Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

Jamani dawa yake nini kukoroma mtu kama amelala? Yaani nina mtu wangu anakoroma mpaka usiku nawaza mengine lakini ndo wa kufa na kuzikana.

Nikitoka kazini usiku kama kuna vyura ndani; nikimuliza ananiambia naye hajijui kama anakoromaga. Akilala pasua kichwa kweli hata ndoa unaweza samehe.

Mwenye ujuzi na hii kitu jama.
 
Pole mkuu ngoja waje wakoromaji wastaafu wakupe dawa..
 
mkoromaji kama sio chineneeee sijui..

mabonge nyanya wengi sana wanakoroma..

kama sio mnene basi subiri wataalamu wakuje..
 
Wiki iliyopita nililala na kuamka asbh mdg wangu akanimbiaa broo umekoroma Sana Jana usku wkt huwackoeomagi kbsa aise. Kukoa hv nikakoa kamasi iloyochanganyikana na damu ... Mpk sas Koo langu haliko vzr
 
Shukrani mkuu
Jaribu kumpeleka kwa specialist wa koo na pua waangalie uwezekano wa kuwa ameota nyama kwa ndani inazuaia kupumua vizuri hasa ukiwa umelala...ingawa sababu zaweza kuwa zaidi ha hayoo. Kama uko Dar nenda Mwembechai kuna specialist anaitwa Prof Ekenywa nyuma ya BP MWembechai.

uliza utapaona...
 
Wakuu habari za sahizii!ndugu Nina mtoto wangu anakama miaka miwili Sasa,hivi karibuni ame develop tabia ya KUKOROMA sana usiku wakati akiwa amelalaa, je anatatizo la kiafya au nikawaida?
 
Mumpeleke hospitali kwa mtaalam/specialist wa ENT aangaliwe na kupigwa x Ray. Mara nyingi huwa Ni vinyama vinaota kwenye mfumo wa upumuaji hasa pua na Koo.
 
Doctors nawasalimu , naomba msaada kwenu mpenzi wangu anakoroma sana akilala kiasi akitangulia yeye kupata usingizi inakula kwangu kwa sababu sauti na vibration yake inayotoka hapo huwezi lala utakesha tu

Kuna wakati nilihisi labda anachoka sana lakini hata kama hajafanya kazi yoyote wala kutoka kwenda mahali bado akilala atakoroma kuliko tractor la kuvunia miwa 😢

kuna wakati anakoroma kama ana kitu kooni hadi namtingisha anashtuka namuuliza hujisikii kukosa pumzi anasema yuko sawa tu 😓
Ananiambia eti nikimsikia anakoroma nimwamshe anadhani akiwa katika deep sleep ndio anakoroma kumbe akifunga jicho tu sio mchana sio usiku sio kitandani au sitting room anakoroma faster. Halafu anasema eti ukoo wao mzima wanakoroma so yeye kazoea hata wakikoroma yeye anapata usingizi wake ananishangaa kwa kushindwa kulala kwa mkoromo wake

Naomba kujua tiba yake nini jamani nachoshwa na hii hali na jamaa nampenda natamani kumsaidia 😜
image.jpeg
 
Doctors nawasalimu , naomba msaada kwenu mpenzi wangu anakoroma sana akilala kiasi akitangulia yeye kupata usingizi inakula kwangu kwa sababu sauti na vibration yake inayotoka hapo huwezi lala utakesha tu

Kuna wakati nilihisi labda anachoka sana lakini hata kama hajafanya kazi yoyote wala kutoka kwenda mahali bado akilala atakoroma kuliko tractor la kuvunia miwa [emoji22]

kuna wakati anakoroma kama ana kitu kooni hadi namtingisha anashtuka namuuliza hujisikii kukosa pumzi anasema yuko sawa tu [emoji29]
Ananiambia eti nikimsikia anakoroma nimwamshe anadhani akiwa katika deep sleep ndio anakoroma kumbe akifunga jicho tu sio mchana sio usiku sio kitandani au sitting room anakoroma faster. Halafu anasema eti ukoo wao mzima wanakoroma so yeye kazoea hata wakikoroma yeye anapata usingizi wake ananishangaa kwa kushindwa kulala kwa mkoromo wake

Naomba kujua tiba yake nini jamani nachoshwa na hii hali na jamaa nampenda natamani kumsaidia [emoji12]
Pole Sana ANAWEZA kuwa Na moja Kati ya yafuatayo
Moja nyama za kwenye pua Yaani nasal polyps
Mbili enlarged tonsils Yaani tonsilitis
Hivyo hupelekea kuziba ama Kupunguza njia ya hewa Na kupelekea kukoroma
KARIBU sana
0762291006
 
A
Pole Sana ANAWEZA kuwa Na moja Kati ya yafuatayo
Moja nyama za kwenye pua Yaani nasal polyps
Mbili enlarged tonsils Yaani tonsilitis
Hivyo hupelekea kuziba ama Kupunguza njia ya hewa Na kupelekea kukoroma
KARIBU sana
0762291006
asante sana nitakutafuta mkuu 🙏🏽
 
Doctors nawasalimu , naomba msaada kwenu mpenzi wangu anakoroma sana akilala kiasi akitangulia yeye kupata usingizi inakula kwangu kwa sababu sauti na vibration yake inayotoka hapo huwezi lala utakesha tu

Kuna wakati nilihisi labda anachoka sana lakini hata kama hajafanya kazi yoyote wala kutoka kwenda mahali bado akilala atakoroma kuliko tractor la kuvunia miwa [emoji22]

kuna wakati anakoroma kama ana kitu kooni hadi namtingisha anashtuka namuuliza hujisikii kukosa pumzi anasema yuko sawa tu [emoji29]
Ananiambia eti nikimsikia anakoroma nimwamshe anadhani akiwa katika deep sleep ndio anakoroma kumbe akifunga jicho tu sio mchana sio usiku sio kitandani au sitting room anakoroma faster. Halafu anasema eti ukoo wao mzima wanakoroma so yeye kazoea hata wakikoroma yeye anapata usingizi wake ananishangaa kwa kushindwa kulala kwa mkoromo wake

Naomba kujua tiba yake nini jamani nachoshwa na hii hali na jamaa nampenda natamani kumsaidia [emoji12]View attachment 1651616
Check physiology kama ana septum-nose deviation, obesity, use of alcohol, bad sleeping position (esp. chali/kulalia mgongo)
 
Kukoroma kunaletwa na misuli ya koo kutokua na nguvu na njia rahisi ya kuimarisha misuli hii na kuondoa tatizo la kukoroma ni kutoa ulimi mpaka mwisho mara 20 kutwa mara 2 au 3 kwa siku.Baada ya wiki utaona tafauti kubwa na kupona kabisa baada ya wiki 2 au 3.Hii ni njia rahisi ambayo inaweza kufanywa na mtu yoyote na mimi mwenyewe nilipona kwa njia hii.
Hii njia nimeijaribu na imefanya kazi
 
unatoa ukiwa umelala au ata kama ume kaa
Hii mzee baba ukiwa umekaaa au unatembea fanya mara nyingi nyingi kwa siku ndani ya wiki matokeo utaanza kuyaona pia wakati wa kulala kunywa maji ya uvugu vugu usinywe kitu cha baridi
 
Back
Top Bottom