maelezo,kukoroma kutapotea kwa sababu hutaiminya njia ya kupitia hewa,koromeo.
kama si muislamu,usiogope, hutakuwa muislamu kwa kulala aina hiyo.
Amtafute Sheakh Kipozeo au Dr Sule...hii ni kwa faida yako ..
 
Wewe mtafute Sheikh au ustadhi akupe mafunzo ya vipi binadamu anatakiwa alale. kulalia ubavu wa kulia na vipi unaweka mkono na magoti.
Waislamu wamefundishwa jinsi ya kulala, ukiweza kufata maelezo,kukoroma kutapotea kwa sababu hutaiminya njia ya kupitia hewa,koromeo.
kama si muislamu,usiogope, hutakuwa muislamu kwa kulala aina hiyo.
Ninavyojua njia ya kupitia hewa haiminyiki kwa vyovyote kwasababu kwanza ni pana na imeundw Kwa mfupa laini(cartilage).Labda ungenipa mfano ni sehemu gani inaweza kuminywa na ukapata shida katika kupumua wakati umelala
 
Badili namna unavyolala.

Jaribu kujilazimisha kufunga kinywa chako unapolala, ingawa inakuwa ngumu usingizini waweza kukifungua tena bila wewe mwenyewe kufahamu.

Ila jitahidi, inawezekana
 
Wewe mtafute Sheikh au ustadhi akupe mafunzo ya vipi binadamu anatakiwa alale. kulalia ubavu wa kulia na vipi unaweka mkono na magoti.
Waislamu wamefundishwa jinsi ya kulala, ukiweza kufata maelezo,kukoroma kutapotea kwa sababu hutaiminya njia ya kupitia hewa,koromeo.
kama si muislamu,usiogope, hutakuwa muislamu kwa kulala aina hiyo.
Nashukuru ntafanya hvyo
 
Badili namna unavyolala.

Jaribu kujilazimisha kufunga kinywa chako unapolala, ingawa inakuwa ngumu usingizini waweza kukifungua tena bila wewe mwenyewe kufahamu.

Ila jitahidi, inawezekana
Ngoja nijitahd ila mimi ni mlalav
 
Ninavyojua njia ya kupitia hewa haiminyiki kwa vyovyote kwasababu kwanza ni pana na imeundw Kwa mfupa laini(cartilage).Labda ungenipa mfano ni sehemu gani inaweza kuminywa na ukapata shida katika kupumua wakati umelala
Kuimimya ni kuzuia hewa isitembee kwa wepesi na sio kuinyonga. Kama unaelewa aina ya kulala kiislamu utaelewa. ni sawa na kuchinja mbuzi katoliki kwa nyundo ya kichwa au risasi na kuchinja ile ya kiislamu tofauti yake. Ndio nimemshauri aende aoneshwe vipi aepuke kukoroma.
 
Kitu cha kwanza watakiwa kujua je unakoroma ukiwa mdomo umeachama unapolala? Kama ni ndiyo tatizo lako litakuwa kwenye koo na mfumo wa koo lako na kuna "solutions" kwa matatizo hayo au unakoroma wakati mdomo wako umefunga? Na kama ni hivyo itakuwa ni matatizo ya mfumo wa pua na upumuaji "nostril system" na kuna "solutions" kwa matatizo hayo.
 
Back
Top Bottom